Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Mshana Jr sio tu kwamba hasemi akili ni nini? Hata ukiwapanga maprofesa wa vyuo unavyovifaham vinavyoheshimika watakupa jibu moja linalofanana la hilo swali kwamba akili ni nini.

Wengi tunachokiona ni matokeo au vitu ambavyo vinatufanya tuone akili inavyofanya kazi. Lakini ukisema akili kwenye jamii.

Msiwabeze waliosema akili ni nywele kila mtu ana zake.
Akili ni dhana pana sana.Muulizaji aeleze analenga ipi.Au na yeye anamaanisha nywele?
 
Akili ni dhana pana pana.Muulizaji aeleze analenga ipi.Au anamaanisha nywele na yeye?

Ndivyo ilivyo dhana ya Mungu, ni pana mno. Lakini kule wamerahisisha sana mambo kwamba, lazima uwe na Imani kuamini kwamba Mungu yupo, rahisi sana. Ina maana kama hauna imani hiyo ni sawa na sahihi kusema hayupo. KUAMINI.
 
Mwisho wa siku watakengeuka imani yao na kujua kwamba yupo muumba wa yote (Mungu) kama alivyofanya R.I.P kingunge kabla ya kifo chake.
Kingunge kilichomfanya aamini kuhusu Mungu yule yule aliyemkataa maisha yake yote ilikuwa ni hofu ya kifo tu. Usicheze na kifo. Huyo Kiranga bado muda wake, atanyooka tu kama Kingunge siku ikifika!
 
Ndivyo ilivyo dhana ya Mungu, ni pana mno. Lakini kule wamerahisisha sana mambo kwamba, lazima uwe na Imani kuamini kwamba Mungu yupo, rahisi sana. Ina maana kama hauna imani hiyo ni sawa na sahihi kusema hayupo. KUAMINI.
Bado sijaona"dhana pana ya Mungu".Wanaoamini kuwa yupo huwa wanaulizana Mungu wa kumuamini au ulikuwa na maana uliposema dhana pana mno?
 
Hawa watu bhana!
Si waseme tu akili wanayomaanisha.

Akitokea mtu akakwambia hauna akili? Sidhani kama utapenda au kufurahia japo inategemea mazingira. Huyo mtu wakati anakwambia hauna akili, sio daktari wala mwana sayansi au useme yuko na miwani yenye uwezo wa kuona kiwango au uwezo wa anachokiita akili, jambo au tukio ulilolifanya ndio analitumia kufikia hatua ya kutamka maneno hayo.

Hauwezi kupata jibu moja la "Akili ni nini?" kutoka kwa watu tofauti.
 
Mi ninachoona Kiranga hana akili ndo maana kashindwa kujibu swali jepesi na rahisi kama hilo.. so Mshana jr endelea tu na ulipokuwa unataka kuendelea baada ya kumuuliza hilo swali. huyo mtu hajijui kama ana akili au hana kuendelea kubishana wote mtaonekana hamna akili
Iko hivi
Kwanza wale wasio waamini katika Mungu mmoja wamekwepa sana sana kujibu hili swali kwakuwa wanajitambua wazi kuwa wanazo akili lakini kimbembe ni kuthibitisha! Na kamwe hawawezi kukwambia hawana akili... Hivyo hivyo ni sawa na uwepo wa Mungu! Yupo lakini huwezi kumthibitisha kimwili kama usivyoweza kuthibitisha akili ulizonazo japo zipo
Dunia ina pande mbili giza na nuru, juu na chini, kushoto na kulia VINAVYOONEKANA na VISIVYOONEKA...
Tunahisi, njaa kiu ama hamu ya kitu lakini hatuwezi kuvionyesha vikaonekana... Ila vinatulizwa na vitu VINAVYOONEKANA yaani chakula, maji nk
Kama tunakubali kuwa kila kitu duniani kina pande mbili basi tutakuwa wajinga tukibisha kama kuna upande wa pili wa dunia usioonekana na huu ndio ulimwengu wa roho, ulimwengu wa Kimungu usio na ithibati za kisayansi lakini upo
 
Akitokea mtu akakwambia hauna akili? Sidhani kama utapenda au kufurahia japo inategemea mazingira. Huyo mtu wakati anakwambia hauna akili, sio daktari wala mwana sayansi au useme yuko na miwani yenye uwezo wa kuona kiwango au uwezo wa anachokiita akili, jambo au tukio ulilolifanya ndio analitumia kufikia hatua ya kutamka maneno hayo.

Hauwezi kupata jibu moja la "Akili ni nini?" kutoka kwa watu tofauti.
Ndo maana Mshana Jr anaombwa kutoa maana ili ajibiwe kulingana na maana yake.
 
Bado sijaona"dhana pana ya Mungu".Wanaoamini kuwa yupo huwa wanaulizana Mungu wa kumuamini au ulikuwa na maana uliposema dhana pana mno?

Unaelewa maana ya imani? Mungu ambae mimi naamini yupo, ni aliyeumba mbingu na nchi pamoja na vyote viijazavyo.
 
Kiranga kashindikana kwa hoja mzito mshana hatoweza kwa uoga wake. Anajua ataumbuka kiranga ni jina kubwa jf kasha angusha mibuyu mikubwa kama Max shimba, Eiyer,Katalan, hawa ni manguli kwenye battle ya namna hii. Mshana una tujazia server jibu AKILI NI NINI? Ukijibu hili mjadala umekwisha tuna mpa kombe kiranga mara ya pili. Huo mtawi ulio shika shikilia hivyo hivyo ukiachia tu tunapata point 3 team kiranga
Dah unaishi manzese midizini kwenye vigodoro nini? Yani umerukia hoja bila hata kuelewa kinachojadiliwa
 
Mi naamini mshana ulijipanga vyema sana kuja kushusha madini, haukua nusu nusu sitaki kuamini kwamba Swali hili umeshindwa kumtengenezea vile ambavyo yeye anamini halaf ukamleta tena kwenye 18 zako kama ulivyokua umejipanga mpaka ukamwanzishia uzi, Vinginevyo Hukujipanga Swahiba , kweli unaaamini ukimjibu hilo ndo mwisho wako utakua?
 
Anamaanisha una akili? Umesoma post yake ya 406?

Inamaana hauelewi akili ni nini kwa namna yeyote ile?

Kama ni hivyo maswali yangejibiwa kweli kwenye mitihani?
Post 406 haioneshi maana ya akili ambayo anataka kujua kama 'anayo'.Yaan unamaanisha nini unaposema akili?
 
Back
Top Bottom