Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kwa nini hiyo iwe choice yake, wakati inaumiza watu wengi sana wanaotenganishwa na wapenzi wao, ndugu zao etc?

Kwanini choice ya watu kuishi bila kufa ambayo isingeumiza watu na ina make sense kwa Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote haikuwa choice yake?

Mungu anafanya recycling kwani anaogopa kuharibu mazingira?
Alivyokuwa genius baada ya kuweka kifo akatuumbia kusahau maumivu ya kupoteza our loved ones kwa haraka sana.

Ndio maana hata uwe unampenda mtu vipi once akifa it takes a little time span kusahau yote na kurudi kwenye normal.

Anafanya recycling maana anataka Dunia iendelee kuwa sustainable.. Imagine kama angechafua mazingira bado ungekuja na point kwamba Mungu wenu ameshindwa hata kutunza mazingira..!

Lakini ndio nature ya binadamu wenye evil forces inside them..even if you cook your heart for them still they will complain you didn't put enough salt on it.

Divine energy of love is God. The jiiodi. (G.O.D)
 
Alivyokuwa genius baada ya kuweka kifo akatuumbia kusahau maumivu ya kupoteza our loved ones kwa haraka sana.

Ndio maana hata uwe unampenda mtu vipi once akifa it takes a little time span kusahau yote na kurudi kwenye normal.

Anafanya recycling maana anataka Dunia iendelee kuwa sustainable.. Imagine kama angechafua mazingira bado ungekuja na point kwamba Mungu wenu ameshindwa hata kutunza mazingira..!

Lakini ndio nature ya binadamu wenye evil forces inside them..even if you cook your heart for them still they will complain you didn't put enough salt on it.

Divine energy of love is God. The jiiodi. (G.O.D)
Hujajibu swali nililokuuliza, umejitungia lako jingine, ukajiuliza, ukajijibu.
 
Hujajibu swali nililokuuliza, umejitungia lako jingine, ukajiuliza, ukajijibu.
Huwezi kunielewa kirahisi maana sitembei kwenye lane yako ya philosophy, rhetoric, logic and science yenye ukweli mchache kuhusu Mungu but rather natembea kwenye truest of all truth..spiritual realms.

Siku ukiijua we are more than physical body.. Utakuwa umekaribia kumjua the most high and its mechanisms but ukibakia huku kwenye physical world pekee utakuwa na haki ya kukana uwepo wa the most high vizuri kwa kutumia method zako hizi za philosophical argumentative.

Night!
 
Huwezi kunielewa kirahisi maana sitembei kwenye lane yako ya philosophy, rhetoric, logic and science yenye ukweli mchache but rather natembea kwenye truest of all truth..spiritual realms.

Siku ukiijua we are more than physical body.. Utakuwa umekaribia kumjua the most high but ukibakia huku kwenye physical world pekee utakuwa na haki ya kukana uwepo wa the most high vizuri kwa kutumia method zako hizi mujarabu.

Night!
Hii ni wishful thinking ambayo huwezi kuithibitisha.
 
Kiranga ana shida fulani kiakili, Ukimfuatilia vizuri utagundua kama kichwa kimewaza hadi kimefika mwisho wa uwezo wa kufikiri! (kitu ambacho ni hatari sana kwa Mwanadamu) So kinachofuata baada ya hapo huwa ni kitu kibaya kwa nafsi hiyo
 
Karibu pia.. Naamini umechangia bila kusoma maudhui na kuelewa nilichoandika

Em soma ulichoandika hapa
"Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)"

Hiyo sio maana ya atheist sasa unabisha nini? Atheist wengi wanajua kuhusu mungu, na asilimia kubwa ya atheists walizaliwa kwenye dini kwa taarifa yako. Hiyo definition uliyokuja nayo hujaitoa popote zaidi ya kichwani kwako.
 
Muktadha wangu unakuja vipi kwenye swali analouliza yeye?

Nikijibu "barabara ya Kilwa inaenda kilele cha mlima Kilimanjaro" kama jibu la swali hilo, kwa muktadha wangu, atasemaje?
Ukishajibu ndio tutaona atakavyosema

So toa jibu lako
 
Wapi nimezungumzia roho mkuu?

Mbona unatapatapa sasa?

Umeulizwa kitu kimoja unakuja na Id yangu kuhusu post.

Hata ukiuliza roho ni nini. Jibu sijui kitu kiitwacho roho.

Akili ni nini au nini maana ya neno akili?
Maandishi hayafutiki...
IMG_20180523_210931_059.jpg
IMG_20180523_210833_377.jpg
 
..mjadala wa kufikirisha huu...najua kiranga amemshika mshana pabaya....kudos ngosha!

..ngoja tumsaidiege mshana...Ili aweze kuendelea na alichotaka toka kwa kiranga..

..kwa uelewa wangu...akili au kwa kimombo ' intelligence' au 'intellect'au 'intellectual capacity' au 'mental capacity' au hata wengine humu wameita mind.......Ni uwezo wa kufikiri, kuelewa na kufanya maamuzi sahihi kwa kiwango kikubwa....
..akili (intelligence) hutofautiana Kati ya mtu na mtu na kwa maana hiyo kila mtu ana kiwango Fulani cha akili....na kwa maana hiyo swali la je mtu ana akili ama la si sahihi....

....kwasababu watu hutofautiana akili....basi kumewekwa kipimo cha akili ambacho huitwa intelligence quotient (ama IQ)....ambacho huonesha viwango tofauti vya akili Kati ya mtu na mtu....
...hii ni namna mimi navyoelewa akili....kama itawasaidia kwenye mjadala wenu...
Akili za kushikiwa hizi sasa mtu kashindwa kujibu swali jepesi sana mpaka umekuja kumsaidia kujibu (bila kujali usahihi wa jibu) halafu bado unasema kanishika pabaya! Wapi ;?
 
Kwa nini nimfanyie kazi yake?

Kuna watu wamefafanua maana yao ya akili ,na nimewajibu.

Kwanini wao walazimike kufafanua, halafu Mshana awe special?

Miminiko fair, principle moja kwa wote. One law for all.

Mshana afafanue tu, atajibiwa, la sivyo anapata tuhuma ya kukwamisha mjadala.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Em soma ulichoandika hapa
"Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)"

Hiyo sio maana ya atheist sasa unabisha nini? Atheist wengi wanajua kuhusu mungu, na asilimia kubwa ya atheists walizaliwa kwenye dini kwa taarifa yako. Hiyo definition uliyokuja nayo hujaitoa popote zaidi ya kichwani kwako.
Nipe tofauti ya atheist na non believer... Maana naona umejibu nusu
 
Mungu angekuwepo, hata tafsiri yangu tu isingeweza kutafsiri mambo kama mabaya.

Tafsiri yangu kutafsiri mabaya ni ushahidi Mungu hayupo.
Mungu angekuwepo wapi ndiyo tafsiri yako isingeweza kutafsiri mambo kama mabaya?

Na wapi huko ambako hayupo? mfano ukimtaka mungu-mtu Beyonce yupo marekani,je wewe huyo mungu unayesema hayupo ni sehemu gani ambako hayupo?
 
Naona unatapatapa mkuu, mjadala wako unataka kuleta mwingne kwa kuwa umebanwa,

Siku nyingne usiandike mada zako kwa panic au kutaka kumkomoa mwenzako au uonekane huko juu.

Leo umeumbuka unashndwa kujibu akili ni nini, umekalia kuzunguka.

Hyo inaitwa mwana ukome.

Akili ni nini?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli bado wewe ni mwepesi mno.. Unashindwa kujibu vitu rahisi kabisa halafu unatafuta pa kutokea.
Mimi ndio nimeandika hii mada! Na mimi ndio wa kwanza kuuliza... Mkakosa majibu... Uliingia kwa kasi ya kudandia gari kwa mbele nikajua una jipya.. Kumbe ni mulemule
Umekana kuhusu roho nakuwekea mada yako uliyotaja roho unakimbia kujibu kwa visingizio visivyo na mashiko halafu vyepesi kabisa
 
Naona unatapatapa mkuu, mjadala wako unataka kuleta mwingne kwa kuwa umebanwa,

Siku nyingne usiandike mada zako kwa panic au kutaka kumkomoa mwenzako au uonekane huko juu.

Leo umeumbuka unashndwa kujibu akili ni nini, umekalia kuzunguka.

Hyo inaitwa mwana ukome.

Akili ni nini?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli bado wewe ni mwepesi mno.. Unashindwa kujibu vitu rahisi kabisa halafu unatafutaunatafuta
 
Naona unatapatapa mkuu, mjadala wako unataka kuleta mwingne kwa kuwa umebanwa,

Siku nyingne usiandike mada zako kwa panic au kutaka kumkomoa mwenzako au uonekane huko juu.

Leo umeumbuka unashndwa kujibu akili ni nini, umekalia kuzunguka.

Hyo inaitwa mwana ukome.

Akili ni nini?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli bado wewe ni mwepesi mno.. Unashindwa kujibu vitu rahisi kabisa halafu unatafuta pa kutokea.
Mimi ndio nimeandika hii mada! Na mimi ndio wa kwanza kuuliza... Mkakosa majibu... Uliingia kwa kasi ya kudandia gari kwa mbele nikajua una jipya.. Kumbe ni mulemule
Umekana kuhusu roho nakuwekea mada yako uliyotaja roho unakimbia kujibu kwa visingizio visivyo na mashiko halafu vyepesi kabisa
. [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Back
Top Bottom