Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kabla ya kufika mbali kote huko, inabidi mtu a define akili ni nini.

Mtu anaweza kuniuliza "Wewe ni Mkristo?".

Swali hilo likawa gumu kwangu kujibu.

Nimebatizwa kwenye Ukristo na hakuna siku nilikoenda kanisani kusema najitoa Ukristo - kwa hiyo kwa definition ya watu waliobatizwa Ukristoni, waliolelewa familia ya Ukristo ,wenye majina ya Kikristo, mimi ni Mkristo.

Lakini pia, Mkristo ina tafsiri nyingine, kwamba mtu anayemuamini Yesu Kristo na kumfanya kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake. Kwa tafsiri hiyo mimi si Mkristo.

Sasa mtu akiniuliza "Wewe Mkristo?", kabla sijamjibu, inabidi nimuulize, unaposema "Mkristo" una maana gani? Hilo neno lina tafsiri nyingi sana.

Ndicho ninachojaribu kufanya kwa Mshana hapa.

Kaniuliza kama nina "akili".

Neno "akili" lina tafsiri nyingi sana. Sasa, ili kuondoa mkanganyiko, namuomba anipe tafsiri ya neno hilo anayoitumia, anaposema "akili" ana maana gani?

Kusudi nikimjibu nijikite kwenye tafsiri aliyoisema.

Sasa hata mtu aliyeuliza swali hajui anauliza nini.

Mimi nitawezaje kumjibu?
katika kilele cha ubora wako kabisa" napingana ""vikali sana ""na watu wanaosema kuwa haujui kujenga hoja"" mimi Nina amini uwepo wa Mungu " though sina hoja za kukuthibitishia kuwa yupo "" lakini nakiri tu kuwa uwezo wako mkubwa wakujenga hoja huwa unanikuna akili "" wewe Jamaa nimtu hatari sana.." hahaa"
 
Siwezi kujibu swalikamayeye mwenyewe anayeuliza akili ni nini hawezi kunieleza akili ni nini.

Hususan kwa sababu tunatofautiana kwa mengi sana na inabidi nielewe anachouliza kabla sijakijibu.
Mi naona hapa ni kukwepa mjadala.
Km tutaenda namna hii, hata mshana amaweza kukuuliza neno "ni nini" maana yake ni ipi kabla hajakujibu akili ninini.
 
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
Mzee wa sigil na wewe pia si non believer si ndio au?
 
Neno “akili” hufafanuliwa kuwa “uwezo wa kufikiri na kuamua kwa busara,” “uwezo wa kuelewa mambo,” “ufahamu,” “hekima,” au “busara.” Kuwa na akili humaanisha kwamba mtu ana uwezo wa kuamua mambo kwa kutumia akili.

Ni wazi kwamba kutumia akili kunatia ndani kutumia uwezo wetu wa kufikiri.
Hata hivyo, watu wengi huacha wengine wafikiri kwa niaba yao.
Badala ya kujiamulia mambo wenyewe.

Ndo ninachokiona hapa hamuwez kumalizaaa
 
There is no diversion, you are the one asking a vague question.

You need to be more disciplined and detailed when asking me questions.

I detest indiscipline of thought and lack of clarity in debate.
@kiranga am asking you again una AKILI ama huna AKILI? Achana na mengine yote jibu hili tu tafadhali
 
Mi naona hapa ni kukwepa mjadala.
Km tutaenda namna hii, hata mshana amaweza kukuuliza neno "ni nini" maana yake ni ipi kabla hajakujibu akili ninini.
Hpana, post namba 100, nimeeleza vizuri sana umuhimu wa ku define terms ili nisije kujibu swali ambalo sijaulizwa na kuacha kujibu swali nililoulizwa.

Kwani Mshana kunipadefinition yake tuendeleena mjadala anaona ugumu gani? Kamakweli anaelewa anachoulizani nini?
 
Kiranga kuwa amateur kwa kutojua wewe unamaanisha nini unaposema akili anayo au hana.
Ilo ni tatizo mueleweshe akili ni nini ile aseme anayo au hana
Kiranga anapaswa kwanza kukiri hajui nini maana ya akili.
Akisha kiri ndio apewe maana, ili aweze kujibu swali labda kwa kutoelewa.

Lkn hii kusema akili ina maana nyingi pasipo kutupa hata maana mbili tukaona contradiction bado anaukwepa mjadala.
 
Back
Top Bottom