Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Imani ni msingi matendo ni matokeo.... Kwakuwa matokeo ya matendo asili yake na chanzo chake ni rohoni.... Na huwezi kuitaja imani bila kuhusisha roho

Jr[emoji769]
Kwa msingi huu ina maana kwamba kila mwanadamu anayoimani ya aina fulani inayoongoza matendo yake.Inaweza kuwa ni IMANI juu ya misingi ya Mungu au misingi mingine kama vile Siasa,Sayansi na kadharika.Si ndiyo mkuu?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Existence ya kitu haipimwi kwa macho tu....bali inaweza kuwa kwa kuhisi, kusikia, kuonja, kunusa... au combination ya hivyo...

Harufu ya maharage yanayoungua na nyama ni tofauti.... ndio maana hata ukijamba kimya kimya, harufu ya ushuzi wako ndio itatueleza umejamba. Hapo ni pua na sio macho....

Mtu ambae anakosa milango yote hiyo 5 ya fahamu... hawezi kujitambua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa kupitia milango hiyo mitano, je ni mlango upi wa fahamu unaweza kuthibitisha kua mungu yupo?

Sent using unknown device
 
Kwa msingi huu ina maana kwamba kila mwanadamu anayoimani ya aina fulani inayoongoza matendo yake.Inaweza kuwa ni IMANI juu ya misingi ya Mungu au misingi mingine kama vile Siasa,Sayansi na kadharika.Si ndiyo mkuu?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Imani ziko za aina mbili tofauti
1.imani za kiroho
2.imani za kimwili
Hivyo unapozungumzia imani angalia usijichanganye ama usichanganye

Jr[emoji769]
 
Akili ni uwezo wa kufikiri, kuhoji na kung'amua mambo.

Nidhamu ya akili ni kuelewa ukweli. Kivipi? Kwa uyakinifu kwa ushahidi, na akili ya namna hii inapewa taswira ya akili yenye afya njema. Na muktadha wa namna huu ndiyo unaobeba dhana nzima ya Ubinadamu. Binadamu mwenye tija, binadamu aliye hai.

Watu wa imani nao wanautumia huu muktadha kwa maana: Kama akili ya mtu imeshindwa kufikiri, kuhoji na kung'amua kanuni na nidhamu ya Ulimwengu jinsi ulivyo kwa kuanza na wewe binafsi.

Kwa akili yenye kuhoji na kufikiri inajipa moja kwa moja yupo aliyevifanya hivi, ambaye ni Muumbaji. Uking'amua hayo akili yako ni akili yenye afya kwa sababu mazingira yenyewe yanajidhihirisha. Kinyume na hapo akili ya mtu inakuwa si yenye afya bali ni yenye uwalakini. Kwa muktadha huo itatafsirika akili yenye dosari, yaani hauna akili. Bi maana Akili haijatimia, haijawa na ukamilfu.

Lakini maana ya neno akili ni pana. Inategemea itatumiwa kwenye muktadha upi.
Ni mawazo yangu tu. Kusahihishwa ruhusa.
Akili ni uwezo wa kufikiri, kuhoji na kung'amua mambo.

Nidhamu ya akili ni kuelewa ukweli. Kivipi? Kwa uyakinifu kwa ushahidi,


Kwa nukuu hiyo hapo juu sasa je tunaweza kupata ushahidi gani utaoonesha kua mungu yupo pasipo kuacha utata?

Sent using unknown device
 
Akili ni uwezo wa kufikiri, kuhoji na kung'amua mambo.

Nidhamu ya akili ni kuelewa ukweli. Kivipi? Kwa uyakinifu kwa ushahidi,

Kwa nukuu hiyo hapo juu sasa je tunaweza kupata ushahidi gani utaoonesha kua mungu yupo pasipo kuacha utata?

Sent using unknown device
Kwani uthubutu upi uliyomthubutukia mtu mpaka akaamini kwamba kuna akili?

Akili huioni wala huishiki lakini tunaitambua na tunaikubali kwamba ipo. Kwa nini kitu kisichoonekana, kushikika wala kuhisi kinakubalika kipo? Kwani kipimo cha uwepo wa akili ni nini?

Ukielewa mantiki ya juu hapo ndipo utakapouona ujinga wa mwanadamu kukanusha uwepo wa Muumbaji. Na ndipo hapo watu wa dini wanasema asiye amini uwepo wa Muumba hana akili.
 
Haupo hata mmoja... ndio maana wanaishia kusema yupo nje ya milango hiyo mitano ya fahamu... (kiroho). Which means ni mlango wa uzwazwa .....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo milango haitumiki tu kutaka kujua uwepo wa kitu hata ukitaka kujua kutokuwepo kwa kitu hutumia hiyo milango,sasa wewe umetumia mlango gani kujua hakuna Mungu?
 
Kwani uthubutu upi uliyomthubutukia mtu mpaka akaamini kwamba kuna akili?

Akili huioni wala huishiki lakini tunaitambua na tunaikubali kwamba ipo. Kwa nini kitu kisichoonekana, kushikika wala kuhisi kinakubalika kipo? Kwani kipimo cha uwepo wa akili ni nini?

Ukielewa mantiki ya juu hapo ndipo utakapouona ujinga wa mwanadamu kukanusha uwepo wa Muumbaji. Na ndipo hapo watu wa dini wanasema asiye amini uwepo wa Muumba hana akili.
What a perfect answer... I like this...!!!!

Jr[emoji769]
 
Hiyo milango haitumiki tu kutaka kujua uwepo wa kitu hata ukitaka kujua kutokuwepo kwa kitu hutumia hiyo milango,sasa wewe umetumia mlango gani kujua hakuna Mungu?
Nimetumia hiyo hiyo milango...
- hana harufu (all)
- haonjeki (all)
- haonekaniki (all)
- haisiki (all)
- hasikiki (all)

Base on those criterias.... (haelezeki), you won't make sense therefore hauwezi kusema yupo na inabaki kuwa things you don't know u just ignore.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani uthubutu upi uliyomthubutukia mtu mpaka akaamini kwamba kuna akili?

Akili huioni wala huishiki lakini tunaitambua na tunaikubali kwamba ipo. Kwa nini kitu kisichoonekana, kushikika wala kuhisi kinakubalika kipo? Kwani kipimo cha uwepo wa akili ni nini?

Ukielewa mantiki ya juu hapo ndipo utakapouona ujinga wa mwanadamu kukanusha uwepo wa Muumbaji. Na ndipo hapo watu wa dini wanasema asiye amini uwepo wa Muumba hana akili.

Bob sidhani kama umelielewa swali langu au huenda umekosea ilikua sio lengo lako kunijibu mimi pengine ulikua unalengo zuri tu la kumjibu mtu mwingine, kama ni mimi basi swali langu haliendani kabisa na majibu yako jaribu kusoma tena

Sent using unknown device
 
Milango yote unaweza kutumia kujua uwepo wa Mungu.
Hapa hata waumini wenzako nadhani umewaacha hoi
1.Kupitia pua Mungu anaharufu gani?
2.kupitia masikio Mungu anasauti gani ambayo ni uthibitisho kua hii ni sauti yake na si vinginevyo?
3.Kupitia ulimi Mungu analadha gani au nawewe ulionja utamu wake ebu tuelezee ladha yake
4.kupitia ngozi ulihisi nini mpaka ukaweza kuthibitisha kua Mungu yupo?
5.Kupitia macho uliwahi kumuona wapi? Yukoje na wapi makazi yake ili namimi nikamuone?

Sent using unknown device
 
Nimetumia hiyo hiyo milango...
- hana harufu (all)
- haonjeki (all)
- haonekaniki (all)
- haisiki (all)
- hasikiki (all)

Base on those criterias.... (haelezeki), you won't make sense therefore hauwezi kusema yupo na inabaki kuwa things you don't know u just ignore.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa watu wanatoa majibu kulingana na hisia zao juu ya hii nadharia ya Mungu, na ndio maana kila mtu anasema kivyake mwingine anasema mungu haonekani huyu jamaa anasema anaonekana na anaonjeka

Hapo inaonedha dhahiri kua kwenye swala la mungu juu ya uwepo wake limebase sana kwenye personal experience isiyokua na chembe ya ukweli na ndio maana wao kwa wao wanatofautiana kumuelezea huyo mungu

Sent using unknown device
 
Nimetumia hiyo hiyo milango...
- hana harufu (all)
- haonjeki (all)
- haonekaniki (all)
- haisiki (all)
- hasikiki (all)

Base on those criterias.... (haelezeki), you won't make sense therefore hauwezi kusema yupo na inabaki kuwa things you don't know u just ignore.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kwa tafsiri yako Mungu ni substance na ni visible object? Sasa nimeona tatizo lilipo

Jr[emoji769]
 
Nafikiriaga zangu peke angu, najijibu peke angu Mwisho nakubali MUNGU YUPO haiwezekan tu Binadamu tupo tuu akosekane alotuweka..Ukiona alama ya mguu wa mtu mahali Huwezi bisha eti hamna mtu hayo maeneo YUPO ila tu hujajua yuko kona gani maana alikutangulia kufika.

Mungu YUPO tena KWAHERUFI KUBWA sasa mi sjui ndo nani kat ya hao Kiranga na atheist
 
Nafikiriaga zangu peke angu, najijibu peke angu Mwisho nakubali MUNGU YUPO haiwezekan tu Binadamu tupo tuu akosekane alotuweka..Ukiona alama ya mguu wa mtu mahali Huwezi bisha eti hamna mtu hayo maeneo YUPO ila tu hujajua yuko kona gani maana alikutangulia kufika.

Mungu YUPO tena KWAHERUFI KUBWA sasa mi sjui ndo nani kat ya hao Kiranga na atheist

Utakua umetambua iyo alama ya mguu kwa sababu aliepita hapo ni kiumbe ambacho mna mfanano nae
Je alama ya Mungu utaitambuaje?!
.....
 
Kwahiyo kwa tafsiri yako Mungu ni substance na ni visible object? Sasa nimeona tatizo lilipo

Jr[emoji769]
Visible maana yake ni able to be seen.
Kwahiyo na wewe unataka kuniambia kuhisi, kunusa, kuonja, kusikia ni visible???

Nje ya dhana hizo 5 hauwezi ukaelezea jambo ukamake sense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakua umetambua iyo alama ya mguu kwa sababu aliepita hapo ni kiumbe ambacho mna mfanano nae
Je alama ya Mungu utaitambuaje?!
.....
Uwepo Wa viumbe hai kama sisi binadamu.. yupo alotuweka bwana YUPO kbsa
 
Nafikiriaga zangu peke angu, najijibu peke angu Mwisho nakubali MUNGU YUPO haiwezekan tu Binadamu tupo tuu akosekane alotuweka..Ukiona alama ya mguu wa mtu mahali Huwezi bisha eti hamna mtu hayo maeneo YUPO ila tu hujajua yuko kona gani maana alikutangulia kufika.

Mungu YUPO tena KWAHERUFI KUBWA sasa mi sjui ndo nani kat ya hao Kiranga na atheist
Niliwauliza wenzako je ni Mungu yupi huyo ambae yupo?

Je aliyewaamuru wakristo waoe mke mmoja tu au aliyewaamuru waislamu waoe wake 2, 3, 4.... wakiwa hawana uadilifu waoe mke mmoja.

Sina tatizo kama utasema nguvu iliyounda vyote vilivyomo ni Mungu.. ila tatizo kwangu linakuja pale mnapojifanya mnamjua kwa kuelezea attributes zake.... sasa najiuliza kwanin hamuhishii hapo tu mnaenda mbali zaidi... mmejuaje??? Mnasema mnatumia imani ... lakini believing isn't knowing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom