Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,842
- 131,435
Wengi wao wanaamini mungu yupo kwasababu wamekosa majibu ya baadhi ya mambo. Mtu anakwambia mimi naamini mungu yupo kwasababu silipii pumzi, yaani fikra zake zipo kimaslahi kama mangi. Sasa hata kama mungu wa namna hiyo angekuwepo basi asingekuwa muweza maana angekua anafanya biashara ya pumzi ili kujiingizia kipato kitacho msaidia kujilisha yeye na familia yakeSasa hauoni kwamba umeangalia ulimwengu ukaotea kwamba Mungu yupo.... na mnaenda mbali zaidi na kusema Mungu huyo ataenda kuchoma watu waliotenda maovu... kwann msiishie kusema Mungu yupo alafu basi.... mnayatoa wapi hayo mengine yote yanayomuhusu huyo mnaedai ameumba ulimwengu na kila kitu pamoja na yeye mwenyewe....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine anakwambia naamini mungu yupo kwasababu anga halina nguzo ule ubluu mtu fikra zake zinamtuma kua zinahitaji sapota, yaani mtu kaisha sema anga ambapo ukishasema anga sio kitu kinachoshikika. Sasa mtu huyo hivi hata akili ndogo yakufikiria kua nguzo zinazoshikika huwezi ukazifunga kwenye anga lisiloshikika hana
Sent using unknown device