Mima white cute
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 740
- 1,305
- Thread starter
- #61
Na Mimi namsalimiaa sanaaaaaMwanangu anakusalimia.
Na Mimi namsalimiaa sanaaaaaMwanangu anakusalimia.
Ewaaaaaa umpende banaaa siunajua mtoto Wa ujana !!Na Mimi namsalimiaa sanaaaaa

hapana alimwambia tu kuwa vile anavyofanya kutaka yule mzazi wa yule mtoto kufanya awe karibu vile na mwanae Nina yake awe mke wa pili......ndio mama analia kazalilishwa katukanwaHapo mama mkwe anapaswa kua sehemu ya kutatua tatizo nasio kua sehemu ya kuongeza tatizo.
Lkn km huyo mwanamke alimtukana mama mkwe ,, naye nimswahili nanisehemu ya Tatizo pia.
Hata wangu ni mtatanilivyoona mama mkwe nikashtuka maana mama mkwe wangu ni changamoto asee,ipo siku isiyo na jina nitapata kesi yakumkata makofi.
Mimi huyo sina tabu nae tabu utakaponiletea mwingine sasa hivi na Mimi nipo ndio balaaa linanzia hapo patachimbika bila jembe.....huyo niliyemkuta sina tabu nae kabisaaaa Tena napenda mnooooooEwaaaaaa umpende banaaa siunajua mtoto Wa ujana !!![]()
![]()
Oohhh basi hapo mama mkwe nimswahili yeye anachotaka nkuone ndoa inavunjikahapana alimwambia tu kuwa vile anavyofanya kutaka yule mzazi wa yule mtoto kufanya awe karibu vile na mwanae Nina yake awe mke wa pili......ndio mama analia kazalilishwa katukanwa
Aya siwezi kuongeza mwingine nawakat upo weeMimi huyo sina tabu nae tabu utakaponiletea mwingine sasa hivi na Mimi nipo ndio balaaa linanzia hapo patachimbika bila jembe.....huyo niliyemkuta sina tabu nae kabisaaaa Tena napenda mnoooooo
jiandae tu kuongia leba uniletee wakiume tena.

Aliyewaroga nyie alishakufa, sasa kiherehere choote cha nini??Ndio mkuu
Bhana vyovyote itavyokuwa mtoto wa kuletewa hali ya kuwa ww upo kwenye ndoa inauma yahn hiyo anakuthibitishia kwamba yeye anachepuka na kinga hatumiiii...kwa Mimi sitaki kuwa mnafki hapo ukweli naujua mwenyewe....mnikimkuta nae hapo sawaUyo dada naye ana roho mbayaaa kwanini asilee mtoto wa mume wake roho mbaha haijengi inabomoa na hapo ndo imeanza ubomoaji tiyari kwa ma mkwe itaenda kwa mawifi
Cha kama ilivyoAliyewaroga nyie alishakufa, sasa kiherehere choote cha nini??
Sasa mwanae asimlee..!Cha kama ilivyo
Yahni acha tuOohhh basi hapo mama mkwe nimswahili yeye anachotaka nkuone ndoa inavunjika
Nahiii kitu utaipata kwa wakwe walowalea watoto wao wenyewe bila baba...yaaaan atakua nimwamuzi wakila kitu kwamwanae.
Acha tu yahniYahni acha tu
Ulisoma ukaelewa mkuu....au umetoka usingizini...wapi hapo amekatazwa asimlee mtoto wakeSasa mwanae asimlee..!
Nyie mnashida akisema atume hele kwa mama mwenyemtoto domo hizo mnazifuta, amlete mtoto mipovu sasa km,alikuwa mgonjwa alitaka jamaa afanyeje??Ulisoma ukaelewa mkuu....au umetoka usingizini...wapi hapo amekatazwa asimlee mtoto wake
Condom azijuiiNyie mnashida akisema atume hele kwa mama mwenyemtoto domo hizo mnazifuta, amlete mtoto mipovu sasa km,alikuwa mgonjwa alitaka jamaa afanyeje??