fenisher
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 339
- 733
Mimi naongelea nadharia zilizopita kwenye kuhusu kuamini uwepo wa mungu si mahala pengine ulipogusia wewe sijasema kwenye kila kitu bali kwenye kuamini kwa uwepo wa mungu....Hata wewe ukisema "nadharia ya watu waliopita"umetumia nadharia ya watu waliopita.
Tumia akili yako acha kufuata nadharia ya watu waliopita.
Unajichanganya mwenyewe.
Ubora wa nadharia hautokani na kwamba ni ya watu waliopita au ni yako mpya.
Unajuaje ninaposema nadharia fulani natumiailiyoandikwa na watu waliopita au niliyoichunguza na kuikubali mwenyewe kivyangu?
Nadharia bora na ya kweli hata kama imetumiwa na watu waliopita, kama ni ya kweli na ina ubora, itatumiwa tu na watu wanaofuata.
This is why people do not reinvent the wheel, calculus, fire, the internal combustion engine, the rules of soccer, etc from scratch everyday.
Somehow you have this nonsensicalidea that everything has to be reinvented from scratch everytime.
Ukipinga nadharia za watu waliopita kwa sababu niza watu waliopita,utapinga kuwepokwa Mungu aliyeandikwa na manabii wote kwenye vitabu.
Kwa sababu nazo ni nadharia za watu waliopita.
Sasa unapinga maandiko yote ya watu waliopita?
Sent using Jamii Forums mobile app