Nimekuuliza kua ulivyoandika upembembuzi ulikosea wewe umekana ukasema hukukosea, sasa iweje saizi ujirekebishe kua ulikua hauko sahihi ulivyotumia hilo neno mwanzo kwa kuandika usahihi wake saizi?
Sent using unknown device
Nilikataa sababu dhana yangu ya hakika nilivyokuwa na andika akilini mwangu nilikuwa najua naandika "upembuzi" ila ikawa kinyume chake,na hili si geni na kama mswahili kindaki ndaki utajua kabisa nilikuwa nakusudia kuandika nini.
Kosa langu hasa hapo ni kuto hariri kile nilicho kiandika,na sikumakinika pia kwa ile nukuu yako basi.