Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,170
sababu moja ni.kua hakuna kitu chochote kinachoeza kutokea au kujiumba bila kuundwa kwa hio dunia na vilivyomo vyote vimeumbwa na alieviumba ndio mungu...nami nakuuliza niambie kitu kinachoeza tokea chenyewe tuh
Hehehe, unaona sasa uwezo wa kufikiri ulivyo mdogo?
Unasema hakuna chochote kinachoweza kujiumba bila kuundwa, haya niambie mungu imekuaje yeye akajiumba? au na yeye aliumbwa na mungu mwingine? na huyo mwingine alijiumbaje? Unaongea sentensi ambayo inajifunga yenyewe.