Naamini hilo zoezi litakula hela mpaka uikimbie dunia mkuu. Huo mpango ni hatari. Naamini inaweza kuwa zaidi ya milioni 9 ya kisimaHivi kwa mfano ukiamua kujenga tanki la juu ya ardhi na kulifunika, say kwa ujazo huo huo - gharama haziwezi kuwa nafuu Zaidi?
Binafsi ndo nipo kwenye mchakato huo na shimo langu ni kwenda chini ni foot 24Wana JF wote nawasalimia kwa umoja wetu. Bila kupoteza muda naombeni ushauri.
Home kijijini kwetu kuna hali ya uhaba wa maji,nilikuwa nina mpango wa kuchimba kisima cha drilling. Sasa jana kuna mtaalam amekuja akanishauri ili kupunguza hizo gharama za kisima cha drilling zinazofikia milioni 8 mpaka 9,akanishauri tuchimbe kisima futi 20,kijengelewe vizuri kifungwe juu.
Gharama ya hii ni usiyozidi milioni 3,then niwe navuna maji ya mvua lita zisizopungua 60,000 kwa mwaka. Tunayatia dawa,water gud.Nayavuta kupandisha juu kwenye tank then tunaya-saplay nyumba nzima kwa matumizi ya kupikia na kufulia na kuoga. Sasa nauliza mwenye uzoefu vipi kuhusu hayo maji na huo mpango?
Pia unaweza kuweka filter kabla ya kuingia kwenye storage tank.. na filter wakati wa kuyavuta kujaza Tank la juu.. yanakuwa safi kabisaHayawezi kuwa na vumbi,ni Kama tumeyatumia mara nyingi,isitoshe tutaweka dawa. Japo sawa hayawezi kuwa sawa na ya kisima kwa ubora. Tuna compare na gharama pia. Asante kwa maoni pia sister.
Jenga na tofali ya block.. na iwe kwa ratio ya tofali 20-25 kwa mfuko wa cement.. zinapojengwa zinakatwa nusu na mortar inakuwa ratio kali.. ukimaliza ndani tumia wire mesh kabla ya kupiga lipu ya kwanza..Daah...! Umeua kamanda,asante sana. Hilo la cement yupo mtaalam atasimamia. Isitoshe kuhusu tofali kaniambia tutatumia hizi za kuchoma ila atazipanga kama unavyojengwa msingi ili kuufanya huo ukuta wake usipungue futi moja upana wake,hiyo ni kuanzia chini mpaka juu. Zaidi umeongezea kitu ambacho yeye hakusema kuhusu hiyo karatasi la nailoni nyeusi kwa chini. Asante sana mkuu
Msimu wa mvua unapoanza kuna maji hata kimilia Yale ya mwanzo huruhusiwi kuyakinga nakutumia Yale huyaacha walau mvua ipige wikiMaji ya mvua yana vumbi sana. Aidha, huwa yananuka sana yakikaa muda mrefu. Hivyo, ushauri wangu ni kuchimba kisima.
Nipate namba yakoHakuna tatizo, utapunguza gharama kubwa sana. 20' deep, 15' diameter gharama inaweza kufika 4m au zaidi kutegemeana na eneo husika.
Muhimu tu utumie tofali imara, usiwe bahili wa cement, ukiweza weka wire mesh ili kuimarisha kuta, chini weka ile nailoni nyeusi ili kuzuia maji kupotea, jenga msalaba ili kuimarisha kuta na hakikisha unalifunika ili mwanga wa jua usipenye ndani. Ukifanya hivi hata hizo water guard utaweka kwa utashi tu ilà haitakuwa lazima.
Utaokoa gharama nyingi kununua maji.
Maji ya mvua ukiyahifadhi vizuri, Yanakaa hata mwaka na yanakuwa vilevile kama umeyakinga leo. Cha msingi ni yahifadhiwe semehu ambayo mwanga wa jua hauyafikii
Sema lita 100 kwa mfumo wa maji ya man ndani ni kidogo. Ukiweka na upotevuBinafsi ndo nipo kwenye mchakato huo na shimo langu ni kwenda chini ni foot 24
Upana ft 10
Kwa upana huo natarajia kuvuna Lt 40000 elfu
Na matumiz yangu kwa siku nimepiga hesabu
Kwa idadi ya watu ma shughul za kila siku home ni Lita 100 tu ambapo hizo 40000 nikigawa kwa 100 napata siku 400
Nb kuna siku matumiz yatapanda na sio Ila siku itakuwa 100 kuna siku yatashuka mpaka 60
Kwa wewe Lt 60000 naona kama nyingi sana kumbuka msimu wa mvua matumiz ya karo yatapungua sana
Miez mitatu yote
Shida kubwa ya maji ya mvua ni algae ... Na Dawa yake giza.Mwanga wa jua una athari gani kwenye maji
Tukipiga upotevu linkage zile tuweke Lita 120 per daySema lita 100 kwa mfumo wa maji ya man ndani ni kidogo. Ukiweka na upotevu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Lita 100 ndogo sana. HapO hUjafua, mtoto hajasafishwa, vyombo. Fanya 300Binafsi ndo nipo kwenye mchakato huo na shimo langu ni kwenda chini ni foot 24
Upana ft 10
Kwa upana huo natarajia kuvuna Lt 40000 elfu
Na matumiz yangu kwa siku nimepiga hesabu
Kwa idadi ya watu ma shughul za kila siku home ni Lita 100 tu ambapo hizo 40000 nikigawa kwa 100 napata siku 400
Nb kuna siku matumiz yatapanda na sio Ila siku itakuwa 100 kuna siku yatashuka mpaka 60
Kwa wewe Lt 60000 naona kama nyingi sana kumbuka msimu wa mvua matumiz ya karo yatapungua sana
Miez mitatu yote
Tena ukiwa na mfumo wa mabomba ya ndani.. per day kwa nyumba ya familia Inatakiwa at least 350-500litres.. maana single toilet flush ni 5litres .. bado kuoga, jikoni.. usafi mwingine..Lita 100 ndogo sana. HapO hUjafua, mtoto hajasafishwa, vyombo. Fanya 300
Mkuu 500L ni nyingi mno, hiyo ni kama nusu boza(bowser) ambayo ni 1,000L, unless yupo na familia kubwa sana. Ndoo kumi-kumi na tano (200L) hivi zinatosha kwa siku hata kama umeweka system ya maji ndani. Japo katika matumizi ya maji siku hazilingani.Tena ukiwa na mfumo wa mabomba ya ndani.. per day kwa nyumba ya familia Inatakiwa at least 350-500litres.. maana single toilet flush ni 5litres .. bado kuoga, jikoni.. usafi mwingine..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tutachekiana pm mkuu.Nipate namba yako
Ukifata principal hizo unamaanisha maji hayawezi kuleta harufu na utelezi yanapokaa sana? Wazo zuri hiliHakuna tatizo, utapunguza gharama kubwa sana. 20' deep, 15' diameter gharama inaweza kufika 4m au zaidi kutegemeana na eneo husika.
Muhimu tu utumie tofali imara, usiwe bahili wa cement, ukiweza weka wire mesh ili kuimarisha kuta, chini weka ile nailoni nyeusi ili kuzuia maji kupotea, jenga msalaba ili kuimarisha kuta na hakikisha unalifunika ili mwanga wa jua usipenye ndani. Ukifanya hivi hata hizo water guard utaweka kwa utashi tu ilà haitakuwa lazima.
Utaokoa gharama nyingi kununua maji.
Hivyo kwenye ujengaji wake yatupasa kuweka nailini jeusi chini ya kisima na juu pia Kama sikosei?Maji ya mvua ukiyahifadhi vizuri, Yanakaa hata mwaka na yanakuwa vilevile kama umeyakinga leo. Cha msingi ni yahifadhiwe semehu ambayo mwanga wa jua hauyafikii