[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe TWAWEZA iko mpaka huku
Mkuu mshana ngoja nikuambie jambo moja kwanini Kiranga kabeba 65% na ww 35%
Tambua wazi kuwa lengo si kutafuta mshindi kwa maana haya sio mashindano bali kueleweshana
Haina maana wewe kukupa 35 ndio kiranga amekushinda au ww ndio hujui na yeye ndio anajua kukushinda wewe
Ukifikiria hivyo umekwenda na maji na na itakuwa ni masikitiko makubwa sana
Mpaka dakika hii katika dunia yote hii HAKUNA MWENYE UHAKIKA WA KUJUA KAMA MUNGU YUPO na WALA HAKUNA MWENYE UHAKIKA WA KUJUA MUNGU HAYUPO tunatumia dhana kujaribu kumuelezea wote wana toa dhana zao mwenye kusema yupo anatoa hoja zake na mwenye kusema hayupo anatoa hoja zake
Suala la kuwepo mungu ndio linaonekana kama lina nguvu kwakuwa lilikuwepo tokea karne nyingi sana japo waliosema hayupo waliokuwepi tokea zamani lakini hawakuwa na nguvu sana kama wenye kusema mungu yupo
Tatizo ni moja kwakuwa hakuna mwenye uhakika kama mungu yupo au pia hakuna mwenye uhakika kama mungu hayupo lakini wenye kuamini mungu yupo ni mungu gani sasa huyo mbona wapo wengi sana na wote wanatoa mafundisho tofauti kama yupo mmoja kwanini mafundisho yasiwe sawa ? Hapa ndipo mungu anapojichanganya sana huku anasema"
Amemtoa mwanae mpendwa kuja kuiokomboa dunia na wa mwisho kuja na ufunuo na huku anasema anamtuma muonyaji mwingine akae na nyinyi na ni mwisho wa manabii"
Kijichanganya huku ni kubaya sana kwa huyo mungu ndio maana Kiranga anang'ang'ania hapo hapo anakuambia huwezi ondoa hii contradict
Ila haina maana ww hujui na kiranga ndio mshindi siku Wewe you are still the best kila mtu atabaki na ubora wake,Ww unao bora wako na utabaki na ubora wako
Ila hoja mnazozitumia kumuelezea mungu ndio dhaifu sana hasa kwa karne hii hapo ndipo kwenye tatizo, sisi hatuna tatizo na ww kwa maana ww ndugu yangu tunaongea lugha moja tunatumia historia moja asili yetu inafanana mpaka rangi.Sisi tuna tatizo na huyo mungu wako aliyekuwa hana msimamo anaichanganya dunia anawachanganya waumini wake