Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

Sasa kila aliyeko mahabusu mama yake aombe msamaha kwa Rais ndivyo sheria zilivyo hata Rais hasamehi walioko mahabusu bali wafungwa na sio mama zao wanaomuomba Rais awasamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama we ni mwanaume jua ipo siku unaweza panusa yakakukuta na ukatamani sana kufanya jambo muhimu ukashindwa ndugu ya duniani ni mengi mno huijui kesho yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kumpa mifano halisi mwambie dunia ina mengi kuna kesho ambayo yeye haijui bado hata baadae tu haijui
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti hii nayo hoja
Wacha mifano ya Kishamba
Sheria haina hisani
 
Mkuu hapa jukwaani ukieleza ukweli kama huu uliosema hapa hautaeleweka na utaonekana katili sana unashabikia hayo yaliyomkuta Erick.
Ukweli ni kama ulivyosema kwamba Erick alikuwa anajua alichokuwa anafanya na kinaweza kumfikisha wapi.
The obvious truth is, Erick Kabendera new what he was getting himself into. He was putting his freedom and may be his life too in the line.
 
Duniani hakuna haki,,, ndiyo maana kunawatu wanaamua maamuz magumu dhidi ya mamlaka
 
kinachonisikitisha mimi ni kwamba hii kesi ni ya kubambikiwa,Kabendera angekuwa amefanya uhalifu kweli hata mimi ningeunga mkono kunyimwa hiyo ruhusa.
Kubambikiziwa kivipi? Shauri linasema alipokea pesa million zaidi ya 170 na akaanza kuzitumia. Mapato yoyote lazima kwanza ulipe kodi, kitu ambacho hakufanya (kosa la kwanza ni la kutolipa kodi). Kosa la pili (itategemeana na utetezi) ni kwamba vyanzo vya hiyo hela havijulikani na kupokea pesa ambayo utashindwa kuidhibitishia mahakama imetoka wapi basi hiyo ni hela chafu na kibaya zaidi ukianza kuitumia kwa kuiingiza kwenye mzunguko utakuwa unatakatisha pesa (kosa la pili). Makosa yote mawili yanazaa kosa la tatu la uhujumu uchumi. Sasa kwavile Erick ana wakili watajitetea na mwisho wa siku atakuwa huru. Cha msingi hapa tuiachie mahakama ifanyekazi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…