Weledi kivipi?
Yeye kasema kila chenye jina lazima kiwepo sijakuona ukimkosoa kua yuko intelijensia
Sasa nimetoa mfano wa kitu ambacho hakipo ila jina lake lipo kufafanua kua sio kila chenye jina basi lazima kiwepo
mtoto ambaye anamiaka 50 anaitwa alima aliyezaliwa kutoka kwa mama yake mzazi mwenye miaka miwili anayeitwa jushua
Hapo nikasema je utakubali kua mama huyo yupo mwenye miaka miwili aliyemzaa mtoto ambaye ni mkubwa kuliko yeye mzazi, jamaa akasema ndio nakubali
Hilo jibu lake nilitegemea kama ukisoma komenti yake ni lazima ungemkosoa japokua yupo upande wako kimjadala, kwasababu alichokijibu sio ukweli kiintelijensia lakini hujafanya hivyo sijui unakubaliana naye kwa hoja yake ndio maana huja kosoa??
Mimi bado nasimamia point yangu ile ile kwamba sio kila chenye jina basi kipo, nimetoa mfano wa jina la mkoa unaoitwa zamtanga kua unapatikana hapa tanzania, nikaulize je mkoa huo ni kweli upo? Ukisema haupo nitakujibu iweje leo chenye jina kikawa hakipo? Na ukisema mkoa huo upo hapo utakua umepotosha. Kwaiyo ukiangalia kwa makini unakuta hoja ya jamaa inambana mwenyewe kwamba akiikubali inakua sio kweli akiikataa anakua anaipinga hoja yake mwenyewe
Sent using
unknown device