Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,216
Sisi waswahili bwana.. Kama hatujachuchuma Bado hujafanya yako...halafu na choo kikishaanza kula vilaki laki tunaghairi.. [emoji16][emoji23][emoji23] sikujua hili, 9.5L/min nadhani ni nyingi mno mkuu. Elevation ya tank hapo ni mita ngapi, kwa sababu hydraulic pressure itategemea sana tank lilipo. Tank/sink lenye options ni zuri zaidi, ukikojoa unabofya inatoka 2L, ukikaa ndio 5L zinakwagika.[emoji23]
Kweli nyumba ni choo ila ndio bei yake ilingane na kitanda!?[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app