Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Sasa unazungumzia dini au imani ya Mungu? Unataka kusema kabla dini kuletwa afrka kulikuwa hakuna imani ya Mungu duniani?

Una maswali na majibu ya ajabu kweli.
Niambie wewe kulikua na imani gani ya Mungu kabla hujaletewa na wazungu pamoja na waarabu

Sent using unknown device
 
Ok huwa hatutoi uthibitisho huwa tunakubali tu havipo.
Hua hautoi uthibitisho kwa minajili ipi? Unamaanisha unakua unao uthibitisho wa vitu ambavyo havipo lakini hautaki tu kuutoa?

Hakuna anayetaka uthibitisho wa kisichokuwepo kama vile kwamba hakuna mwenye kutaka uthibitisho wa ambavyo teyali vipo.

Wewe uliponitaka nikuthibitishie kutokuwepo kwa kitu ambacho hakipo nikajua kua wewe ni bingwa wa kutoa uthibitisho wa vitu ambavyo havipo. Na ndio maana nimekuomba uniambie ni procedures gani hutumia kutoa uthibitisho wa visivyopo??

Hakuna anayetaka uthibitisho wa kisichokuwepo? Mimi hapa nataka uthibitisho wa kisichokuwepo je unaweza kunithibitishia uwepo wa kitu ambacho hakipo?



Sent using unknown device
 
Ok poa yaishe kulikuwa hakuna imani yeyote Mungu,jamii ya waarabu na wazungu tu ndio wameleta imani ya Mungu.
Conclusion itayofanya yaishe inakuaje?

Inamaana umekubali kua ulikua unaongopa kwamba kabla ya wazungu na waarabu afrika kulikua na imani ya Mungu?

Sent using unknown device
 
Ninayajua kama ni yake kwa kutumia Elimu ya uhakiki wa habari.

Wengine hamjui sababu hamtaki kujua,kwani hakuna aliyezaliwa ana jua.
Kujua tunataka ndio maana tunadadisi... lakini majibu tunayopewa ndio yanapelekea tusiyaelewa... (jambo lenye kueleweka halihitaji nguvu kubwa).

Ndio maana hauwezi kumuelezea mtoto mdogo maumivu yakoje kama hajawahi-experience hiyo hali... huenda suala la Mungu lipo kwenye personal experience ya mtu mmoja mmoja hivyo linakosa sifa ya kuwa compulsory kwa kila binadamu...

Manake tukiliweka kwenye elimu ndio linafeli vibaya kabisa... kwasababu binadamu anakuwa na uelewa zaidi na jambo analokuwa na interest nalo... kila ambacho ni compulsory kwa binadamu kinafanyika bila kuhitaji mahubiri... Tatizo langu kubwa na God believer ni kitendo cha kuwaambia hata wale wanaokanusha uwepo wa Mungu kwamba wanatenda makosa hivyo wataadhibiwa na huyo Mungu kwa kufanya hivyo... kwa mtazamo wangu Mungu huyo kama yupo basi atakuwa wa ajabu kuliko hata binadamu mwenyewe.

Kwa maoni yangu Mungu wa kwenye biblia na wa kwenye quran... sijawahi kumuelewa... kama yupo tuna haki zote za kumuwajibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujua tunataka ndio maana tunadadisi... lakini majibu tunayopewa ndio yanapelekea tusiyaelewa... (jambo lenye kueleweka halihitaji nguvu kubwa).

Ndio maana hauwezi kumuelezea mtoto mdogo maumivu yakoje kama hajawahi-experience hiyo hali... huenda suala la Mungu lipo kwenye personal experience ya mtu mmoja mmoja hivyo linakosa sifa ya kuwa compulsory kwa kila binadamu...

Manake tukiliweka kwenye elimu ndio linafeli vibaya kabisa... kwasababu binadamu anakuwa na uelewa zaidi na jambo analokuwa na interest nalo... kila ambacho ni compulsory kwa binadamu kinafanyika bila kuhitaji mahubiri... Tatizo langu kubwa na God believer ni kitendo cha kuwaambia hata wale wanaokanusha uwepo wa Mungu kwamba wanatenda makosa hivyo wataadhibiwa na huyo Mungu kwa kufanya hivyo... kwa mtazamo wangu Mungu huyo kama yupo basi atakuwa wa ajabu kuliko hata binadamu mwenyewe.

Kwa maoni yangu Mungu wa kwenye biblia na wa kwenye quran... sijawahi kumuelewa... kama yupo tuna haki zote za kumuwajibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unajua kama akili salama haipingani na ufunuo,yaani maneno ya Mola muumba ? Mola alipotuumba sisi waja wake alitupa hali wezekano ya asili ya kutambua uwepo wake na kukubali uwepo kwa kutumia milango ya fahamu na kutafakari,hali hii hubadilika au hutoweka kwa kupitia kwa wazazi au walezi wa mtoto husika,kwani wao ndio wanaweza kumfanya mshurikina,mzandiki,muabudu moto na mfano wake.

Akili salama ni ile akili ambayo haijaingizwa uchafu wa fikra potofu na uovu. Akili salama kamwe haikatai uwepo wa Mola na ndio mana sote tunazaliwa hali ya kuwa hatujui chochote.

Mola alivyo tuumba hakutuacha hivi hivi,akachagua watu wake miongoni mwetu (sis wanadamu) na kuwafanya mitume na wengine akawafanya kuwa manabii ili kutufikishia ujumbe na kulinda mipaka ya Mola wetu.

Mola wetu amejiharamishia kumuadhibu mja wake kwa lile ambalo halijui mja huyo. Mola wetu hatoi adhabu kwa viumbe kabla viumbe husika hawajafikishiwa ujumbe. Hapa unatakiwa kufikiri kikubwa,kutumia akili na upembembuzi wa ajabu.

Mola akatuumbia hiari yaani kufanya mambo vile tunavyotaka sisi wenyewe,ndio maana wewe leo una mkana na mimi namtukuza.

Nipo ....
 
Unajua kama akili salama haipingani na ufunuo,yaani maneno ya Mola muumba ? Mola alipotuumba sisi waja wake alitupa hali wezekano ya asili ya kutambua uwepo wake na kukubali uwepo kwa kutumia milango ya fahamu na kutafakari,hali hii hubadilika au hutoweka kwa kupitia kwa wazazi au walezi wa mtoto husika,kwani wao ndio wanaweza kumfanya mshurikina,mzandiki,muabudu moto na mfano wake.

Akili salama ni ile akili ambayo haijaingizwa uchafu wa fikra potofu na uovu. Akili salama kamwe haikatai uwepo wa Mola na ndio mana sote tunazaliwa hali ya kuwa hatujui chochote.

Mola alivyo tuumba hakutuacha hivi hivi,akachagua watu wake miongoni mwetu (sis wanadamu) na kuwafanya mitume na wengine akawafanya kuwa manabii ili kutufikishia ujumbe na kulinda mipaka ya Mola wetu.

Mola wetu amejiharamishia kumuadhibu mja wake kwa lile ambalo halijui mja huyo. Mola wetu hatoi adhabu kwa viumbe kabla viumbe husika hawajafikishiwa ujumbe. Hapa unatakiwa kufikiri kikubwa,kutumia akili na upembembuzi wa ajabu.

Mola akatuumbia hiari yaani kufanya mambo vile tunavyotaka sisi wenyewe,ndio maana wewe leo una mkana na mimi namtukuza.

Nipo ....
Kumkana na matendo ni vitu viwili tofauti....

Kati yetu humu tunaojadili hii mada... kuna uwezekano mkubwa sana mnaosema yupo matendo yenu yakawa ni against na mnayoyaamini....

Je
1. Kuna ambae hajawahi kuzini?
2. Hakuna wanaokunjwa pombe?
3. Hakuna waliowahi kuiba au kudhulumu???

Na ndio maana tukiugeuza mjadala hapa kati ya nyinyi believers... tumjadili Mungu wa kwenye biblia (Yehova) au Mungu wa kwenye quran (Allah).. utakuwa ugomvi mkubwa sana... tena afadhali wakristo wavumilivu kuliko waislamu.. wana attitude za kishamba na kupanic.

Tukichunguzana matendo humu ni jambo lingine kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kama akili salama haipingani na ufunuo,yaani maneno ya Mola muumba ? Mola alipotuumba sisi waja wake alitupa hali wezekano ya asili ya kutambua uwepo wake na kukubali uwepo kwa kutumia milango ya fahamu na kutafakari,hali hii hubadilika au hutoweka kwa kupitia kwa wazazi au walezi wa mtoto husika,kwani wao ndio wanaweza kumfanya mshurikina,mzandiki,muabudu moto na mfano wake.

Akili salama ni ile akili ambayo haijaingizwa uchafu wa fikra potofu na uovu. Akili salama kamwe haikatai uwepo wa Mola na ndio mana sote tunazaliwa hali ya kuwa hatujui chochote.

Mola alivyo tuumba hakutuacha hivi hivi,akachagua watu wake miongoni mwetu (sis wanadamu) na kuwafanya mitume na wengine akawafanya kuwa manabii ili kutufikishia ujumbe na kulinda mipaka ya Mola wetu.

Mola wetu amejiharamishia kumuadhibu mja wake kwa lile ambalo halijui mja huyo. Mola wetu hatoi adhabu kwa viumbe kabla viumbe husika hawajafikishiwa ujumbe. Hapa unatakiwa kufikiri kikubwa,kutumia akili na upembembuzi wa ajabu.

Mola akatuumbia hiari yaani kufanya mambo vile tunavyotaka sisi wenyewe,ndio maana wewe leo una mkana na mimi namtukuza.

Nipo ....
"Upembembuzi" ndio nini?

Sent using unknown device
 
Kumkana na matendo ni vitu viwili tofauti....

Kati yetu humu tunaojadili hii mada... kuna uwezekano mkubwa sana mnaosema yupo matendo yenu yakawa ni against na mnayoyaamini....

Je
1. Kuna ambae hajawahi kuzini?
2. Hakuna wanaokunjwa pombe?
3. Hakuna waliowahi kuiba au kudhulumu???

Na ndio maana tukiugeuza mjadala hapa kati ya nyinyi believers... tumjadili Mungu wa kwenye biblia (Yehova) au Mungu wa kwenye quran (Allah).. utakuwa ugomvi mkubwa sana... tena afadhali wakristo wavumilivu kuliko waislamu.. wana attitude za kishamba na kupanic.

Tukichunguzana matendo humu ni jambo lingine kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yan mkuu hawa believers wenyewe kwa wenyewe wanapingana. Alafu kwa unafiki wao wanasema Mungu ni mmoja
 
Kumkana na matendo ni vitu viwili tofauti....

Unajua tamko "Kumkana" kwenye Kiswahili linaingia katika aina gani ya maneno ?

Sasa usiwe unajipinga mwenyewe kisa uchachefu wa maalumati ya lugha. Huwezi kutenganisha tamko "Kumkana" na vitendo au kitendo. Tafakari kwa makini.
 
Hapa wameungana... lakini ni wanafiki wakubwa mno kwa natendo yao... angalia walio kwenye siasa, angalia wanaosalisha... ni wachache mno ambao wanaishi kwa vitendo. Majority wanatapatapa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unajua sifa za mtu mnafiki ? Hivi kwanini manatanguliza sana ujinga kuliko elimu ?
 
Kumkana na matendo ni vitu viwili tofauti....

Kati yetu humu tunaojadili hii mada... kuna uwezekano mkubwa sana mnaosema yupo matendo yenu yakawa ni against na mnayoyaamini....

Je
1. Kuna ambae hajawahi kuzini?
2. Hakuna wanaokunjwa pombe?
3. Hakuna waliowahi kuiba au kudhulumu???

Na ndio maana tukiugeuza mjadala hapa kati ya nyinyi believers... tumjadili Mungu wa kwenye biblia (Yehova) au Mungu wa kwenye quran (Allah).. utakuwa ugomvi mkubwa sana... tena afadhali wakristo wavumilivu kuliko waislamu.. wana attitude za kishamba na kupanic.

Tukichunguzana matendo humu ni jambo lingine kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona kama umeanza kuelewa na kuhamia upande huu.

Mola alituumba hali ya kuwa hatujakamilika,tumeitwa "Insaan" kwa lugha ya kiarabu kiswahili pia ni binadamu sababu tunakosea na kupatia na tunasahau pia,na ndio mtume wetu amani ya Allah iwe juu yake akasema "Kila binadamu ni mwenye kukosea,na mbora wa wenye kukosea ni yule afanyaye toba" au kama alivyosema mtume wa Allah.
 
Yan mkuu hawa believers wenyewe kwa wenyewe wanapingana. Alafu kwa unafiki wao wanasema Mungu ni mmoja

Tofauti haziishi,ila tofauti kubwa ni tofauti ya kiimani.

Kusema Mungu ni mmoja hakutoshi,kwani wapo wanao dai lakini hawamjui katika dhati yake hii wengi hawajui.

Mambo yamewekwa wazi kiasi ambacho usiku wake ni sawa na mchana wake,na sisis huwa tunasema hivi leteni hoja zenu kama nyinyi mnasema ukweli. Isiwe kama yale watu wanao dai,ooh Laila mchumba wangu Laila mchumba wangu,na tukienda kumuuliza Laila kuhusu hao wanao dai kuwa ni wachumba zake,Laila ana kana kwani hawajui.

Nipo .....
 
Back
Top Bottom