Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,204
- 7,653
kwenye imani huko sasa mimi sipo na wananichanganya PIA ila aliesema Tuoe wake wawili au alosema Tuoe mke mmoja Sina uhakika kama Ni MUNGU kwakweli..Aliyesema wengine onjeni pombe kidogo wengine msinywe kabisa Hapana bado sina uhakika kama kasema MUNGU hizo sheria.Niliwauliza wenzako je ni Mungu yupi huyo ambae yupo?
Je aliyewaamuru wakristo waoe mke mmoja tu au aliyewaamuru waislamu waoe wake 2, 3, 4.... wakiwa hawana uadilifu waoe mke mmoja.
Sina tatizo kama utasema nguvu iliyounda vyote vilivyomo ni Mungu.. ila tatizo kwangu linakuja pale mnapojifanya mnamjua kwa kuelezea attributes zake.... sasa najiuliza kwanin hamuhishii hapo tu mnaenda mbali zaidi... mmejuaje??? Mnasema mnatumia imani ... lakini believing isn't knowing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachoamini MUNGU yupo nafata imani niliyozaliwa nikaikuta na chochote ninachoona MIMI kinafaaa NAFANYA bila kujali imani yangu inaruhusu au hairuhusu ilimradi tu Nikiona ni SAW nafanya N staki wakuniuliza..ila MUNGU yupo.
Alieyeweka haya masheria mengine huyo ndo simjui na staki hata kumjua na wala mtu asinambie ni MUNGU maana simuelewi