Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Wazee nashukuru kwa msaada wenu...
Ama kweli nimeelimika. Nilikuwa sichangii lakini nasoma kila kinachoandikwa.
Hivi, nini atakiwacho kujibu mtu akiambiwa maneno haya:
1. KARIBU - ?
2. Usiku mwema - ?
3. Alhamsiki - ?
4. Karibu tena - ?
6. Pole kwa kazi - ?
Hayo 6 ni mwanzo; nitaendelea endapo nitajibiwa na kufafanuliwa.
Ahsanteni
Karibu - Asante
Usiku Mwema - Na wewe
Alhamsiki - Alhamsiki
Karibu tena - Asante (ila usirudi endelea na safari!)
Pole kwa kazi - Asante nshapoa!