Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hakuna kitu nisichokipenda kubishana kuhusu Mungu


Mungu yupo hakuna kabila , taifa hata tamaduni isiyojua kuwa Mungu yupo

Tatizo ni mapokeo jinsi ya kumkaribia, kumwabudu huyu muumbaji
 
Hakuna kitu nisichokipenda kubishana kuhusu Mungu


Mungu yupo hakuna kabila , taifa hata tamaduni isiyojua kuwa Mungu yupo

Tatizo ni mapokeo jinsi ya kumkaribia, kumwabudu huyu muumbaji
Thibitisha Mungu yupo.

Ondoa contradictions katika dhana kwamba Mungu yupo.

Ondoa contradiction ya wewe kuchangia mjadala unaouchukia kuliko chochote.
 
Kiranga na Mshanajr hebu malizeni mjadala tufanye mambo mengine. Mjibu swali lake hata kwa kujaribu ruined kalenga wapiti?. Na Mada itafikia tamati.
Nishasema hapo juu.

Akilazimisha nijibu wakati hajaelezea swali nitamjibu "barabara ya Kilwa haiendi kileleni mwa mlima Kilimanjaro".

Halafu nitalazimisha hilo liwe jibu ka swali lake.

Asiniulize kitu. Alitafsiri jibu kwa muktadha wake kama anavyotaka nitafsiri "akili ni nini" kwa muktadha wangu.

Hapo vipi?
 
Umeshindwa kabisa kujibu kuwa una AKILI ama huna AKILI? [emoji23]
Mimi nakujibu maana naona sasa umesema naogopa kujibu.... Akili ni akili...
Akili ni nini?

Wewe huelewi kwamba unapo define neno akili, hutakiwi kutumia neno akili ukishaanza "Akili ni..."

Kwa sababu hilo neno ndilo linalokuwa defined.
 
I can't keep up with you man, unabishana hadi na dictionary, hahaha! kubali unapokosea.
Kwa heri I can't keep up the discussion hainisaidii chochote. Endelea kudanganya wajinga.
Kamusi imeandikwa na nani? Si binadamu kama wewe? Kwahiyo kwakuwa kimeandikwa kwenye kamusi ndio kinaweza kuwa sahihi asilimia mia? Come on Graph ninini maana ya kuwa GT?
 
Nishasema hapo juu.

Akilazimisha nijibu wakati hajaelezea swali nitamjibu "barabara ya Kilwa haiendi kileleni mwa mlima Kilimanjaro".

Halafu nitalazimisha hilo liwe jibu ka swali lake.

Asiniulize kitu. Alitafsiri jibu kwa muktadha wake kama anavyotaka nitafsiri "akili ni nini" kwa muktadha wangu.

Hapo vipi?
Hizo habari za muktadha umezileta wewe na hazina mantiki,kwamba mtu anaweza kuamua kusema hata maharagwe ya mbeya ndiyo akili.

Mshana ametumia neno akili kama neno la kiswahili lenye kutumika kwenye maongezi ya kila siku ila wewe ndiyo umeleta mambo ya muktadha.
 
Akili ni nini?

Wewe huelewi kwamba unapo define neno akili, hutakiwi kutumia neno akili ukishaanza "Akili ni..."

Kwa sababu hilo neno ndilo linalokuwa defined.
Hayo mengine yote sasa ni maelezo yako binafsi.. Nilichofanya nimekujibu.. Lakini wewe mpaka sasa umeshindwa kabisa kujibu kama una AKILI ama huna AKILI....
 
Hayo mengine yote sasa ni maelezo yako binafsi.. Nilichofanya nimekujibu.. Lakini wewe mpaka sasa umeshindwa kabisa kujibu kama una AKILI ama huna AKILI....
Na mimi nishakujibu.

Nimekwambia "barabara ya Kilwa haiendi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro".
 
Umeshindwa kabisa kujibu kuwa una AKILI ama huna AKILI? [emoji23]
Mimi nakujibu maana naona sasa umesema naogopa kujibu.... Akili ni akili...
Huyo labda atakuwa anauliza kama akili ni NINI,sasa sijui hiyo NINI ndiyo kitu gani.
 
Hii ligi tushaimaliza Na kumkabithi kombe kiranga. sasa ngoja amalize shift yake ya kubeba box aje awatoe mbio.
Hakuna MTU ambae amewahi kujibu hoja za kiranga kikamilifu hapa jf kuhusu imani na dini.
Kwa mtizamo wako,
Kwangu mm naona zimejibiwa nyingi tu ktk baadhi ya theeads nilizopata kuziona wakiyajadili mambo haya. Watu kama kina Eiyer na kina Stefano mtangoo na wengineo wengi walikuwa wanajibu vizuri tu ila tatizo linakuja pale aliyeuliza anapokuwa hajatoshelezwa na majibu aliyopewa ndio anahitimisha kuwa hajajibiwa.

Kuna thread moja jamaa aliuliza swali alipopewa majibu akasema hujajibu umebabaisha ndipo alipoulizwa tofauti ya kutokujibu, kujibu jibu lisilo sahihi na kutokujibu kbs ni ipi hapo sasa ndio ikawa [emoji14] [emoji13] .

Ukisoma mijadala hii kimtizamo au kiteam utaishia kuona mambo tofauti kbs. Ila ukifungua na kukaa katikati utajifunza mambo mengi sana kutoka kwa hawa jamaa wanaopiganaga vikumbo kwenye hizi threads.
 
Na mimi nishakunibu.

Ninekwambia "barabara ya Kilwa haiendi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro".
Hayo ni maelezo sio jibu... Hebu jibu kama nilivyokujibu mimi
Umeniuliza AKILI ninini.. Nikakujibu ni AKILI
 
mmetumia madawa " na nyumbani kwako kuna madawa "" ni kauli mbili zenye " madai tofauti...yaweza kuwa tumetumia madawa kweli "" lakini sio hapa nyumbani kwngu"" yaweza kuwa tumetumia madawa kweli " lakini nyumbani kwangu hakunà madawa...so nyie mnaosema kuwa haya madawa tuliyotumia yapo nyumbani kwangu ndio mnapswa kuthibitisha mksemecho"" maana mimi Mwenye nyumba nimesha waambia kuwa nyumbani kwangu hakuna madawa """......so mnapaswa kuni prove wrong kwa kuwa na ushahidi wa madawa yaliyopatikana nyumbani kwangu"".......
sasa inabidi utueleze hizi dalili tunaziziona za kutumua madawa ndani kwako (tuki-assume wote tumewafungia ndani bila kutoka) na hakuna mwenye uwezo wakutoka nje .wote mmelewa na vipimo vinaonyesha mmetumia sasahivi na hamjatoka ndani tangu mzaliwe mpaka mnakufa.hapo sitakua na haja ya kuyaona madawa kwani effect ya madawa imeshaonekana .manji hakuonekana na madawa ila effect ilionekana akaadhibiwa.
 
Kamusi imeandikwa na nani? Si binadamu kama wewe? Kwahiyo kwakuwa kimeandikwa kwenye kamusi ndio kinaweza kuwa sahihi asilimia mia? Come on Graph ninini maana ya kuwa GT?
Unakuta wenyewe wanaorodhesha majina ya watu na vitabu,kuonesha kuwa wao ni bora kisa wamesoma mawazo ya hao watu.
 
Kwa mtizamo wako,
Kwangu mm naona zimejibiwa nyingi tu ktk baadhi ya theeads nilizopata kuziona wakiyajadili mambo haya. Watu kama kina Eiyer na kina Stefano mtangoo na wengineo wengi walikuwa wanajibu vizuri tu ila tatizo linakuja pale aliyeuliza anapokuwa hajatoshelezwa na majibu aliyopewa ndio anahitimisha kuwa hajajibiwa.

Kuna thread moja jamaa aliuliza swali alipopewa majibu akasema hujajibu umebabaisha ndipo alipoulizwa tofauti ya kutokujibu, kujibu jibu lisilo sahihi na kutokujibu kbs ni ipi hapo sasa ndio ikawa [emoji14] [emoji13] .

Ukisoma mijadala hii kimtizamo au kiteam utaishia kuona mambo tofauti kbs. Ila ukifungua na kukaa katikati utajifunza mambo mengi sana kutoka kwa hawa jamaa wanaopiganaga vikumbo kwenye hizi threads.
Hakuna aliyethibitisha Mungu yupo.

Hakuna aliyeondoa contradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.
 
Back
Top Bottom