Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!

Hoja yako imekaa vizuri sana, nimeipenda. Actually kwa upande mwingine ukiangalia vizuri, atheists ni watu ambao wanajaribu kumu-alert kila mmoja wetu kuwa Mungu yupo, isipokuwa tu wao kutokana na ufahamu mdogo, wameangukia katika ibada ya miungu mingine, wakamuacha Mungu wa kweli. Walichofeli ni kum-detect Mungu wa kweli na kwa sababu asili ya binadamu ni kuwa aliumbwa ili aabudu, wameangukia kwenye miungu mingine. Atheists ni watu wanaothisitisha kwa kiwango cha juu sana, uwepo wa Mungu lakini ambaye wao hawamwabudu!
 
Hayana majibu na huna kingine zaidi ya marudio yale yale huku ukishindwa kabisa japo kujaribu kujibu kama una AKILI ama huna AKILI
Hayana majibu kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Akili ni nini?
 
Andiko kutoka kitabu gani? Nishaleta contradictions lukuki kutoka Biblia na Quran kuonesha kwamba vitabu hivyo vinajipinga vyenyewe na vimeandikwa na watu tu.
kwani Unavyosema Mungu ana upendo,muweza wa yote unatumia maneno ulionukuu katika maandiko gani?
 
kwani Unavyosema Mungu ana upendo,muweza wa yote unatumia maneno ulionukuu katika maandiko gani?
Biblia na Quran vyote vina maandiko yanayosema hayo.

Kwani wewe Mungu unayemuamini ni yupi?
 
hahahaa aisee...basi sawa we endelea kuamini vile unaona sawa.
 
hahahaa aisee...basi sawa we endelea kuamini vile unaona sawa.
 
Hayana majibu kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Akili ni nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hayupo usingeweza kukataa kutokuwepo kwake ama kupinga uwepo wake... Kisichopo hakipo hivyo hakiwezi kujadiliwa kwa namna yoyote ile
Mungu yupo ndio maana anajadiliwa na kujadilika!
Una akili ama huna akili?
 
Hayana majibu kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Akili ni nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hayupo usingeweza kukataa kutokuwepo kwake ama kupinga uwepo wake... Kisichopo hakipo hivyo hakiwezi kujadiliwa kwa namna yoyote ile
Mungu yupo ndio maana anajadiliwa na kujadilika!
Una akili ama huna akili?
 
Biblia na Quran vyote vina maandiko yanayosema hayo.

Kwani wewe Mungu unayemuamini ni yupi?
andiko gani katika biblia Mungu anaanza kusema mimi nina upendo, Mimi muweza wa yote kama kitu cha msingi kwa Mungu kuonyesha ukamilifu wake ukinipa ilo andiko ntakubaliana nawewe...nasubiri andiko
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama hayupo usingeweza kukataa kutokuwepo kwake ama kupinga uwepo wake... Kisichopo hakipo hivyo hakiwezi kujadiliwa kwa namna yoyote ile
Mungu yupo ndio maana anajadiliwa na kujadilika!
Una akili ama huna akili?
Hapana.

Naweza kukataa kwamba wimbo wa taifa una rangi.

Wakati wimbo wa taifa hauna rangi.
 
na
Hayupo. Ni hadithi tu.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Mungu ni roho sio mwili siwezi kuthibitisha kwa kuishika au kuonyesha kama nawewe usivyoweza kunithibitishia roho yako kwa kunionyesha kwa mkono
 
Maswali mengi sana hayajajibiwa hapa.

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aliyekuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, hakuumba ulimwengu huo, akaamua kuumba ulimwengu huu ambao mabaya yanawezekana?

Hili swali halijajibiwa.
tumekujibu kwamba hayo ni maamuzi yake hapangiwi
 
Mungu mwenye kujua yote,mwenye huruma yote,mwenye upendo wote,mwenye ujuzi wote na mwenye mamlaka yote hawezi kuruhusu kifo kwa binadamu!
ukisema hawezi unakosea Mungu anaweza yote kwahiyo futa hapo ulipoandika hawezi
 
Wewe hata huelewi imani ni nini.

Ndiyo maana unaweza kuandika ujinga kama "uthibitisho wangu ni wa kiimani zaidi"

Imani haina uthibitisho. Ukiwa na uthibitisho huna imani, una ujuzi.

Hujui hata imani ni nini.
Sasa ajabu kwako ambaye unataka uthibitisho wa jambo la imani.

Suala la uwepo wa mungu ni imani,sasa iweje mwenye kuamini hiyo imani umwambie akupe uthibitisho?
 
Sitaki kuamini. Nataka kujua.
Ili uweze kumjua Mungu basi ni lazima kwanza ujengeke kiimani
Ni lazima uamini Uwepo wake
Ni lazima uamini Uwezo wake
Ni lazima uamini Malaika wake
NI lazima uamini Mitume wake
Ni lazima uamini vitabu vyake
Na ni lazima uamini kwamba kheri na shari zote zinatokana na yeye

Huu ndo mfumo mzima wa imani.
 
Back
Top Bottom