Hahaaa nimecheka sana, mi nahis hata IQ test ziwe zinapimwa mahakaman, hamna kaz ngumu kama kupangua maswali yanayokuja kama mvua, unaweza umwambie wakili hayo maswali yote yanayokuja majibu yake sijui, ukileta utani unaweza ulizwa umekuja kufanyaje hapa mahakamani useme sijui.
Polisi weupe sana, kwahiyo sampuli ya hawa ndiyo walitegemea wakifika Canada ile ndege itarudi?
Mkwepa kodi hakuguswa lakini mpuliza filimbi (mtoa taarifa) anatafutwa kushitakiwa!Ina maana Polisi hawakutaka kuchunguza siri ya mkwepa kodi??
Mbona hawakushirikisha TRA??
Kuna haja ya kuanzisha FBI Tanzania!!
Hizi kesi zitaishia kuidhalilisha tu polisi na serikali Kwa ujumla! Whistle blower huwa hana hatia!Kwa ujuzi wangu wa mambo ya sheria (Shahidi wa Pili) amesha shindwa na Maswali anayo ulizwa na wakili mtetezi.
Tungojee ni kitu gani Hakimu/ MaJaji na Mahakama itakavyo amuwa hii kesi mwisho wake.
Afadhali uamuzi umalizike Mahakani kuliko kutokea uamuzi wengine wa ajabu ajabu wa kutishiana maisha bora imalizike kesi iishe kwa usalama muamuzi wa mwisho ni Hakim au Jaji kuhusika bora iwe salama.Hizi kesi zitaishia kuidhalilisha tu polisi na serikali Kwa ujumla! Whistle blower huwa hana hatia!
mkuu zitakuja kusaidia kuweka benchmark kwa kesi za mbeleni.Hizi kesi zitaishia kuidhalilisha tu polisi na serikali Kwa ujumla! Whistle blower huwa hana hatia!
Ndio maana wanapenda kukurupuka na kutimumia nguvu kwenye utendaji waoPolisi wetu haoooo