Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli bado wewe ni mwepesi mno.. Unashindwa kujibu vitu rahisi kabisa halafu unatafutaunatafuta
Wewe mweupe kichwani mkuu.

Umeulizwa kitu kingne unakuja na mada post zangu kwa lengo gani? ulipaswa kuniuliza nilipotoa post siyo kwa kuwa umebanwa na kutafuta pa kutokea unajihaibisha bure hapa, na watu wanakuchora unavyotapatapa.

Umeuliza akili ninazo au sina, nilitaka ufafanuzi wa akili maana yake ni nini, ili niweze kukujibu ndyo,hapana au sijui.

Akili ni nini?

Au akili zipi unaulzia, kama akili za kubishana sina.
 
Nipe tofauti ya atheist na non believer... Maana naona umejibu nusu

Atheist na non believer ni kitu kilekile, hakuna tofauti. We umesema ni non-believer,
Fungua dictionary uangalie definition ya atheist, inasema specifically kua atheist ni "a person who disbelieves or lacks belief in the existence of God or gods".
Maana ya dis-believe ni lack or not choosing to accept kua something is true. Which makes him a non-believer, which makes him an atheist.

So atheist na non-believer ni kitu kimoja. Wewe unavyosema yeye sio atheist ni non-believer ni sawa na kusema sio male ni mwanaume. Kitu kilekile ila maneno tofauti. Hai-make sense kabisa.
 
Na mimi naweza kukwambia mindset yako ilishakubali uwepo wake so hata nikikuonesha contradictions za wazi kwamba hayupo utakataa.
Bila shaka mkuu nitakataa coz najua yupo na uwepo wake ni wa wazi kabisa crystal clear.
 
Atheist na non believer ni kitu kilekile, hakuna tofauti. We umesema ni non-believer,
Fungua dictionary uangalie definition ya atheist, inasema specifically kua atheist ni "a person who disbelieves or lacks belief in the existence of God or gods".
Maana ya dis-believe ni lack or not choosing to accept kua something is true. Which makes him a non-believer, which makes him an atheist.

So atheist na non-believer ni kitu kimoja. Wewe unavyosema yeye sio atheist ni non-believer ni sawa na kusema sio male ni mwanaume. Kitu kilekile ila maneno tofauti. Hai-make sense kabisa.
Uko sahihi sana kwa kunukuu tafsiri ya kamusi bila kuifanyia mjadala... Niko sahihi kwa mtazamo wa kile nilichoandika hata kama hutakubaliana nacho
BTW mfano wako wa MALE na MWANAUME sio sahihi kwakuwa hiki ni kitu kile kile katika lugha mbili tofauti
 
Wewe mweupe kichwani mkuu.

Umeulizwa kitu kingne unakuja na mada post zangu kwa lengo gani? ulipaswa kuniuliza nilipotoa post siyo kwa kuwa umebanwa na kutafuta pa kutokea unajihaibisha bure hapa, na watu wanakuchora unavyotapatapa.

Umeuliza akili ninazo au sina, nilitaka ufafanuzi wa akili maana yake ni nini, ili niweze kukujibu ndyo,hapana au sijui.

Akili ni nini?

Au akili zipi unaulzia, kama akili za kubishana sina.
Mimi kichwani sio mweupe.. Nina nywele fupi nyeusi
Kila kitu katika maisha kina utaratibu wake... Hata kwenye kuhesabu huwezi kuanza na moja kisha ukaruka mbili na kuendelea na tatu... Vivyo hivyo kwenye kuulizwa unatakiwa kutoa jibu sio blah blah
Nakuuliza tena una AKILI ama huna AKILI!? Jibu ndio au hapana. Hayo mengine yatafuata
 
Kiranga ana shida fulani kiakili, Ukimfuatilia vizuri utagundua kama kichwa kimewaza hadi kimefika mwisho wa uwezo wa kufikiri! (kitu ambacho ni hatari sana kwa Mwanadamu) So kinachofuata baada ya hapo huwa ni kitu kibaya kwa nafsi hiyo
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujaondoa contradictions nilizosema kuhusu uwepo wa Mungu, kama hata umezielewa.
 
Em soma ulichoandika hapa
"Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)"

Hiyo sio maana ya atheist sasa unabisha nini? Atheist wengi wanajua kuhusu mungu, na asilimia kubwa ya atheists walizaliwa kwenye dini kwa taarifa yako. Hiyo definition uliyokuja nayo hujaitoa popote zaidi ya kichwani kwako.
Huyu jamaa bogus mpaka mambo mengine kujibu unapotezea tu.

Hilo nimeliona tangu mwanzo.

Nikaona how do you deal with such an ignorant tard?
 
Uko sahihi sana kwa kunukuu tafsiri ya kamusi bila kuifanyia mjadala... Niko sahihi kwa mtazamo wa kile nilichoandika hata kama hutakubaliana nacho
BTW mfano wako wa MALE na MWANAUME sio sahihi kwakuwa hiki ni kitu kile kile katika lugha mbili tofauti
I can't keep up with you man, unabishana hadi na dictionary, hahaha! kubali unapokosea.
Kwa heri I can't keep up the discussion hainisaidii chochote. Endelea kudanganya wajinga.
 
Mungu angekuwepo wapi ndiyo tafsiri yako isingeweza kutafsiri mambo kama mabaya?

Na wapi huko ambako hayupo? mfano ukimtaka mungu-mtu Beyonce yupo marekani,je wewe huyo mungu unayesema hayupo ni sehemu gani ambako hayupo?
Mungu hayuko popote. Ni hadithi iliyopo vichwani mwa baadhi ya watu.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli bado wewe ni mwepesi mno.. Unashindwa kujibu vitu rahisi kabisa halafu unatafuta pa kutokea.
Mimi ndio nimeandika hii mada! Na mimi ndio wa kwanza kuuliza... Mkakosa majibu... Uliingia kwa kasi ya kudandia gari kwa mbele nikajua una jipya.. Kumbe ni mulemule
Umekana kuhusu roho nakuwekea mada yako uliyotaja roho unakimbia kujibu kwa visingizio visivyo na mashiko halafu vyepesi kabisa
Akili ni nini?
 
Uko sahihi sana kwa kunukuu tafsiri ya kamusi bila kuifanyia mjadala... Niko sahihi kwa mtazamo wa kile nilichoandika hata kama hutakubaliana nacho
BTW mfano wako wa MALE na MWANAUME sio sahihi kwakuwa hiki ni kitu kile kile katika lugha mbili tofauti
Akili ni nini?
 
Mimi kichwani sio mweupe.. Nina nywele fupi nyeusi
Kila kitu katika maisha kina utaratibu wake... Hata kwenye kuhesabu huwezi kuanza na moja kisha ukaruka mbili na kuendelea na tatu... Vivyo hivyo kwenye kuulizwa unatakiwa kutoa jibu sio blah blah
Nakuuliza tena una AKILI ama huna AKILI!? Jibu ndio au hapana. Hayo mengine yatafuata
Akili ni nini?
 
Back
Top Bottom