Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Iko hivi
Kwanza wale wasio waamini katika Mungu mmoja wamekwepa sana sana kujibu hili swali kwakuwa wanajitambua wazi kuwa wanazo akili lakini kimbembe ni kuthibitisha! Na kamwe hawawezi kukwambia hawana akili... Hivyo hivyo ni sawa na uwepo wa Mungu! Yupo lakini huwezi kumthibitisha kimwili kama usivyoweza kuthibitisha akili ulizonazo japo zipo
Dunia ina pande mbili giza na nuru, juu na chini, kushoto na kulia VINAVYOONEKANA na VISIVYOONEKA...
Tunahisi, njaa kiu ama hamu ya kitu lakini hatuwezi kuvionyesha vikaonekana... Ila vinatulizwa na vitu VINAVYOONEKANA yaani chakula, maji nk
Kama tunakubali kuwa kila kitu duniani kina pande mbili basi tutakuwa wajinga tukibisha kama kuna upande wa pili wa dunia usioonekana na huu ndio ulimwengu wa roho, ulimwengu wa Kimungu usio na ithibati za kisayansi lakini upo

hahahha sijui nilipitaje sijasoma hapa basi sawa, Hamtomaliza hapa
 
hahaa ..mahaba niuwe " ni twange tangwe kama kisamvu "" ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO "" kabla haujakumbushwa wajibu wako ""
Hahahahaha nampenda mme akimalizana na kiranga aje nimkumbatie
 
Hahahahaha nampenda mme akimalizana na kiranga aje nimkumbatie
dadeq..ngoja nijiandae kufumba macho sisi wengine hatujawahi kukumbatiwa mwaka wa pili huu"" utasema tupo jela "" kumbe tupo uraiani "" MAISHA Yetu na jela hakuna tofauti""
 
Mi nilidhani labda kama angekuja na ID yake nyingine Amshabikie Kiranga hah
huyu amesha kunywa Maji ya vibuyu mkuu"" hawezi kufanya hivyo '' siwaona leo hata chit chat ame iasi ""
 
Back
Top Bottom