KISUTU, DAR: Kesi namba 457 (Jamhuri dhidi ya JamiiForums) yaendelea - Shahidi wa Pili atoa ushahidi wake

Bora Jf wapate hakii yao tu maana nao wanachosha kwakuminya uhuru wa kujieleza humu mtandaoni mwao, sijui kupiga ban watu kama ndio sera yao au lah
 
Mtobesya: Kwa hiyo taarifa ulizokuwa unazitaka zilikuwa kwenye mtandao?
Shahidi: Ndiyo

Mtobesya: Naomba niishie hapo

Wakili wa Jamhuri: Uliwahi kupata majibu kutoka uongozi wa JamiiForums?
Shahidi: Sikuwahi kupata

Kesi itaendelea kesho..


Kesho si leo au??
 
hakuna cha kutegemea kutoka kwa hawa polisi wetu ambayo hawawezi hata to secure the crime scene
 
Daah, my PoliceCCM haha...!!

Just check this interrogation:

WAKILI: Wewe ni shahidi wa upande wa Jamhuri?

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI: Unafanya kazi gani?

SHAHIDI: upolisi

WAKILI: Wewe ni polisi?

SHAHIDI: sijui

WAKILI: :eek::eek::eek: eeeh, unasemaa!??

Sina maswali zaidi
 
Nasubiri update ya hii kesi mana polisi hawa wanavyojibu mahakamani yaani nikama vile hawaelewi chochote
 
Kwakweli police wetu bado sana.
Yaani Bado Kabisa Kabisa,

Mtu anaulizwa unajua washtakiwa wameshtakiwa kwa kosa gani hapa mahakamani? Anajibu Sijui,Sasa kama hajui hata mashtaka yanaowakabili Washtakiwa Yeye Mahakama kaitwa kufanya nini!
 
Mtobesya: Kwa hiyo taarifa ulizokuwa unazitaka zilikuwa kwenye mtandao?
Shahidi: Ndiyo
Nimependa sana hapo.
 
Tatizo polisi wanatumia nguvu zaidi kuliko akili ndo maana kila wanalofanya wanafeli
 
Hahaaa nimecheka sana, mi nahis hata IQ test ziwe zinapimwa mahakaman, hamna kaz ngumu kama kupangua maswali yanayokuja kama mvua, unaweza umwambie wakili hayo maswali yote yanayokuja majibu yake sijui, ukileta utani unaweza ulizwa umekuja kufanyaje hapa mahakamani useme sijui
 
Back
Top Bottom