Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Ninachoelewa tupo hapa kujuzana mambo ambayo ni mapya kwetu

Upande wangu kweny kuokoa jahazi bado saan kwan akil angu yenyew hii inahitaji vingi saan kutoka hapa ila ngoja niwepo hapa alaf ntatoa ninayoyafaham japo kidog
Kuna reply yako moja uliandika herufi kubwa tupu.. Mbona umeifuta?
 
Kuna reply yako moja uliandika herufi kubwa tupu.. Mbona umeifuta?
Nimehisi nimetumia lugha ambayo sio nzuri na nimeitoa kutokana na comment ulotoa kwa reply ya mwanzo

Nikaona nisije nikaharibu mambo wakati nina mengi ya kujifunza hapa kwa wakubwa zangu
 
Nimehisi nimetumia lugha ambayo sio nzuri na nimeitoa kutokana na comment ulotoa kwa reply ya mwanzo

Nikaona nisije nikaharibu mambo wakati nina mengi ya kujifunza hapa kwa wakubwa zangu
Hapa tunabishana kwa hoja hivyo si vema kutumia lugha zisisofaa... Umefanya vema kuifuta... Ni aina fulani ya kujitambua
 
Hapa tunabishana kwa hoja hivyo si vema kutumia lugha zisisofaa... Umefanya vema kuifuta... Ni aina fulani ya kujitambua
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
BASI MKUU KUMBE NINA AKILI

aya tuendelee sas kwan nimeanza kitambo kufuatilia ii thread mpka nikafika mlipo leo

Naamini ntakuwa na yakuchangia japo kiuchache
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
BASI MKUU KUMBE NINA AKILI

aya tuendelee sas kwan nimeanza kitambo kufuatilia ii thread mpka nikafika mlipo leo

Naamini ntakuwa na yakuchangia japo kiuchache
Karibu tuendelee
 
Sasa hauoni kwamba maelezo yako yanatilia shaka? Sijafikia bado kwenye kuhitimisha kipi cha uongo.

Kwa maelezo yako, maneno yanaweza kuthibitisha jambo? Nahitaji jibu.

Aliyedanganya ni Mungu kama ulivyodai awali, na kama ni kweli alidanfanyaje?

Una orodha yenye uongo wote uliosemwa duniani na unaweza kueleza umetumia vigezo vipi kusema huu ni uongo ambao dunia imepata kuutambua?
Hayo maneno una sema ww lakn kanisa lilishakiri kuwa walifanya makosa kumuua Gallileo kwa kuwa alikuwa sawa na kama kanisa limekubali maneno yako yanakuwa hayana nguvu kwakuwa ww huna mamlaka juu ya kanisa
 
Hayo maneno una sema ww lakn kanisa lilishakiri kuwa walifanya makosa kumuua Gallileo kwa kuwa alikuwa sawa na kama kanisa limekubali maneno yako yanakuwa hayana nguvu kwakuwa ww huna mamlaka juu ya kanisa
Kuna kitu nimeona unakosea maranyingi... Ndani ya Ukristo kuna sects nyingi tu na hizi ndio zinaunda makanisa tofauti.... Kwahiyo unapoongelea kanisa useme wazi ni kanisa gani
 
Sasa hapo unawazungumzia wengine itakuwa sio haki kuwajibia... Imani ni jambo binafsi sana
Hata ww bdo upo huko huko ktk utamaduni wa mashariki ya kati ingawa kama unajificha jiulize kwann mungu aitwe yahweh au adonai au jehovah au allah na asiitwe brandon lee au kwann mtu wa kwanza aitwe adam na asiitwe mshana?
 
Kuna kitu nimeona unakosea maranyingi... Ndani ya Ukristo kuna sects nyingi tu na hizi ndio zinaunda makanisa tofauti.... Kwahiyo unapoongelea kanisa useme wazi ni kanisa gani
Kanisa lile lilimfunga miaka ile ndio lililo tengua hiyo hukumu ili mradi ni kanisa lenye kumtangaza masihi yesu
 
Nachomaanisha huo ni utamaduni wa waebrania nyinyi mnafanya dini jiulize kwann mungu aitwe yahweh au jehovah au adonai na asiitwe Jack chan au kwann mtu wa kwanza aitwe adam na asiitwe Tz mbongo
Tatizo lenyewe hata tukianza kujadili utakuja kusema hata huyo Mungu hayupo,hapo tena inafanya hayo majadiliano yasiwe na maana na ndiyo maana tumeshauri tuache habari za dini tuzungumzie Mungu kama Mungu.
 
Hayo maneno una sema ww lakn kanisa lilishakiri kuwa walifanya makosa kumuua Gallileo kwa kuwa alikuwa sawa na kama kanisa limekubali maneno yako yanakuwa hayana nguvu kwakuwa ww huna mamlaka juu ya kanisa

Hivi mimi nimetaja kanisa mahali?
Kwa hiyo wakati unaandika Mungu amedanganya, uliandika kwa kuwa kanisa (sijui unamaanisha nini) limesema au kwa vile Gallileo aliuwawa?

Mbona kama hauelewi msingi wa maswali yangu niliyokuuliza awali?
 
Kama Mungu hayupo ni nini hatima yetu baada ya umauti wetu?
 
Hata ww bdo upo huko huko ktk utamaduni wa mashariki ya kati ingawa kama unajificha jiulize kwann mungu aitwe yahweh au adonai au jehovah au allah na asiitwe brandon lee au kwann mtu wa kwanza aitwe adam na asiitwe mshana?

Kwanini unataka kunilisha maneno!? Hivi unaelewa tofauti ya tamaduni na lugha kweli? Tena huko umeenda mbali unataka kusema makabila yote Tanzania yanamuita Mungu?
Hiki kingine ulichoandika kuhusu Adam asiitwe Mshana ndugu yangu wewe sina la kusema..
Nje ya hii username yako si una jina lingine? Kwanini ujiite na kuitwa hayo majina yako mengine na si mengine yoyote?
 
Swali langu moja tu, sababu hasa inayokufanya uamini kua Mungu yupo ni ipi?
sababu moja ni.kua hakuna kitu chochote kinachoeza kutokea au kujiumba bila kuundwa kwa hio dunia na vilivyomo vyote vimeumbwa na alieviumba ndio mungu...nami nakuuliza niambie kitu kinachoeza tokea chenyewe tuh
 
sababu moja ni.kua hakuna kitu chochote kinachoeza kutokea au kujiumba bila kuundwa kwa hio dunia na vilivyomo vyote vimeumbwa na alieviumba ndio mungu...nami nakuuliza niambie kitu kinachoeza tokea chenyewe tuh
Jiandae kuulizwa Mungu nae kaumbwa na nani?
 
Andika kiingereza cha kueleweka moja kwa moja ama kiswahili
Halafu unasema ati ndio watu wanachosubiri toka kwangu? [emoji3] [emoji3] [emoji3] mimi ni nani? Naona umedandia mjadala
Iko hivi niliuliza swali la kama una AKILI ama huna AKILI? Sikujibiwa bali nikaulizwa AKILI ninini nikasema AKILI ni AKILI.. Hili jibu hukuliona?

Unachotakiwa ni kufafanua maana ya neno Akili kwa kuwa hata yeye alishakufafanulia kwa kutoa mfano wake juu ya ukristo.

Na wewe ulipaswa ufafanue kama baadhi ya memba humu walivyojitahidi kufafanua maana ya neno Akili kwa namna wanavyofahamu wao.
 
Back
Top Bottom