mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,527
- 10,538
Nimejaribu hii kitu ya kuvuna Maji baada ya Maji ya Makao Makuu kuwa adimu, ni balaa gharama ziko juu pia mafundi wameniogopesha eti kuweka Lita 5000 sio salama.
"Nikiibiwa kura nitaingiza watu barabarani"--Tundu Lissu.Hujui kitu wewe gamba waachie wataalam waliosomea hizo kazi,kwamba hujawahi sikia water harvesting technology? Hata lichama lako Lina sera hii ili kupunguza upotevu wa maji na uhaba pia
Better that. Sasa Sina shida kabisa ya maji
Hauna tofauti na kiazi!"Nikiibiwa kura nitaingiza watu barabarani"--Tundu Lissu.
Na majirani pia watapata majiKisima cha chini cha kufunikwa cha ujazo wa 60,000 ltr hiyo 3mln hazitoshi kabisa, badala yake bora kuchukua plastic tanks isio zidi 5,000 ltrs @ sababu zaidi ya hapo pia ni ghali zaidi pole pole
USHAURI WANGU: Kama maji ya kuchimba visima virefu yanapatikana hasa yasizidi 120 mtrs na uwezo wa hizo pesa unazo hiyo 9mln plus upate umeme This is the best option
Utapata maji mengi sana kwa mifugo yako na ya kumwagilia bustani, shamba na miti
Njoo kwa debe... Nilikuwa safari kikaziNaomba namba yako niko tayari kulipa consultation fee , tayari nimechimba kisima, na Tower tumejenga 8 mtr high base ya 3 m diameter matofali ya kulaza kila 2m bean nondo 4 na katikati sbb ni msaraba katikati kuna column ya nondo 4 toka chini.
Swali langu mnara huu unaweza beba tank la ujazo gani wa maji maximum ?
Swali la pili tofauti ya cost ya container per ltr kwa haya matank yafuatayo mfano wa 30,000 ltrs
1. Tank la kujenga chini ya ardhi moja au 2
2. Tank la kujenga juu ya ardhi 1,2 hata 3
3. Tank la plastic kwa maeneo nilipo 10,000L ni sh 2,400,000 site
2,400,000x3 =7,200,000 /30000 = Tsh 240 per lita maji
4. Tank plastic 3000L ni sh 520,000 site
650,000 x 10 = 6,500,000 /30,000 = Tsh 216 per lita
naomba msaada makadirio ya gharama namba 1 na 2 tafadhali
Wamekutisha bure tu...Nimejaribu hii kitu ya kuvuna Maji baada ya Maji ya Makao Makuu kuwa adimu, ni balaa gharama ziko juu pia mafundi wameniogopesha eti kuweka Lita 5000 sio salama.
Dah ndo maana mwenye nyumba kaning'olea kwanguStandard shower head inatoa maji yasiyopungua lita 9.5 kwa dakika. By design.Na vyoo vya kishua vya option ni ghali wengi wetu tunatumia squatting toilets.. ambazo tank yake inakula lita tano.. pale kuna kamba tu au lever haja yoyote ..ile ukikavuta tu tano hizooo.
![]()
![]()
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app



Unit 10 kwa mwezi mbona kidogo sana, una familia ya watu wangapi?Asante mkuu. Kwa mtaalam kaniambia zitatosha,kwa sababu mvua max zinaanza mwezi wa 11,zinaendelea mpaka wa 5 hivi,zitakoma kisima kitakuwa kimejaa. Tutatumia mwezi wa 6,7,8 9,10. Zaidi hizo lita 60 elfu tutazitegemea kwa hiyo miezi mitano mpaka 6. Kaniambia yatatutosha
Ni kweli mkuu mimi mwenyewe nimeliona hilo. Hicho cha hizo lita 120,000,si itakuwa gharama,sawa na kuchimba kisima cha griling mkuu?Unit 10 kwa mwezi mbona kidogo sana, una familia ya watu wangapi?
Tengeneza lenye ujazo wa lita 100,000 ama 120,000 ili uishi kifalme.
Halafu uelewe kuna upotevu wa asili wa maji.
Maji ni majanja sana lazima yapenye penye, yakutoroke hata kidogo hata kama umeimarisha kihandisi ujenzi wako.
Katika hesabu zako lazima uweke na ziada kukabiliana na loss.
Drilling wana bei chafu sn. Emb jaribu kufanya utafiti kote kote kabla haujachukua maamuzi.Ni kweli mkuu mimi mwenyewe nimeliona hilo. Hicho cha hizo lita 120,000,si itakuwa gharama,sawa na kuchimba kisima cha griling mkuu?
Ni kweli mkuu. Swali lingine najiuliza nyumba kubwa moja inatosha kukijaza kisima cha ujazo unaosema wewe huo wa lita 120,000?Drilling wana bei chafu sn. Emb jaribu kufanya utafiti kote kote kabla haujachukua maamuzi.
Nijuavyo kujenga ujazo tunaoujadili hakuwezi kukugharimu kama kuchimba.
Kisima cha 120,000L sio mchezo ni kikubwa mno na gharama yake itakuwa kubwa sana hadi kimalizike, na nyumba lazima iwe kubwa ili kuweza kukijaza. 50,000L zinatosha sana, height=5m, diameter=3.6m unapata roughly 50,000L ambazo zinatosha sana kwa matumizi ya nyumbani.Ni kweli mkuu. Swali lingine najiuliza nyumba kubwa moja inatosha kukijaza kisima cha ujazo unaosema wewe huo wa lita 120,000?
Asante tena Eli79Kisima cha 120,000L sio mchezo ni kikubwa mno na gharama yake itakuwa kubwa sana hadi kimalizike, na nyumba lazima iwe kubwa ili kuweza kukijaza. 50,000L zinatosha sana, height=5m, diameter=3.6m unapata roughly 50,000L ambazo zinatosha sana kwa matumizi ya nyumbani.
Mvua zote za masika zinajaza na zaidi.Ni kweli mkuu. Swali lingine najiuliza nyumba kubwa moja inatosha kukijaza kisima cha ujazo unaosema wewe huo wa lita 120,000?
Hapa umeonyesha uelewa wako ni wa taratibu. Anamaanisha miaka 10 ya misimu tofauti tofautiMiaka 10? Ni bora uyafungulie ukinge mengine.
Sawa mkuu asante kunitoa wasiwasi. Ni kweli kuna mvua inakesha unakuta siku 3 mfululizo. Sasa vipi kuhusu gharama ya hicho cha lita 120,000 haiwezi kuwa sawa tu na griling?. Griling kawaida kwa huku haizidi milioni 8Mvua zote za masika zinajaza na zaidi.
Ushawahi kushuhudia mvua1 inajaza maji kiasi gani?
Unatakiwa kuudhibiti upenu wote wa nyumba yako kwa magata na maji yote yaelekezwe tankini.
Kwanza zile mvua kubwa za kukesha,waweza kustaajabu kulijaza kwa muda mfupi usivyotegemea.
Kuchota kwenye kisima nafikiri haitawezekana mkuu. Ksbb kisima hakitakiwi kiingize mwanga kabisa,kufuatana na ushauri wa watalaamNdugu ushauri uliopewa Ni nzuri lakini hicho kisima kama unataka kutumia maji ya Mvua kwa Muda mrefu yakutane na maji ya Mvua msimu ujao, nakushauri usije ku- supply kwenye mabomba nyumba nzima hata miezi 8 hayawezi kufika. Ukitaka hayo maji yakufikishe na Mvua nyingine mchote kwenye kisima kwa kutumia ndoo au dumu hapo yatafika.
Ukichota maji kwenye ndoo ndogo unaoga vizuri tena kwa bajeti. Uweke Bomba la Mvua watu wengi wanaoga ndoo 2 badala ya moja.
Maji ya kufungua kwenye koki Yana rahaa Yake yanatumika mengi kuliko kuchota kwenye kisima.
Kama unataka ku- supply kwenye system nzima ya mabomba ndani nyumba nakushauri chimba kisima cha drilling