Akili ni uwezo wa kupambanua mambo kwa ufasaha kwa maana ya negativities na postivities ya jambo husika.Akili ni nini?
Unauliza kitu ambachohata kukifafanua unachouliza ni nini hujui?
Nijibu swali ambalo wewe mwenyewe unayeuliza hujaweza kulifafanua?
Karibu pia.. Naamini umechangia bila kusoma maudhui na kuelewa nilichoandikaNaona maana ya atheist hujui, acha kufundisha watu kitu ambacho hukijui. Kutokua na imani na mungu ni atheist pia. Usilete definition zako mwenyewe unapotosha watu lugha. Kitanga ni atheist, na mimi pia
Kuna maneno yana maana zaidi ya moja mfano kaa,tupu au sita.Mwambie Mshana ajibu tuendeleena mjadala.
Akili ni nini?
Ameukwamisha mjadala tunazunguka hapahapa siku ya pili kwa nini?
Afu mimi jina la utoto ni kiranga...silitumii tu.
Anyway huwa nikifikiri simple logic kama dunia ikisimama dk moja itakuwaje ? Who made this solar system to be so automated?
Solar system imekuwepo miaka zaidi ya mil 1 bila kuwepo physical & chemical errors ; how is this possible?
Kwenye sayansi huwezi tegeneza kitu kika run mil of years bila maintenance wala errors.
Who is maintaining this solar system? How?
Nikifika hapo huwa nagota na kusema "MUNGU yupo"
Kuna jamaa mjinga mmoja aliniambia eti baada ya miaka 1000 watu watagundua uhalisia nini kiliumba dunia na nature na viumbe vyote akiwemo Mwanadamu akasahau kwamba dunia imekuwepo miaka millions, mbona hiyo miaka 1000 na si millions iliyopita?
Nitamwabudu Mungu wa Ibrahim; Mungu wa Elia.
Wewe jibu tu mkun'du ni nini kwani tabu ipo wapi?ni sawa na kuulizwa una mkun*du badara ya kujibu unauliza mkun*du ni nini ila nimejifunza njia ya kukimbia maswali
Mnajijibu swali kitoto kweli.What a DREAMER! Litendee haki jukwaa... Usiwe mtu wa kuishi kwa ndoto za hisia.. Thibitisha tuhuma zako beyond doubts
Nani ameruka-ruka?Baki na msimamo wako usirukeruke kama bisi kikaangoni
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana rafiki usitaje ngoja kwanza tudefine akili ni nini!Kuna chura mpya humu nikutajie I'd?
Hahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwanza nimefurahi hapo kwenye kujidharirisha! dawa yenu iko hivi ni kujidhalilisha sio kujidharirisha ila isiwe ishu kuna watu wana shida ya R na L sasa tuachane na hilo kuni downgrade mimi na kumu upgrade Kiranga ni haki yako kamili kutokana na mtazamo wako lakini je ndio uhalisia? Hili halihitaji majibu yetu sisi watatu
Sasa nijibu wewe! Je una AKILI?
Kwahiyo mkuu anafanya mchezo wa kujitekenya na kucheka mwenyeweumetengeneza id mpya sasa una jibu mwenyewe hahahaa
Sijawai ona hoja ya KIranga, limewekwa wazi Mpumbavu husema hakuna Mungu alafu waswahili wakasema ukibisha na mpumbavu utakua ni mmoja wao. Hiki ndo kinatokea hapa.
Umesema unaamini mungu yupo!Acha siasa wewe. Nijibu maswali yangu hapo juu yaliyopelekea mimi ku believe.
Swali la msingi hawezi kulijibu kwa sababu lina mkanganyiko,linahitaji ufafanuzi kwanza!.....yeye anataka huo mkanganyiko umalizwe kwanza!Basi ajibu swali la msingi