A nawaza watoto wake kwani sasa tayari na yeye ana watoto wa tatu.....ila Mimi kwa ujeuri wangu ningeondoka tu
sio kama hataki shida hapa mama wa mwanaume ndio anang'ang'aniaUnaposema wakwe Wana matatizo hata wewe mzazi Kuna atakua mkwe kama bado si mkwe, hivyo Basi, katika generalization yako, hata mzazi wako anaingia kwenye Hilo kundi, nae ataoneka ana matatizo kwa wakwe zake yaani kwa wake za Kaka zako.
Maradhi ya Kiswahili ndo yapi hayo?
Huyo mchepuko aliyezalishwa hataki mtoto wake? Au jamaa alizaa na Dada poa maana sio rahisi Mama kukataa kuishi na mtoto wake hadi akaishi kwa Bibi yake au kwa baba yake.
Pole mkuu nae ana balaaa gani tenanilivyoona mama mkwe nikashtuka maana mama mkwe wangu ni changamoto asee,ipo siku isiyo na jina nitapata kesi yakumkata makofi.
A nawaza watoto wake kwani sasa tayari na yeye ana watoto wa tatu.....ila Mimi kwa ujeuri wangu ningeondoka tu
Wakumkuta nae lkn hata kwa kuchepuka si huwa mnachepuka na kuzaa watoto wa waume wengine?Waite wanaume wenzakoo hapa waje wathibitishe kama wana uwezo wa kukubali mkewe achepuke amletee mtoto sio wake akubali alafu anajua si wake labda uniambie amemkuta nae hapo sawa
Kwani hawajaoana wale unadhani ndoa kuitwa ndoa ni mpaka iweje? Sema nyie wanawake mlio wengi hampendi watoto wa wanawakewenzenuKwani zari kaolewa vile na Diamond
Alimaanisha eeeh!!na una uhakika alichokisema kamaanisha
Dah aisee mbona mtihan sanaYahn hatariiii....usiombeee kabisaaa
Sio woteWakumkuta nae lkn hata kwa kuchepuka si huwa mnachepuka na kuzaa watoto wa waume wengine?
Mwanangu anakusalimia.weeee usifanye utani na kuletewa mtoto ukiwa upo kwenye ndoa bola Mara mia umkute nae...Mimi siwezi binafsi na sina moyo huo nikimkuta sawa ....yahni Mimi Nike kuhudumia mtoto kumfulia kumfanyia kila kitu alafu wamenifanyia usaliti.....Tena Mara mia aje akiwa na akili zake timamu anaweza kufanya kila kitu