Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Mi naamini uwepo wa mungu aliye hai muumba bingu na ardhi lkn suala moja tu linalonitatizaga "Urithi wa dhambi"yaani makosa alifanyaga Babu yako huko nineteen kweusi Leo hii wewe unatakiwa uwajibike, hapo...Mkuu Mshana Jr hebu nipe kasomo kidogo kuhusu hili suala la kurithi dhambi limekaaje kiimani...maana inawezekana tunapambana Shaka lkn hatutoki kumbe tunalipa dhambi za wetu huko walipo....
Kuna mada yake nitakutag usijali... Lakini kuna kitu kinaitwa kizalia ama DNA, angalia bomu la Hiroshima... Walipigwa wengine lakini mpaka wa leo watu wanazaliwa wakiwa na ulemavu.. Hiki ndicho alichomaanisha Mungu
 
Tutaweza kujadili tu endapo swali la una AKILI ana huna AKILI litapata majibu.. Astronomer the great alinijibu na nikampongeza
Ukitoa swali na mtu akakupa jibu na wewe ukampongeza inaashiria kajibu vile ulivyotegemea iwe.

Sasa kumbe tayari swali lako limeshapatiwa majibu lakini bado unalirudia tu kuliuliza ili upoteze muda!

Au shida yako ni mpaka ajibu nani!?

Hivi ukiwa Tz ukapewa hesabu ya 3+5=8,jibu lake linaweza kuwa tofauti na 3+5=? huko Marekani!?
 
Mkuu hilo tatizo umekuwa muislam au mkristo kwa ajili ya wazazi wako wamekuwa hivyo iyo inamaanisha kuwa ni sawa upo ktk utamaduni fulani ni ngumu kuacha
Umetaka kujua nimemjuaje Mungu,nimekupa jibu la uhalisia,hayo ya utamaduni ni mengine.
 
Hilo ndio tatizo mkuu mtoto wa miaka mitatu ana uwelewa gani mpaka abebeshwe habari kama hizo nimegundua nyinyi mmekuwa waislam au wakristo kwa ajili ya wazazi wenu ina maana ww ukristo au uislam ni kama utamaduni kwako ngumu kuacha ht kama kuna uwongo kiasi gani
Ni mtazamo wako usioakisi uhalisia....kila kitu kina asili yake... Na asili haifi....
1. Nimezaliwa mimi kama mimi... Mengine yote nimekuja kuyakuta duniani wakati wa makuzi... Na kama kuna mtu angekuwa Muislam kindakindaki basi ningekuwa mimi kwakuwa kwanza pande zote mbili za wazazi wangu ni mixer ya hizo dini mbili
Pili mazingira niiyokulia ni ya uislam na madrasa nimeenda sana.. Sehemu kubwa ya marafiki walikuwa waislam mpaka na ndugu pia...
Ukubwani nikajifunza kuna kitu zaidi ya ukristo na uislam... Na nikaamua kufahamu ninini... Nikaenda nikasoma kote huko... Na kwa taarifa yako ni kwamba nimesoma na kuhudhuria mpaka ibada za satanism...
Maisha yangu ya ajira kwa 75% nimefanya kazi na watu wasiomjua Mungu acha kuamini.. Hawamjui kabisa
Nikikwambia leo mimi ni mkristo.. Sio kwa bahati mbaya.. Sio blind faith... Najua kwa HAKIKA kwanini nimeamua kuwa Mkristo mwamini wa Mungu mmoja...
 
Acha filibustering fafanua maana ya akili ni nini,kwani hicho ndicho watu wanasubiri kwa hamu kutoka kwako.
Andika kiingereza cha kueleweka moja kwa moja ama kiswahili
Halafu unasema ati ndio watu wanachosubiri toka kwangu? [emoji3] [emoji3] [emoji3] mimi ni nani? Naona umedandia mjadala
Iko hivi niliuliza swali la kama una AKILI ama huna AKILI? Sikujibiwa bali nikaulizwa AKILI ninini nikasema AKILI ni AKILI.. Hili jibu hukuliona?
 
Ukitoa swali na mtu akakupa jibu na wewe ukampongeza inaashiria kajibu vile ulivyotegemea iwe.

Sasa kumbe tayari swali lako limeshapatiwa majibu lakini bado unalirudia tu kuliuliza ili upoteze muda!

Au shida yako ni mpaka ajibu nani!?

Hivi ukiwa Tz ukapewa hesabu ya 3+5=8,jibu lake linaweza kuwa tofauti na 3+5=? huko Marekani!?
Alijibu mwingine na nikampongeza.. Wewe hukuweza kujibu... Na hata hapa nimemjibu mwingine kama mrejesho mbona hueleweki wewe!?
 
Tutaweza kujadili tu endapo swali la una AKILI ana huna AKILI litapata majibu.. Astronomer the great alinijibu na nikampongeza
Ndugu Mshana Jr , kwa upana wa neno 'akili' ni bora ukaweka mipaka ya ufafanuzi wa neno hilo!

Kwa ujumla na kwa maana sisisi, akili ni uwezo wa kufikiri na kukumbuka!!

Na neno hilo lina maana zingine, mfano:

Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Kwamba kwa sababu kila mtu sharti awe na nywele(popote pale kwenye mwili wake), hivyo kila mtu ana akili.

Na pia, akili ni mali, na hapa si kila mtu ana mali, hiyo ina maana kwamba si kila mtu ana akili.

Hata kule kijijini kwetu, kuna mtu anaitwa Akili Mali.

Kwa hiyo, neno akili lina maana nyingi, na zote ziko sahihi kulingana na muktadha husika!!

Unapotaka maana ya Akili, kwa ufafanuzi kuwa akili ni akili, hapo mtu ana haki ya kusema chochote kuhusiana na akili, na bado akawa yupo sahihi!!

Kwa mfano, mtu anaweza jibu, Akili ni diwani wa kata ya kalebejo huko bukoba, mila mipaka ya jibu atakuwa yupo sahihi.

Je bwana Jr, unataka maana ya akili kwa muktadha upi!?
 
Ndugu Mshana Jr , kwa upana wa neno 'akili' ni bora ukaweka mipaka ya ufafanuzi wa neno hilo!

Kwa ujumla na kwa maana sisisi, akili ni uwezo wa kufikiri na kukumbuka!!

Na neno hilo lina maana zingine, mfano:

Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Kwamba kwa sababu kila mtu sharti awe na nywele(popote pale kwenye mwili wake), hivyo kila mtu ana akili.

Na pia, akili ni mali, na hapa si kila mtu ana mali, hiyo ina maana kwamba si kila mtu ana akili.

Hata kule kijijini kwetu, kuna mtu anaitwa Akili Mali.

Kwa hiyo, neno akili lina maana nyingi, na zote ziko sahihi kulingana na muktadha husika!!

Unapotaka maana ya Akili, kwa ufafanuzi kuwa akili ni akili, hapo mtu ana haki ya kusema chochote kuhusiana na akili, na bado akawa yupo sahihi!!

Kwa mfano, mtu anaweza jibu, Akili ni diwani wa kata ya kalebejo huko bukoba, mila mipaka ya jibu atakuwa yupo sahihi.

Je bwana Jr, unataka maana ya akili kwa muktadha upi!?
@mpatto usipotoke... Sikuweka kigezo cha kujibiwa kwa muktadha upi...
Ukiulizwa swali jibu kwa muktadha wako kuna shida gani kujibu? Unaogopa kukosea? Kwani lazima upatie? Si umejibu lakini?
Mbona mimi nimeulizwa AKILI ni nini sikuuliza kwa muktadha upi? Si nilijibu kuwa AKILI ni AKILI? Hili ndio jibu langu nimekosea ama nimepatia hicho ni kitu kingine!
Usitake kuniambia shule ulizosoma ulikuwa ukipewa maswali ya kujibu unaulizia muktadha...
 
@mpatto usipotoke... Sikuweka kigezo cha kujibiwa kwa muktadha upi...
Ukiulizwa swali jibu kwa muktadha wako kuna shida gani kujibu? Unaogopa kukosea? Kwani lazima upatie? Si umejibu lakini?
Mbona mimi nimeulizwa AKILI ni nini sikuuliza kwa muktadha upi? Si nilijibu kuwa AKILI ni AKILI? Hili ndio jibu langu nimekosea ama nimepatia hicho ni kitu kingine!
Usitake kuniambia shule ulizosoma ulikuwa ukipewa maswali ya kujibu unaulizia muktadha...
Ni sahihi usemacho, kwamba cha msingi mtu atoe jibu kulingana na anavofahamu.

Kama hilo swali ni ruksa kujibiwa na yoyote basi naomba nijibu kuwa,

akili ni uwezo au weledi wa kutafuta jibu au utatuzi wa tatizo au changamoto flani.

Kwa mantiki hiyo, mimi akili ninazo!
 
Wewe unaesema Mungu "amedanganya" wakati huohuo hayupo. Nakuuliza amedanganyaje?

Unaleta maelezo na vitabu. Unaelewa tofauti ya mtu kutenda jambo na kupata maelezo ya huyo mtu?

Ungesema maelezo juu ya Mungu yamedanganya. Kusema yeye kadanganya ina maana tofauti kabisa.

Sasa wewe ulieshindwa kilichokufanya uandike Mungu kafanganya ndio una hoja? Iko wapi hoja yako?
Iwe mungu amedanganya au maelezo juu ya mungu yamedanganya yote ni uwongo ambao dunia imepata kuutambua
 
Umetaka kujua nimemjuaje Mungu,nimekupa jibu la uhalisia,hayo ya utamaduni ni mengine.
Nachomaanisha huo ni utamaduni wa waebrania nyinyi mnafanya dini jiulize kwann mungu aitwe yahweh au jehovah au adonai na asiitwe Jack chan au kwann mtu wa kwanza aitwe adam na asiitwe Tz mbongo
 
Ni sahihi usemacho, kwamba cha msingi mtu atoe jibu kulingana na anavofahamu.

Kama hilo swali ni ruksa kujibiwa na yoyote basi naomba nijibu kuwa,

akili ni uwezo au weledi wa kutafuta jibu au utatuzi wa tatizo au changamoto flani.

Kwa mantiki hiyo, mimi akili ninazo!
Sasa hapo nikikubishia kwa jibu lako nitakuwa mimi sina akili.. Nimekuuliza umejibu kwa mtazamo wako...sasa kwanini wengine mpaka sasa hawataki japo kujaribu kujibu?
 
Iwe mungu amedanganya au maelezo juu ya mungu yamedanganya yote ni uwongo ambao dunia imepata kuutambua

Sasa hauoni kwamba maelezo yako yanatilia shaka? Sijafikia bado kwenye kuhitimisha kipi cha uongo.

Kwa maelezo yako, maneno yanaweza kuthibitisha jambo? Nahitaji jibu.

Aliyedanganya ni Mungu kama ulivyodai awali, na kama ni kweli alidanfanyaje?

Una orodha yenye uongo wote uliosemwa duniani na unaweza kueleza umetumia vigezo vipi kusema huu ni uongo ambao dunia imepata kuutambua?
 
Unajua wadau roho inauma mpka nataman kutukana ,,,

Yaan toka uzi unaanza mpak saiz ayo maswal mawil yamekosa majibu kwel??

Na ndo yamefanya ata mada isiweze kuendelea mbele??

NAJUA MSHANA NA KIRANGA MMENIZIDI UMRI MPAKA AKILI ILA SIELEWI KWANINI MMESHINDWA KUTUPA MADINI YANAYOELEWEKA

MMETUMIA MDA MREFU SANA KUBISHANA JAMBO DOGO TU NA MAJIBU HAYAJAPATIKANA DAH
 
Ni mtazamo wako usioakisi uhalisia....kila kitu kina asili yake... Na asili haifi....
1. Nimezaliwa mimi kama mimi... Mengine yote nimekuja kuyakuta duniani wakati wa makuzi... Na kama kuna mtu angekuwa Muislam kindakindaki basi ningekuwa mimi kwakuwa kwanza pande zote mbili za wazazi wangu ni mixer ya hizo dini mbili
Pili mazingira niiyokulia ni ya uislam na madrasa nimeenda sana.. Sehemu kubwa ya marafiki walikuwa waislam mpaka na ndugu pia...
Ukubwani nikajifunza kuna kitu zaidi ya ukristo na uislam... Na nikaamua kufahamu ninini... Nikaenda nikasoma kote huko... Na kwa taarifa yako ni kwamba nimesoma na kuhudhuria mpaka ibada za satanism...
Maisha yangu ya ajira kwa 75% nimefanya kazi na watu wasiomjua Mungu acha kuamini.. Hawamjui kabisa
Nikikwambia leo mimi ni mkristo.. Sio kwa bahati mbaya.. Sio blind faith... Najua kwa HAKIKA kwanini nimeamua kuwa Mkristo mwamini wa Mungu mmoja...
Hapo mkuu huoni kama watu wengi wanakuwa hawana kama unayosema ww weng wanafata imani za wazazi wao ambapo mtu kasoma uislam 2 wala hasomi sehemu nyngne au ukristo 2 na lakn hasomi sehem nyngne sasa hatajuaje km iman yake sahih
 
Unajua wadau roho inauma mpka nataman kutukana ,,,

Yaan toka uzi unaanza mpak saiz ayo maswal mawil yamekosa majibu kwel??

Na ndo yamefanya ata mada isiweze kuendelea mbele??

NAJUA MSHANA NA KIRANGA MMENIZIDI UMRI MPAKA AKILI ILA SIELEWI KWANINI MMESHINDWA KUTUPA MADINI YANAYOELEWEKA

MMETUMIA MDA MREFU SANA KUBISHANA JAMBO DOGO TU NA MAJIBU HAYAJAPATIKANA DAH
Kama kutukana kutakupa nafuu na amani rohoni fanya hivyo ila naona hujanifuatilia vizuri replies zangu... Nimejibu zaidi ya mara 30 swali la akili ninini nami nikajibu AKILI NI AKILI... Je kuna jibu tofauti na hilo unategemea toka kwangu?
 
Kama kutukana kutakupa nafuu na amani rohoni fanya hivyo ila naona hujanifuatilia vizuri replies zangu... Nimejibu zaidi ya mara 30 swali la akili ninini nami nikajibu AKILI NI AKILI... Je kuna jibu tofauti na hilo unategemea toka kwangu?
Mkuu utakua umetafsiri vibaya ila hamna sehem nilotumia tusi

Kama kuna tusi nisamehe saan mkuu ila kilichonifanya niandike ivi ni kutokana na kuwaelew nyinyi wote wawil kiuwezo wenu umu jukwaan sas mnapotumia siku kadhaa kujadiri neno moja muda mrefu ndo hapo niliposhindwa kuwaelewa

SAMAHAN KAMA NIMETUMIA LUGHA MBAYA MKUBWA WANGU
 
Hapo mkuu huoni kama watu wengi wanakuwa hawana kama unayosema ww weng wanafata imani za wazazi wao ambapo mtu kasoma uislam 2 wala hasomi sehemu nyngne au ukristo 2 na lakn hasomi sehem nyngne sasa hatajuaje km iman yake sahih
Sasa hapo unawazungumzia wengine itakuwa sio haki kuwajibia... Imani ni jambo binafsi sana
 
Mkuu utakua umetafsiri vibaya ila hamna sehem nilotumia tusi

Kama kuna tusi nisamehe saan mkuu ila kilichonifanya niandike ivi ni kutokana na kuwaelew nyinyi wote wawil kiuwezo wenu umu jukwaan sas mnapotumia siku kadhaa kujadiri neno moja muda mrefu ndo hapo niliposhindwa kuwaelewa

SAMAHAN KAMA NIMETUMIA LUGHA MBAYA MKUBWA WANGU
Ulitaka nikiulizwa AKILI ni ninini nisijibu? Mwanzoni sikujibu nikaambiwa naogopa kujibu.. Nikaamua kujibu nikaambiwa hilo sio jibu.. Nikauliza kama sio jibu jibu ni lipi? Kimyaaa...! Labda unaweza kuokoa jahazi
 
Ulitaka nikiulizwa AKILI ni ninini nisijibu? Mwanzoni sikujibu nikaambiwa naogopa kujibu.. Nikaamua kujibu nikaambiwa hilo sio jibu.. Nikauliza kama sio jibu jibu ni lipi? Kimyaaa...! Labda unaweza kuokoa jahazi
Ninachoelewa tupo hapa kujuzana mambo ambayo ni mapya kwetu

Upande wangu kweny kuokoa jahazi bado saan kwan akil angu yenyew hii inahitaji vingi saan kutoka hapa ila ngoja niwepo hapa alaf ntatoa ninayoyafaham japo kidog
 
Back
Top Bottom