hv mshana una elimu ya kidato cha ngapi....mambo marahisi sana unashindwa kuwa straight unajikorogo koroga....jifunze kuwa mtu makini, huta gain credibility unayoitafuta jf ukishindwa kuwa straight kwenye hoja zako....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna uhusiano gani kati kujenga hoja,kuelewa na kung'amua mambo na kidato ? Au hapa huwa mnaongea kimazoea ? Hao wa asisi wa elimu ya mantiki (logic) ukisema wafufuke leo hii watakuelewa ukawaambia "Uhusiano kati ya uelewa au ujengaji hoja na kidato" watakuelewa,hasa Aristoto ?
Isiwe unasema hayo kisa wengine wanasema,hilo ni tatizo lingine ujue ?
Nipo ....