Kisima cha kutunzia maji ya mvua

Kisima cha kutunzia maji ya mvua

Sawa mkuu asante kunitoa wasiwasi. Ni kweli kuna mvua inakesha unakuta siku 3 mfululizo. Sasa vipi kuhusu gharama ya hicho cha lita 120,000 haiwezi kuwa sawa tu na griling?. Griling kawaida kwa huku haizidi milioni 8
Gharama pigia tofari zenye ratio nzuri ie:25 kwa mfuko.

Hapo sementi ya kufyatulia tofari 500, zege ya slab na sakafu, pigia jumla mifuko 60 kwa ujenzi wote kwa ujumla, wire mesh 13, nondo 40, kokoto trip 1, mchanga trip 13, mollarm trip2, kuchimba shimo na gharama za kujenga maeneo ya kwenu vipoje, ingawa kuna ghrama ndogo ndogo sijaziweka.

Nimekupa huo mkadirio uupigie hasabu uone pa kuanzia.
 
Gharama pigia tofari zenye ratio nzuri ie:25 kwa mfuko.

Hapo sementi ya kufyatulia tofari 500, zege ya slab na sakafu, pigia jumla mifuko 60 kwa ujenzi wote kwa ujumla, wire mesh 13, nondo 40, kokoto trip 1, mchanga trip 13, mollarm trip2, kuchimba shimo na gharama za kujenga maeneo ya kwenu vipoje, ingawa kuna ghrama ndogo ndogo sijaziweka.

Nimekupa huo mkadirio uupigie hasabu uone pa kuanzia.
Asante
 
Nipo Dar mwaka wa 5 sasa natumia Maji ya mvua kisima cha ft 16 na yameunganishwa nyumba nzima jikoni mabafu yote na vyoo pia mabomba ya nje na kuna kabustani hapa Ila yanakutana mvua mpaka mvua,japo watu si wengi hapa na sina Maji ya Dawasco ...Maji yakijaa kwenye kisima mwaga chumvi kiasi inazuia yasiharibike.
 
Lita 9.5 kwa dakika? Hapana. Please please, please.


Standard shower head inatoa maji yasiyopungua lita 9.5 kwa dakika. By design. Na vyoo vya kishua vya option ni ghali wengi wetu tunatumia squatting toilets.. ambazo tank yake inakula lita tano.. pale kuna kamba tu au lever haja yoyote ..ile ukikavuta tu tano hizooo.



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
1) Lita laki moja ni sawa na Cubic meter 100 (100,000 /1000=100m³)

2) Ukichimba mita 4 (4m) x mita 5( 5m ) x mita 4(4m) yani (urefu mara upana mara kimo) =100m³ sawa na Lita 100,000

Hivyo ni vipimo vya ndani kwa ndani
Tofauti ya kimo na urefu nini hapa?
 
Back
Top Bottom