Marumeso
JF-Expert Member
- Oct 3, 2009
- 1,410
- 1,313
Nimecheka sana hadi kuna watu wananishangaa hapa. Jf burdani sana.Hawa polisi wana expansion joint kweli
Nimecheka sana hadi kuna watu wananishangaa hapa. Jf burdani sana.Hawa polisi wana expansion joint kweli
Hujui kwamba ulipaswa kuiomba mahakama ikupe mamlaka ya kupewa information ulizozitaka?
Shahidi: sijui.
HILI NDIO LANGO KUU LA USHINDI Maxence Melo hoyeee
JamiiForums hoyeee
Tunasafarj ndefu sana na mapolisi wetu HAWA.
Yaan polisi mzima na mkuu wa cybercrime hujui wajibu wala majukumu yako kushughulikia uhalifu.
Nimekuelewa lakiniPolisi eakifiks stage ya mahakama ni ero kwa sheria
Kikifika kipengele cha dotcom naomba JF mniite niwe shahidi.
Swali langu la kwanza kwa Polisi je mnaufaham mtandao au blog inayojurikana kama
www.millardayo.com ?
Mtobesya: Unaelewa kama washtakiwa wanashtakiwa kwa kosa gani hapa mahakamani?
Shahidi: Sijui
Huu Mchezo wa Mawakili v/s Mashahidi mtamu sana aisee,Roving Journalist vipi updates za leo?
Hayo maswali yanakuja ki technical sana ukiwa na elimu ya kuungaunga kama hawa ndugu zetu polix lazma ujae kingi......Tunasafarj ndefu sana na mapolisi wetu HAWA.
Yaan polisi mzima na mkuu wa cybercrime hujui wajibu wala majukumu yako kushughulikia uhalifu.
Hayo maswali yanakuja ki technical sana ukiwa na elimu ya kuungaunga kama hawa ndugu zetu polix lazma ujae kingi......Tunasafarj ndefu sana na mapolisi wetu HAWA.
Yaan polisi mzima na mkuu wa cybercrime hujui wajibu wala majukumu yako kushughulikia uhalifu.