Kisa cha kweli: Mama wakwe wengine pasua kichwa

Kisa cha kweli: Mama wakwe wengine pasua kichwa

Hii dunia kadri siku zinavyo zidi kwenda ndivyo maswala ya ndoa yanavyo zidi kuwa magumu tena hasa kwa vijana ambao hawajaoa wenye mioyo midogo ndio wanazidi kukata tamaa. Ila mungu yupo
 
Hii dunia kadri siku zinavyo zidi kwenda ndivyo maswala ya ndoa yanavyo zidi kuwa magumu tena hasa kwa vijana ambao hawajaoa wenye mioyo midogo ndio wanazidi kukata tamaa. Ila mungu yupo
Kabisa atawasimamia imshallah
 
Hapana, issue nyingine ni busara tuu, sasa wewe unaumwa mwenzio kachepuka bahati mbaya kazaa huko unakataa mtoto kwanini???
Hizo busara angeanza kutumia yeye kwanza mwenzie anaumwa yeye anawaza k tu pili anhekumbuka na condom pia...kwa hiyo ata yeye pia alikosa busara za kuheshimu ndoa yake
 
Hizo busara angeanza kutumia yeye kwanza mwenzie anaumwa yeye anawaza k tu pili anhekumbuka na condom pia...kwa hiyo ata yeye pia alikosa busara za kuheshimu ndoa yake
Hivi nyie mnajua nguvu ya nyege kweli?? Imeishatokea ulitaka afanyeje?? Utakuwa mchagga wewe ubabe wenu utawaponza.
 
Back
Top Bottom