Kisima cha kutunzia maji ya mvua

Swet-R

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
5,613
8,042
Wana JF wote nawasalimia kwa umoja wetu. Bila kupoteza muda naombeni ushauri.

Home kijijini kwetu kuna hali ya uhaba wa maji,nilikuwa nina mpango wa kuchimba kisima cha drilling. Sasa jana kuna mtaalam amekuja akanishauri ili kupunguza hizo gharama za kisima cha drilling zinazofikia milioni 8 mpaka 9,akanishauri tuchimbe kisima futi 20,kijengelewe vizuri kifungwe juu.

Gharama ya hii ni usiyozidi milioni 3,then niwe navuna maji ya mvua lita zisizopungua 60,000 kwa mwaka. Tunayatia dawa,water gud.Nayavuta kupandisha juu kwenye tank then tunaya-supply nyumba nzima kwa matumizi ya kupikia na kufulia na kuoga. Sasa nauliza mwenye uzoefu vipi kuhusu hayo maji na huo mpango?
 
Maji yanakuwa salama kabisa. Uangalie tu hizo lita 60 zitatosha kwa mwaka mzima? Maana mvua ni za msimu tu.
Asante mkuu. Kwa mtaalam kaniambia zitatosha,kwa sababu mvua max zinaanza mwezi wa 11,zinaendelea mpaka wa 5 hivi,zitakoma kisima kitakuwa kimejaa. Tutatumia mwezi wa 6,7,8 9,10. Zaidi hizo lita 60 elfu tutazitegemea kwa hiyo miezi mitano mpaka 6. Kaniambia yatatutosha
 
Hakuna tatizo, utapunguza gharama kubwa sana. 20' deep, 15' diameter gharama inaweza kufika 4m au zaidi kutegemeana na eneo husika.

Muhimu tu utumie tofali imara, usiwe bahili wa cement, ukiweza weka wire mesh ili kuimarisha kuta, chini weka ile nailoni nyeusi ili kuzuia maji kupotea, jenga msalaba ili kuimarisha kuta na hakikisha unalifunika ili mwanga wa jua usipenye ndani. Ukifanya hivi hata hizo water guard utaweka kwa utashi tu ilà haitakuwa lazima.

Utaokoa gharama nyingi kununua maji.
 
Kisima cha chini cha kufunikwa cha ujazo wa 60,000 ltr hiyo 3mln hazitoshi kabisa, badala yake bora kuchukua plastic tanks isio zidi 5,000 ltrs @ sababu zaidi ya hapo pia ni ghali zaidi pole pole

USHAURI WANGU: Kama maji ya kuchimba visima virefu yanapatikana hasa yasizidi 120 mtrs na uwezo wa hizo pesa unazo hiyo 9mln plus upate umeme This is the best option

Utapata maji mengi sana kwa mifugo yako na ya kumwagilia bustani, shamba na miti
 
Wana JF wote nawasalimia kwa umoja wetu. Bila kupoteza muda naombeni ushauri.

Home kijijini kwetu kuna hali ya uhaba wa maji,nilikuwa nina mpango wa kuchimba kisima cha drilling. Sasa jana kuna mtaalam amekuja akanishauri ili kupunguza hizo gharama za kisima cha drilling zinazofikia milioni 8 mpaka 9,akanishauri tuchimbe kisima futi 20,kijengelewe vizuri kifungwe juu.

Gharama ya hii ni usiyozidi milioni 3,then niwe navuna maji ya mvua lita zisizopungua 60,000 kwa mwaka. Tunayatia dawa,water gud.Nayavuta kupandisha juu kwenye tank then tunaya-saplay nyumba nzima kwa matumizi ya kupikia na kufulia na kuoga. Sasa nauliza mwenye uzoefu vipi kuhusu hayo maji na huo mpango?
Lita 60,000 ni sawa na ndoo za maji 3,000 (ndoo 1 ni lt 20)
3,000÷12=250 ie ndoo 250 kwa mwezi au ndoo 9 kwa siku. Fanya tathmini hapo kwako unatumia ndoo ngapi kwa siku, then utakua na jibu.
 
Lita 60,000 ni sawa na ndoo za maji 3,000 (ndoo 1 ni lt 20)
3,000÷12=250 ie ndoo 250 kwa mwezi au ndoo 9 kwa siku. Fanya tathmini hapo kwako unatumia ndoo ngapi kwa siku, then utakua na jibu.
Kumbuka kuanzia mwezi wa tano mwashoni hadi wa kumi ndio kukame, miezi mingi mvua zinanyesha. 60,000 litres ni nyingi sana.
 
Hakuna tatizo, utapunguza gharama kubwa sana. 20' deep, 15' diameter gharama inaweza kufika 4m au zaidi kutegemeana na eneo husika.

Muhimu tu utumie tofali imara, usiwe bahili wa cement, ukiweza weka wire mesh ili kuimarisha kuta, chini weka ile nailoni nyeusi ili kuzuia maji kupotea, jenga msalaba ili kuimarisha kuta na hakikisha unalifunika ili mwanga wa jua usipenye ndani. Ukifanya hivi hata hizo water guard utaweka kwa utashi tu ilà haitakuwa lazima.

Utaokoa gharama nyingi kununua maji.

Mi huwa naweka mara moja moja sana na maji ni masafi kabisa. Na hatujawahi kuumwa kwaajili ya maji.
 
Wana JF wote nawasalimia kwa umoja wetu. Bila kupoteza muda naombeni ushauri.

Home kijijini kwetu kuna hali ya uhaba wa maji,nilikuwa nina mpango wa kuchimba kisima cha drilling. Sasa jana kuna mtaalam amekuja akanishauri ili kupunguza hizo gharama za kisima cha drilling zinazofikia milioni 8 mpaka 9,akanishauri tuchimbe kisima futi 20,kijengelewe vizuri kifungwe juu.

Gharama ya hii ni usiyozidi milioni 3,then niwe navuna maji ya mvua lita zisizopungua 60,000 kwa mwaka. Tunayatia dawa,water gud.Nayavuta kupandisha juu kwenye tank then tunaya-saplay nyumba nzima kwa matumizi ya kupikia na kufulia na kuoga. Sasa nauliza mwenye uzoefu vipi kuhusu hayo maji na huo mpango?
Futi20 mil9 we jamaa utapigwa danya makes u hYa mambo madogo tumieni mafundi wa hapo kijijini n wewe mweneyewe tumia common skills comon skills matofali ,safruji ,nondo, mchanga kokoto lZima ujue bei na kiwango idadi
 
Back
Top Bottom