pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,228
Hii Point wameikataaje? Gharama au? tupo tayari kuchangia mafutakama mshitakiwa pia aliweza kupelekwa mahakamani haitashindikana kumpeleka kanisani kumuaga mama yake
Hii Point wameikataaje? Gharama au? tupo tayari kuchangia mafutakama mshitakiwa pia aliweza kupelekwa mahakamani haitashindikana kumpeleka kanisani kumuaga mama yake
yeye ni mtuhumiwa tu, sio mkosaji, wewe unafanansha aliyehukumiwa na mahabusuKwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Sasa ule unafiki wa kujidai anawaonea huruma wahujumu uchumi na kuwasamehe iwapo watakiri makosa yao ilikuwaje???? Pale serikali ilikuwa inaendeshwa na nini?Tatizo kina watu wanadhani serikali inaendeshwa kwa huruma na kuombewa na kusaidiana. Ikiwa ni hivyo nani angekuwa gerezani?
Jamaa anazingua sana Hujui Kabendera ni innocent until proven guiltyMahakama Bado Haijathibitisha Kama Jamaa Alifanya Hayo Wewe Tayari Ushaweka Conclusion.
Alijiona Shujaa Akifanya Hayo, Nan Kahakikisha Kama Kafanya Maana Hata Wanaomtuhumu Bado Wanachunguza,
WEWE UMEJUAJE KAMA KAFANYA NA ALIJIONA SHUJAA??
Jifunze Kuweka Akiba Ya Maneno, Yaliyomkuta Huyo Jamaa Hata Wew Yanaweza Kukukuta Hapo Ukachukuliwa Ukakaa Ndan Baadae Wakakwambia Hauna Kesi.
Inawezekana Umelelewa Kwenye Maisha Ya Pilau Sisi Wa Mtaani Tunajua Kadhia Ya Kubambikiwa Vitu Ili Ukomolewe.
Yangu Ni Hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kila aliye,still kuwa mfungwa hakumzuii mtu kunyimwa haki za msingiyeye tu au kila aliyeko Segerea?
yes, naamini hata yule aliepata muda wa kupiga simu kwenye show ya diamond jn, nae atakuwa anajua kinachoendela na ana feel the same pia.
Sheria sio msahafu ukiwa huru pigania mabadiliko ili siku usipokuwa huru ufurahie mabadiliko hayo.Sawa na leo lowasa na sumaye wanaona umuhimu wa katiba mpya ni baada ya kuwa nje ya mfumo hali wangewezaibadili walipokuwa kwenye mfumo.Hizo sheria zinazobadlika unazisema za nyumban kwenu au?
Kama jambo hulielewi bora ukae kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwe narudia kamwe Jamhuri haitakiwi kuwa na huruma na waharifu.
Assume kesi kusikilizwa akaibwaga serikali kuwa hakuwa na hatiaKwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Sheria ya uhujumu uchumi ni fimbo itumikayo na watawala wasiotenda haki kuinyamazisha jamii isikosoe madhaifu yao.Acha uchizi wewe!
Nani alikudanganya sheria ni sawa na msahafu? Sheria zinatungwa na wanadamu na jamii inapo ona sheria kandamizi kama hizi ni kuzifyekelea mbali!
Unawezatofautisha vipi wahalifu,maana wahalifu ni zao la jamiiKamwe narudia kamwe Jamhuri haitakiwi kuwa na huruma na waharifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Assume kesi ikaja kusikilizwa akaibwaga serikali kuwa hakuwa na hatia na tayari mama keshafariki.Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Mkuu usiandike ili uonekana ya kuwa na ww umeandika rudi nyuma tangia awamu ya kwanza hadi ya nne na unitajie mahabusu m1 tu aliyerusiwa kutoka magereza kwenda kuhudhuria msiba wa mama, baba, mke au mtoto wake.Katika utawala huu wa Magufuli, Tanzania imekuwa ni Taifa la kidikteta lisilojali Utu,Haki,Usawa na Sheria kwa raia wake.
Anayotendewa Erick ni zaidi ya Unyama na Ukaburu ulokuwa unafanywa na Makaburu wa enzi za Utawala wa weupe wachache nchini Afrika Kusini.
Mtu kafiwa na mamake mzazi tena kuna uwezekano mkubwa kifo cha mama huyu kitakuwa kimechangiwa na Utawala huuhuu! Huu ni ukatili wa hali ya juu sana.
RIP Mama Mujahwuzi na pole sana Erick! Mungu ndiye atakayekulipia kwa watesi wako.
Kitu gani kinasababisha upelelezi kutokukamilika?.Pole sana Kibendera, wote tunalipa kama tukitenda uovu na siyo wewe tu, Dunia iko hivyo, C’ est la vie!