Kwanini unatoa hukumu wakati mtuhumiwa bado huko mahabusu??kama kuna ndugu wengine kwanini mama alikua anamlilia kabendela?Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
stiff necked foolsPole sana Kibendera, wote tunalipa kama tukitenda uovu na siyo wewe tu, Dunia iko hivyo, C’ est la vie!
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Haya mambo yapo nchi nyingi tu sio Tz pekee
True at the end utasikia DPP msukuma Hana nia ya kuendelea na kesi kwa maagizo toka juu.Hamna kesi hapo bali kinachofanyika ni kumkomoa kisa ni mkosoaji wa rais. Mahakama inatumika kama sehemu ya kukomoa watu wanaoikosoa mamlaka
Mara nyingi haya matukio huwa yanagusa public interest, hivyo mahakama inatoa uamuzi mdogo kulingana na hali halisi ilivyo, hii ni bila kuathiri maamuzi ya baadae ya mahakama. Huwezi kutangaza tu kuna mkulima gani leo yupo rumande aliefiwa na mama yake aruhusiwe akamzike, bila hata kwanza kufahamu km huyo mkulima yupo.Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Kuna mara ya kwanza kwa kila kitu. Na bila kujaribu huwezi kujuaKwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Kabisa, yalikuwa yanamkuta ya AzoryNimewaza hivi, niko upande wa Erick na sipendi jinsi watu wanavyobambikiwa kesi ili kuwakomoa lakini anajua hasa nini alikuwa anakifanya, labda nia yake ilikuwa nzuri lakini alivyofanya haikuwa yenye kupendeza. Yeye mwenyewe anajua hatari iliyokuwa inaweza kumkabili na hata mtakumbuka siku aliyochukuliwa kwake, ukweli alikuwa anapotea ila alikuwa 'amejiandaa' ndio mpaka leo yupo.
Mnakumbuka vifo vya maafisa kama wa Wizara ya mambo ya nje kitengo Misaada kutoka EU? Walikufa ndani muda mfupi sana?
Na mmeona jinsi wanachama wa EU na US kupitia balozi zao wanavyolifatilia kwa umakini hii suala la mashtaka dhidi ya Erick na hata kuonyesha Sympathy kwa msiba wa mama yake?
Nimewaza tu
huko baadae nadhani tutashtakiana sana
Hizo sheria zinazobadlika unazisema za nyumban kwenu au?Kwa civilized society sheria ubadilika kulingana na wakati pia kulingana na mazingira.Possible mfungwa au mtuhumiwa kuwezapewa mda wa kumzika mpendwa wake,jela ni ya wote,yeyeto kuanzia raisi hadi mpiga debe anawezaingia.
Kwanini unatoa hukumu wakati mtuhumiwa bado huko mahabusu??kama kuna ndugu wengine kwanini mama alikua anamlilia kabendela?
Achaneni na Hadithi za Mungu. Kumuachia Mungu ndiko kunayafanya madikteta yaendelee kupeta tu..Mungu kawapa akili na utashi ili msimwachie yeye Mambo yenu ya Kikaisari, myatataue wenyewe.Hatuombeani mabaya ila itatafsirika vipi mchana huu kila mwendesha mashtaka aliyepo hapo kabla ya kusimamia hiyo "Jamhuri" kila mmoja akapata ujumbe kwenye simu yake "mama yako na mkeo wameaga dunia kwa kugongwa na gari la mkaa"?
Wataendelea kusubiri SAA za kesi kutajwa tena?
Mnaweza kuona ni hadithi, lakini Mungu akitaka kutoa fundisho anatoa tuu. Kitabu cha Kutoka Mungu alimwadhibu Farao kwa watoto wazaliwa wa kwanza kufa nchi nzima usiku mmoja kwa sababu ya moyo mgumu wa mtu mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri hapo, sijasema yeye ni mfungwa, nimesema mfungwa au mahabusu, na KABENDERA ni mahabusu siyo mfungwa, hata mtuhimiwa Kama hajapata dhamana huwekwa MahabusuKabendera hajawa mfungwa bado ni mtuhumiwa tu…!
Mkuu ni ngumu sana, hata hao wanaohubiri democracy haifwati ila wanachofanya ni kuhakikisha wananchi wao wanafedha hawalii njaa. Unajuwa kiongozi akihakikisha wananchi wake wanamaisha mazuri yaan Huduma zote muhimu anawapatia maji, umeme n.k uchumi mzuri huyo kiongozi hata akiwa dictactor wananchi hawatalalamikaHata kama unyama huu upo katika nchi nyingi haiwezi kuwa ndo justifiation…!Huu ukaburu lazima upigwe vita kwa nguvu zote!
Mkuu haya tunayaona sasa sababu tuna njaa kali, hata kipindi cha kikwete, mkapa yalikuepoKwa nini na sisi tuwe kama hizo nchi nyingine. Mbona hatukua hivi hapo kabla
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo sheria zinazobadlika unazisema za nyumban kwenu au?
Kama jambo hulielewi bora ukae kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni ngumu sana, hata hao wanaohubiri democracy haifwati ila wanachofanya ni kuhakikisha wananchi wao wanafedha hawalii njaa. Unajuwa kiongozi akihakikisha wananchi wake wanamaisha mazuri yaan Huduma zote muhimu anawapatia maji, umeme n.k uchumi mzuri huyo kiongozi hata akiwa dictactor wananchi hawatalalamika