Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,243
- 13,535
Nini mwendelezo wa chanzo cha kifo?😎Mzee kifo ni chanzo (state) sio mchakato (process)
Chanzo kina mwendelezo, mchakato una kikomo
Nini mwendelezo wa chanzo cha kifo?😎Mzee kifo ni chanzo (state) sio mchakato (process)
Chanzo kina mwendelezo, mchakato una kikomo
Tofautisha kuuliza na kufafanuaUnachotakiwa ni kufafanua maana ya neno Akili kwa kuwa hata yeye alishakufafanulia kwa kutoa mfano wake juu ya ukristo.
Na wewe ulipaswa ufafanue kama baadhi ya memba humu walivyojitahidi kufafanua maana ya neno Akili kwa namna wanavyofahamu wao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kwa akili zao ngoja nijiandaeJiandae kuulizwa Mungu nae kaumbwa na nani?
Katika imani ya Mungu mmoja ni kusubiri kiama ili hukumu itoleweNini mwendelezo wa chanzo cha kifo?😎
Katika imani ya Mungu mmoja ni kusubiri kiama ili hukumu itolewe
Katika imani ya miungu ni kuingia kwenye mzunguko wa kuzaliwa tena kwenye mazingira na umbo tofauti kulingana na maisha yako ya nyuma
Kwa wale wasioamini katika Mungu na miungu mwili huingia kwenye mwanzo wa mchakato kuoza, kuwa chakula cha wadudu, kugeuka mbolea, kuzalisha gesi mafuta nknk
Je kuna ushahidi wa huu mchakato kugeuka kuwa mbolea au ni nadharia tu na hadithi za kufikrika?Katika imani ya Mungu mmoja ni kusubiri kiama ili hukumu itolewe
Katika imani ya miungu ni kuingia kwenye mzunguko wa kuzaliwa tena kwenye mazingira na umbo tofauti kulingana na maisha yako ya nyuma
Kwa wale wasioamini katika Mungu na miungu mwili huingia kwenye mwanzo wa mchakato kuoza, kuwa chakula cha wadudu, kugeuka mbolea, kuzalisha gesi mafuta nknk
. Ushahidi wa mwili kugeuka mbolea ni kutokana na kuoza.. Ukiachana na mbolea za viwandani mbolea asili hutokana na end product kama kinyesi na vitu vilivyokufa na kuozaJe kuna ushahidi wa huu mchakato kugeuka kuwa mbolea au ni nadharia tu na hadithi za kufikrika?
Je roho nayo inakuwa mbolea?
Kuna aliyewahi kufika ahera akajakutuhadithia ya huko?
yupo aliefika na pia yako maandiko juu ya huko..ila hata tukikuambia utabisha tuh maana huna hio imani maswali yako hayataishaJe kuna ushahidi wa huu mchakato kugeuka kuwa mbolea au ni nadharia tu na hadithi za kufikrika?
Je roho nayo inakuwa mbolea?
Kuna aliyewahi kufika ahera akajakutuhadithia ya huko?
Bila mbwembwe hakuna maendeleo.Punguza mbwembwe jamaa duh[emoji23][emoji23][emoji23]
Hujaelewa vizuri.Nimeeleza kuwa mimi sio mungu hivyo sina sifa ya ujuzi wote na uwezo wote,na kwa maana hiyo kuomba kwangu kunaonesha kwamba sina hizo sifa lau ningekuwa nazo nisingeomba.
Sijasema popote kwamba ili ujadili jambo inabidi uelewe immanent critique, unaelewa hilo?Nani amekwambia ili ujadili jambo lazima uelewe immanent critique.
Wewe kwa uelewa wako mkubwa na kuijua immanent critique unaona hiyo sentensi iko sawa?
Kwenye sentensibyako ya mwanzo uliweka neno ikiwa?
Nilikutolea mfano wa Kiranga, haukuweza kujibu zaidi ya kulingiza na kulazimisha kuna mambo hayajaandikwa, ukaja na contradiction, na sasa umeleta immanent critique...
Mbaya zaidi, nilitaja kiwango cha uelewa tokea mwanzo, ukapinga sasa nashangaa tunarudi hukohuko.
Naomba nisiendelee kujibizana na wewe.
Sijasema popote kwamba ili ujadili jambo inabidi uelewe immanent critique, unaelewa hilo?
Hapo katikati kwenye mfano wako sijataka hata kuongelea kwa sababu ntakua najibizana na wewe kitu ambacho nimeamua kuacha.
Sasa kama huelewei immanent critique mjadala unaweza kukuchanganya.
Naweza kuanza ku argue kwamba Mungu hayupo, kwa kusema "Ikiwa Mungu yupo...", ukasema nishaanza kwa kukubali Mungu yupo.
"Sioni tija ya kujibizana na wewe. Unahitaji kukuza uelewa wako kwanza."
Kuna hii nimeikuta mahaliSasa kama huelewei immanent critique mjadala unaweza kukuchanganya.
Naweza kuanza ku argue kwamba Mungu hayupo, kwa kusema "Ikiwa Mungu yupo...", ukasema nishaanza kwa kukubali Mungu yupo.
"Sioni tija ya kujibizana na wewe. Unahitaji kukuza uelewa wako kwanza."
Uwezo wangu umekua kiwango cha kujibizana na wewe mkuu?
Unajuaje kuna aliyeanzisha - aliyeanzisha maana yake kuna mtu/Mungu/ some being mwenye consciousness- na ulimwengu haujaanza kwa kitu kingine tofauti usichokijua bado kama ambavyo sisimizi anaweza kuwa hajui hesabu za string theory?Mimi ninaamini kuwa Mungu yupo, kwa uthibitisho kuwa, ulimwengu wote huu tuuonao leo chanzo ni yeye!!
Kwamba kwa sababu ulimwengu upo, basi kunaaliyeuanzisha/kilichouanzisha. Basi kwangu mimi huyo/hicho ndiyo Mungu.
Lakini habari zake ambazo ndiyo rasmi, zisizo na uthibitisho usio na shaka, mimi sina.
Na haiwezekani kwangu mimi Mungu eti akawa Beyonce kwa mafano. Kwa kufanya hivyo nitakuwa nimetengeneza contradiction kubwa. Yaani beyonce aliyezaliwa mwaka 1981, ndiyo awe Mungu aliyeuanzisha huu ulimwengu zaidi ya mamia billions iliyopita, haiwezekani!!
Bado sijaona popote ambapo nimesema kwamba ili ujadili jambo inabidi uelewe immanent critique.Uwezo wangu umekua kiwango cha kujibizana na wewe mkuu?
Bado sijaona popote ambapo nimesema kwamba ili ujadili jambo inabidi uelewe immanent critique.
Naweza kuwa nimesema kwamba ili ujadili jambo hili -linalohusiana na immanent critique- inabidi uwe unaelewa immanent critique.
Lakini hilo halimaanishi kwamba ili ujadili jambo lile, ambalo halihusiani na immanent critique, inabidi uelewe immanent critique.
Bado sijaona popote ambapo nimesema kwamba ili ujadili jambo inabidi uelewe immanent critique.
Unaelewa hilo?
Unaelewa kwamba unaweza kuelewa pi mpaka decimal places 4 lakini tukiipeleka kwenye decimal places 10 ukawa huelewi?Unazidi kujichanganya tu.
Unaulizaje kama naelewa wakati umesema hauwezi kuendelea kujibizana na mimi hadi ntakapokuuza uelewa wangu?
. Ushahidi wa mwili kugeuka mbolea ni kutokana na kuoza.. Ukiachana na mbolea za viwandani mbolea asili hutokana na end product kama kinyesi na vitu vilivyokufa na kuoza
. Roho haiwezi kuwa mbolea labda useme moyo... Roho sio substance na roho haifi
.Kifo ni kama risasi ama matamshi hakuna rivasi.. Likitoka limetoka
Hakuna haja ya kubishana.Wewe endelea na imani yako na mimi naendelea na yangu.yupo aliefika na pia yako maandiko juu ya huko..ila hata tukikuambia utabisha tuh maana huna hio imani maswali yako hayataisha
Kuna watu wanashinda kesi mahakamani na kuonekana hawana hatia kwa kukosekana ushahidi ijapokuwa ni kweli walikuwa na unaweza ukawa huna makosa ila ushahidi ukaonesha una makosa.