Wameikanyaga,na watapotea.Kama haya yasemwayo ni kweli, jamaa wamechambia wembe.
Mpaka sasa nashindwa kuwaelewa hao jamaaAseh; haya ni matumizi mabaya ya mtandao, hao watu waliwaza nini kabla ya kuchapisha huu upuuzi?
UTI sugu.Akili za vijana zina vimelea vya UTI. Kesi za kujitakia hizi.
Hawa wapuuzi funga woteWATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashitaka ya kuendesha Chanel ya Utube bila kuwa na leseni.
Washitakiwa hao Adamu Thabit( 28) kutoka kampuni ya MMJ Steel Ltd na Mkurugenzi wa Bongo News YouTube, Heri Said(29).
Washitakiwa hao wamesomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga akisaidiana na Faraja Ngukah, mbele ye Hakimu Mkazi Mwandamizi, Evodia Kyaruzi.
Alidai katika shtaka la kwanza ni kuchapisha maudhui yenye taarifa za uongo, ambapo washtakiwa wanadaiwa Juni 20, 2021 katika maeneo tofauti ya mkoa na jiji la Dar es Salaam, walichapisha picha na maelezo katika mfumo wa ujumbe mfupi wa maandishi uliosomeka" Ghafla Waziri Mkuu atumbuliwa, avujisha video picha zake za ngono" huku wakijua ujumbe huo ulikuwa ni wa uongo na ulikuwa na lengo la kupotosha umma.
Shtaka la pili ni kuendesha Chanel ya Utube bila kuwa na leseni, ambapo washtakiwa hao wanadaiwa kutenda kosa la kati ya Januari 2, 2018 na Julai 2, 2021 katika mkoa na jiji la Dar es Salaam, kupitia Chanel ya Utube yenye jina la Bongo News, walirusha maudhui kwenye mtandao yalikuwa na kichwa cha habari " Ghafla waziri Mkuu atumbuliwa, avijsha video picha zake za ngono" bila kuwa leseni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania.
Pia washitakiwa wanadaiwa kuchapisha maudhui yasiyoruhusiwa, ambapo inadaiwa Juni 20, 2021 katika jiji hilo, kwa makusudi walichapa maudhui yasiyoruhisiwa kupitia mtandano wa Utube wa Bongo News, Maudhui ambayo yalionyesha picha za ngono zilizomhusisha waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Upande wa mashtaka ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
Washtakiwa wameshindwa kupata dhamana baada ya upande wa mashtaka kuiomba mahakama hiyo izuie dhamana kwa sababu za kiusalama.
Hata hivyo washtakiwa walipingana na hoja iliyotolewa na upande wa mashtaka wakidia kuwa siku Julai 2, 2021 walipopelekwa polisi walipata dhamana, na kuwa nje kwa dhamana na hakukuwa na tishio lolote la kiusalama.
Hakimu Kyaruzi baada ya kusikiliza hoja hizo alisema atatoa uamuzi kesho.
View attachment 1898299
Hii ndo Video walipost ikiwa na kichwa cha habari "GHAFLA! WAZIRI MKUU ATUMBULIWA AVUJISHA VIDEO,PICHA ZAKE ZA NGONO"
View attachment 1898320
View attachment 1898312
hata miwani hajavua!!!DAAH WATU WANA MASKHARA SANA YANI WAMEZUSHA WAZIRI MKUU AMEVUJISHA VIDEO AKIYAKATA MAUNO!!!??
Watapigwa mvua za kutosha.Akili za vijana zina vimelea vya UTI. Kesi za kujitakia hizi.
kwaiyo kama hawakumtaja waziri mkuu lakini wameweka picha yake akiwa kifuani kwa mwanamke tena utupu?Hata hivyo hapa hamna kesi kwakuwa washitakiwa hawakutaja jina la waziri mkuu yoyote ni juu ya washitaki kuthibitisha kuwa waziri mkuu anayezungumziwa ni wa nchini mwao
Labda awe Rais wa TFF,hatutarudia tena kuwapa Urais Sadists.Wanamchafua the future president,Mungu amlinde na amkumbatie rais wetu ajae
CCM imesheheni kila aina ya uchafu halafu hawajali hata chembeWapigwe mvua za kutosha maana kuna wapuuzi wengi sana Youtube na titles zao za kindezi ndezi...
Hawa tofauti na wale matapeli wa "tuma pesa kwenye namba hii"
WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashitaka ya kuendesha Chanel ya Utube bila kuwa na leseni.
Washitakiwa hao Adamu Thabit( 28) kutoka kampuni ya MMJ Steel Ltd na Mkurugenzi wa Bongo News YouTube, Heri Said(29).
Washitakiwa hao wamesomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga akisaidiana na Faraja Ngukah, mbele ye Hakimu Mkazi Mwandamizi, Evodia Kyaruzi.
Alidai katika shtaka la kwanza ni kuchapisha maudhui yenye taarifa za uongo, ambapo washtakiwa wanadaiwa Juni 20, 2021 katika maeneo tofauti ya mkoa na jiji la Dar es Salaam, walichapisha picha na maelezo katika mfumo wa ujumbe mfupi wa maandishi uliosomeka" Ghafla Waziri Mkuu atumbuliwa, avujisha video picha zake za ngono" huku wakijua ujumbe huo ulikuwa ni wa uongo na ulikuwa na lengo la kupotosha umma.
Shtaka la pili ni kuendesha Chanel ya Utube bila kuwa na leseni, ambapo washtakiwa hao wanadaiwa kutenda kosa la kati ya Januari 2, 2018 na Julai 2, 2021 katika mkoa na jiji la Dar es Salaam, kupitia Chanel ya Utube yenye jina la Bongo News, walirusha maudhui kwenye mtandao yalikuwa na kichwa cha habari " Ghafla waziri Mkuu atumbuliwa, avijsha video picha zake za ngono" bila kuwa leseni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania.
Pia washitakiwa wanadaiwa kuchapisha maudhui yasiyoruhusiwa, ambapo inadaiwa Juni 20, 2021 katika jiji hilo, kwa makusudi walichapa maudhui yasiyoruhisiwa kupitia mtandano wa Utube wa Bongo News, Maudhui ambayo yalionyesha picha za ngono zilizomhusisha waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Upande wa mashtaka ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
Washtakiwa wameshindwa kupata dhamana baada ya upande wa mashtaka kuiomba mahakama hiyo izuie dhamana kwa sababu za kiusalama.
Hata hivyo washtakiwa walipingana na hoja iliyotolewa na upande wa mashtaka wakidia kuwa siku Julai 2, 2021 walipopelekwa polisi walipata dhamana, na kuwa nje kwa dhamana na hakukuwa na tishio lolote la kiusalama.
Hakimu Kyaruzi baada ya kusikiliza hoja hizo alisema atatoa uamuzi kesho.
View attachment 1898299
Hii ndo Video walipost ikiwa na kichwa cha habari "GHAFLA! WAZIRI MKUU ATUMBULIWA AVUJISHA VIDEO,PICHA ZAKE ZA NGONO"
View attachment 1898320
View attachment 1898312
Kwani picha wameweka ya Ndetanyahu?Kwani walitaja jina la waziri mkuu au wanaowashitaki ndio wana jina la waziri mkuu? Mawaziri wakuu duniani wako wengi kwanini washitaki wameamua iwe ni waziri mkuu waTanzania?
Picha waliweka za sura zao?Hata hivyo hapa hamna kesi kwakuwa washitakiwa hawakutaja jina la waziri mkuu yoyote ni juu ya washitaki kuthibitisha kuwa waziri mkuu anayezungumziwa ni wa nchini mwao