Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Atheist definition: 1. someone who does not believe in any God or gods: 2. not believing in any God or gods, or relating to such beliefs, while non believer is a person who lacks belief or faith, as in God, a religion, an idea, or an undertaking.
Nice one!
 
Hawa ni wale waliosema 'Tumesikia, tumeelewa na HATUTAKI'. Nafsi zao zimepigwa muhuri wa kukanusha uwepo wa Mungu Muumba eti kwa vile sayansi haiwezi ku prove wakati ziko dalili nyingi sana ikiwepo complexity ya mfumo wa ufanyaji kazi wa mwili wake mwenyewe ambao atheists na non believers ignorantly wanapinga uwepo wa aliyeusuka mfumo huo na kwamba eti umetokea by chance!(wanaamini all creatures wapo by chance)
 
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!

Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
Mkuu mfahamishe kiranga afahamu sio vinginevyo
 
Kiranga ukitaka kumuuluza kama uchawi upo,atakwambia ufafanue zaidi kuhusu uchawi unao uzungumzia,Mara atasema mambo ya titration za chemistry binafsi Mimi naona kiranga anamsimamo mkali sana nahii imetokana na uwezo wake mkubwa sana wa kielemu kuhusu hizi dini za duniani
Trust me huyo jamaa atakuja kutoa ushahidi wa kumtambua Mungu siku si nyingi
 
Haya masuala ukichuguza vizuri utagundua kwamba hii misimamo na imani tulizonazo ni zaidi ya hoja tunazodhani ndiyo sababu ya hii misimamo/imani zetu,suala kubwa kama hili hadi leo hii watu kuendelea kubishana ni dhahiri inaonesha kuwa sio hoja pekee ndiyo zilizotufanya tuwe na hii misimamo/imani.

Hakuna ambacho kimebakishwa kuelezwa kwenye huu ubishani,lakini bado kila mmoja huona msimamo aliyonao ndiyo sahihi kutokana na sababu ama hoja alizonazo.
 
Atakuja hapa na kasi ya 6G Mara "unakubali Mungu ni muweza wa yote ,ujuzi wa vyote,upendo wa yote kama Mungu yupo asingekubali watoto wachanga wafe"

Bhasi tu kututoa kwenye reli tuamini kile anachoamini..ila huyu kiranga itakuwa ana kiranga sana
 
Back
Top Bottom