Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

K
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
yeye ni mtuhumiwa tu, sio mkosaji, wewe unafanansha aliyehukumiwa na mahabusu
 
Mahakama Bado Haijathibitisha Kama Jamaa Alifanya Hayo Wewe Tayari Ushaweka Conclusion.

Alijiona Shujaa Akifanya Hayo, Nan Kahakikisha Kama Kafanya Maana Hata Wanaomtuhumu Bado Wanachunguza,

WEWE UMEJUAJE KAMA KAFANYA NA ALIJIONA SHUJAA??

Jifunze Kuweka Akiba Ya Maneno, Yaliyomkuta Huyo Jamaa Hata Wew Yanaweza Kukukuta Hapo Ukachukuliwa Ukakaa Ndan Baadae Wakakwambia Hauna Kesi.

Inawezekana Umelelewa Kwenye Maisha Ya Pilau Sisi Wa Mtaani Tunajua Kadhia Ya Kubambikiwa Vitu Ili Ukomolewe.

Yangu Ni Hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anazingua sana Hujui Kabendera ni innocent until proven guilty
 
Hizo sheria zinazobadlika unazisema za nyumban kwenu au?
Kama jambo hulielewi bora ukae kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria sio msahafu ukiwa huru pigania mabadiliko ili siku usipokuwa huru ufurahie mabadiliko hayo.Sawa na leo lowasa na sumaye wanaona umuhimu wa katiba mpya ni baada ya kuwa nje ya mfumo hali wangewezaibadili walipokuwa kwenye mfumo.
 
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Assume kesi kusikilizwa akaibwaga serikali kuwa hakuwa na hatia
 
Acha uchizi wewe!
Nani alikudanganya sheria ni sawa na msahafu? Sheria zinatungwa na wanadamu na jamii inapo ona sheria kandamizi kama hizi ni kuzifyekelea mbali!
Sheria ya uhujumu uchumi ni fimbo itumikayo na watawala wasiotenda haki kuinyamazisha jamii isikosoe madhaifu yao.
 
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Assume kesi ikaja kusikilizwa akaibwaga serikali kuwa hakuwa na hatia na tayari mama keshafariki.
Tambua Ni mtuhumiwa bado
 
Hayajakukuta Kaka,..yakikukuta hutoyakumbuka maneno haya..
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika utawala huu wa Magufuli, Tanzania imekuwa ni Taifa la kidikteta lisilojali Utu,Haki,Usawa na Sheria kwa raia wake.
Anayotendewa Erick ni zaidi ya Unyama na Ukaburu ulokuwa unafanywa na Makaburu wa enzi za Utawala wa weupe wachache nchini Afrika Kusini.

Mtu kafiwa na mamake mzazi tena kuna uwezekano mkubwa kifo cha mama huyu kitakuwa kimechangiwa na Utawala huuhuu! Huu ni ukatili wa hali ya juu sana.

RIP Mama Mujahwuzi na pole sana Erick! Mungu ndiye atakayekulipia kwa watesi wako.
Mkuu usiandike ili uonekana ya kuwa na ww umeandika rudi nyuma tangia awamu ya kwanza hadi ya nne na unitajie mahabusu m1 tu aliyerusiwa kutoka magereza kwenda kuhudhuria msiba wa mama, baba, mke au mtoto wake.

Au tangia tupate uhuru hakuna mahabusu aliyefiwa na wazazi wake? Hata kwa nchi tunazozisifia kuwa zina demokrasi hakuna mahabusu ambae kesi yake ni unbaillable ambae amewahi kutolewa magereza na kwenda kuhudhuria mazishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupel
Pole sana Kibendera, wote tunalipa kama tukitenda uovu na siyo wewe tu, Dunia iko hivyo, C’ est la vie!
Kitu gani kinasababisha upelelezi kutokukamilika?.
Kama kweli waliona makosa kwake,kwa Nini wasioneshe ushahidi usio na Shaka ili kijana ahukumiwe?.
Kuna Nini kinachowazungusha upelelezi haujakamilika?.
Au walimkamata kimakosa?.
Mkuu wa majaji,Roho wa Mungu akuongoze usimamie hili,mtu akikamatwa tia miezi miwili au mitatu, upelelezi Kama Bado tupilia mbali.
 
Back
Top Bottom