Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Nani kasema sielewi?
Na ndio maana nikakuuliza tena, kupata uhakika.

Maana si mara ya kwanza kwa wewe kuulizwa nilivyo kuuliza.

Ila sema uliharaka Tu kujibu bila kufikiri nililenga nini kutoka kwako

Maana naona unacheza ndani na nje huku ukituchagiza.

Na ndio maana wengi wa watu hutaka kabla ya mjadala wowote ule kuanza ni lazima watu wajue wanaojadiliana wanasimamia kipi.

La sivyo mjadala hauwezi kuwa na Nukta.
 
Mimi Mshana Jr kwa ID na username yangu hii ya mtandao wa Jamiiforums, nathibitisha kwa kiranga na member wengine wote kuwa Mungu mkuu mwenye enzi yote yupo na sio habari za kutunga wala za kufikirika.... Nimethibitisha mimi mwenyewe mbele ya Jukwaa hili kitengo cha Intelligence..
Wapi umethibitisha?
 
Wapi nimesema mwenye hizosifa tatu tu?

Hizo ndio sifa unazozitaja sana na kuziandika mara nyingi. Umesema umetoa kwa Biblia, lakini umeamua kuja na version ya hizo sifa utafikiri kuna mstari wa kwenye Biblia umeandikwa hivyo na kuacha maandiko mengine.
 
...waw!...me just tried to bring about a positive discussion from your side....but your response to me proves that you are an ignorant and idiotic fool who tries to look smarter...to me you are more of a witch.... At least from your idiotic posts....

Akili za kushikiwa hizi sasa mtu kashindwa kujibu swali jepesi sana mpaka umekuja kumsaidia kujibu (bila kujali usahihi wa jibu) halafu bado unasema kanishika pabaya! Wapi ;?
 
...waw!...me just tried to bring about a positive discussion from your side....but your response to me proves that you are an ignorant and idiotic fool who tries to look smarter...to me you are more of a witch.... At least from your idiotic posts....
I used to amateur's replies like this one... Sasa umeshapaniki... Kama hii imekupa nafuu jibu sasa kama una AKILI ama huna AKILI...
 
Ulikuwa humjui kabla? Au ulikuwa unamfahamu tu bila kumjua?
Nilikuwa simjui na simjui wala simfahamu , nataka kumjua na kumfahamu, kumfahamu na kumjua ni unielekeze wapi ulipothibitisha ili nimjue na nimfahamu.

always am happy but i miss my mama
 
Nilikuwa simjui na simjui wala simfahamu , nataka kumjua na kumfahamu, kumfahamu na kumjua ni unielekeze wapi ulipothibitisha ili nimjue na nimfahamu.

always am happy but i miss my mama
You must be kidding....!!!
 
Sijathibitisha popote uwepo wa mungu... Ila nimethibitisha hapa jukwaani uwepo wa Mungu
Haujathibitisha popote, ila umethibitisha hapa jukwaani uwepo wa mungu... Serious?

Umethibitishaje uwepo wa mungu?
 
Haujathibitisha popote, ila umethibitisha hapa jukwaani uwepo wa mungu... Serious?

Umethibitishaje uwepo wa mungu?
Ndio nimethibitisha uwepo wa Mungu na sio mungu... Je ulihitaji ithibati gani tena?
 
Back
Top Bottom