Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hayo ni maelezo sio jibu... Hebu jibu kama nilivyokujibu mimi
Umeniuliza AKILI ninini.. Nikakujibu ni AKILI
Na wewe hujauliza swali. Umeleta a vague dissipation of vacuous vomit.
 
Unakuta wenyewe wanaorodhesha majina ya watu na vitabu,kuonesha kuwa wao ni bora kisa wamesoma mawazo ya hao watu.
Mental slavery... Yani mtu unamuuliza kitu rahisi kabisa. Badala ya kukujibu yeye kama yeye anakuletea link za Wikipedia za mabandiko ya wafu... Nini maana ya kusoma na kuelimika kama huwezi simama mwenyewe na kujieleza mpaka utafute backup?
Mtu haamini kuwa kuna Mungu lakini anaamini katika maandishi mtandaoni! What a contradiction!
 
Akili ni nini? Ukiiandika kwa all caps hilo halibadilishi kitu.

Akili ni nini?

Hujajibu swali hili.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kama hujaliona jibu basi kazi ipo. Haya nakujibu tena.
Kiranga umeniuliza mimi Mshana Jr akili ninini?
Mimi nimekujibu AKILI NI AKILI.!
 
Akili ni nini? Ukiiandika kwa all caps hilo halibadilishi kitu.

Akili ni nini?

Hujajibu swali hili.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kama hujaliona jibu basi kazi ipo. Haya nakujibu tena.
Kiranga umeniuliza mimi Mshana Jr akili ninini?
Mimi nimekujibu AKILI NI AKILI.!
 
Hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.

Hakuna aliyeondoa contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.
Katika hayo mawili wewe umefanya kipi?

Umethibitisha kuwa mungu hayupo?

Au Umeonesha contradictions katika maelezo yenye kuhusu mungu?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kama hujaliona jibu basi kazi ipo. Haya nakujibu tena.
Kiranga umeniuliza mimi Mshana Jr akili ninini?
Mimi nimekujibu AKILI NI AKILI.!
Hapo hujajibu swali.

Kwenye logic hapo tunaita umetumia kitu kinaitwa "tautology".

Umerudia neno lile lile ambalo limeuliziwa swali kama jibu.

Hivyo hujaandika kipya.

Swali liko pale pale.

Akili ni nini?
 
Hili swali umeuliza mara nyingi mno.Vipi hauna swali lingine mkuu?
Huwezi kuruka jibu lazima swali la kwanza lijibiwe! Kuuliza mara nyingi maana yake hakuna aliyeweza kujibu hasa mlengwa
 
Hili swali umeuliza mara nyingi mno.Vipi hauna swali lingine mkuu?
Maswali mengi sana hayajajibiwa hapa.

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, aliyekuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, hakuumba ulimwengu huo, akaamua kuumba ulimwengu huu ambao mabaya yanawezekana?

Hili swali halijajibiwa.
 
Hapo hujajibu swali.

Kwenye logic hapo tunaita umetumia kitu k8naitwa "tautology".

Umerudia neno lile lile ambalo limeuliziwa swali kama jibu.

Hivyo hujaand8ka kipya.

Swali liko pale pale.

Akili ni nini?
Acha maneno mingi akili ni akili.... Sasa kama hujaridhika na hili jibu hiki ni kitu kingine...
 
Katika hayo mawili wewe umefanya kipi?

Umethibitisha kuwa mungu hayupo?

Au Umeonesha contradictions katika maelezo yenye kuhusu mungu?
Nimethibitisha kwamba Mungu huyo hayupo na hawezi kuwepo.

Kwa proof by contradiction.

Mungu huyo kuwepo ni sawa na kusema square root ya 2 ni 10 katika base 10 math.
 
Kwani Mungu anajielezea ivvyo tuu kwa viumbe wake? tuanzie hapo
Mungu mwenye kujua yote,mwenye huruma yote,mwenye upendo wote,mwenye ujuzi wote na mwenye mamlaka yote hawezi kuruhusu kifo kwa binadamu!
 
Back
Top Bottom