Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,704
- 861,051
- Thread starter
- #3,481
Shukrani kwa elimu pana na ustahimilivu wa kujibu hoja bila jazba kashfa wala vijembeTofauti haziishi,ila tofauti kubwa ni tofauti ya kiimani.
Kusema Mungu ni mmoja hakutoshi,kwani wapo wanao dai lakini hawamjui katika dhati yake hii wengi hawajui.
Mambo yamewekwa wazi kiasi ambacho usiku wake ni sawa na mchana wake,na sisis huwa tunasema hivi leteni hoja zenu kama nyinyi mnasema ukweli. Isiwe kama yale watu wanao dai,ooh Laila mchumba wangu Laila mchumba wangu,na tukienda kumuuliza Laila kuhusu hao wanao dai kuwa ni wachumba zake,Laila ana kana kwani hawajui.
Nipo .....
Jr[emoji769]