Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Na sio kwamba wewe hauwezi kuthibitisha kutokuwepo kwake kwa sababu yupo? maana kama hayupo unashindwaje kuthibitisha kuwa hayupo?
Nimethibitishabhayupi kwa proof by contradiction.

Angekuwepo kungekuwa hakuna mabaya, kifo, njaa, vita etc.

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, uoendo wote ambaye aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo asiumbe ulimwengu huo na aumbe huu ambao mabaya yanawezekana?

Hujajibu swali hilo.

Huwezi kujibubswali hilo.

Kwa sababu Mungubhuyo hayupo.

Kaandikwa kwa kuungwa ungwa na watu tu.
 
Suala la kuwepo au kutokuwepo na dhana potofu hiyo ni mada nyengine.

Hauwezi kusema kusema kitu fulani kipo au hakipo bila kukijua,hata wewe unayesema Mungu hayupo ni baada ya kumjua kwanza ndiyo ukaweza kusema hayupo ni dhana tu.
Naweza kusema pembetatu ambayo hapo hapo ni duara haipo katika Euclidean geometry.

Haipo kwa sababu, awali kabisa, dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe.

Hivyo oembetatu hiyo ambayo hapo hapo ni duara, haiwezekani kuwepo.

Dhana ya kuwepi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote (pembetatu) ambaye kaumba ulimwengu huu unaowezekana kuwa na mabaya (duara) ni potofu kama dhana ya kuwepo pembetatu duara katika Euclidean planes.

Mungu huyo hayupi.

Kama ambavyo pembetatu duara haipi.

Dhana zote mbili zinaji contradict.
 
Nimethibitishabhayupi kwa proof by contradiction.

Angekuwepo kungekuwa hakuna mabaya, kifo, njaa, vita etc.

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, uoendo wote ambaye aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo asiumbe ulimwengu huo na aumbe huu ambao mabaya yanawezekana?

Hujajibu swali hilo.

Huwezi kujibubswali hilo.

Kwa sababu Mungubhuyo hayupo.

Kaandikwa kwa kuungwa ungwa na watu tu.
Kama kueleza tu hivyo mbona kuna vitabu kabisa vyenye kuelezea kuhusu Mungu,na ndiyo maana watu wanakubali kuna Mungu.

Kuthibitishie hapa kuwa kweli hayupo NA SI VINGINEVYO.

Sasa ukija hapa kutuambia sijui kama Mungu ana upendo mbona hivi mbona vile haiwezi kuwa uthibitisho,bali itakuwa utashawishi watu kuwa hakuna Mungu kwa hizo sababu.

Maana tukisema tuangalie sifa zote za Mungu hapa hiyo hoja ya contradiction itakuwa haina maana tena.
 
Naweza kusema pembetatu ambayo hapo hapo ni duara haipo katika Euclidean geometry.

Haipo kwa sababu, awali kabisa, dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe.

Hivyo oembetatu hiyo ambayo hapo hapo ni duara, haiwezekani kuwepo.

Dhana ya kuwepi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote (pembetatu) ambaye kaumba ulimwengu huu unaowezekana kuwa na mabaya (duara) ni potofu kama dhana ya kuwepo pembetatu duara katika Euclidean planes.

Mungu huyo hayupi.

Kama ambavyo pembetatu duara haipi.

Dhana zote mbili zinaji contradict.
Ndiyo nini sasa? maelezo yako hajagusia hata kidogo kuhusu kujua na kuamini,maana hapa tunazungumzia suala la utofauti wa kujua na kuamini.

Wewe umekuwa ukisema hautaki kuamini, unataka kujua.
 
Kama kueleza tu hivyo mbona kuna vitabu kabisa vyenye kuelezea kuhusu Mungu,na ndiyo maana watu wanakubali kuna Mungu.

Kuthibitishie hapa kuwa kweli hayupo NA SI VINGINEVYO.

Sasa ukija hapa kutuambia sijui kama Mungu ana upendo mbona hivi mbona vile haiwezi kuwa uthibitisho,bali itakuwa utashawishi watu kuwa hakuna Mungu kwa hizo sababu.

Maana tukisema tuangalie sifa zote za Mungu hapa hiyo hoja ya contradiction itakuwa haina maana tena.
Unaelewa kwamba Mungu anatakiwa asiwe na contradiction yoyote?
 
Ndiyo nini sasa? maelezo yako hajagusia hata kidogo kuhusu kujua na kuamini,maana hapa tunazungumzia suala la utofauti wa kujua na kuamini.

Wewe umekuwa ukisema hautaki kuamini, unataka kujua.
Nimeeleza kwamba najua Mungu huyo hayupo. Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.

Umeelewa hilo?
 
Kuna Mungu Beyonce. Yupo Marekani. Unajua hilo?
Usitake kuleta michezo ya kitoto.

Post namba 2585 ni yako. Une edit na kutoa ki snippet cha post yangu ya awali bila muktadha.

Toa pist yangu niliyoandika kirefu.

Nikiandika kuna midoli mingi iliyotengenezwa na watu, katika midoli hiyo kuna midoli inatoa sauti, midili inatembea...

Halafu wewe ukaninukuu kwamba nimeandika "kuna midoli inatoa sauti, midoli inatembea" kwa kunifanya nionekane sijaweka muktadha kwamba midoli hii imetengenezwa na watu, utakuwa sawa?

Freaking bloody half birdbrained nincompoop.

Tuachane na unayoyaita mambo ya kitoto, malizia na post ya 2522
 
Mdoli ni nini?

Wewe ndio umeleta habari za mdoli nilikuletea ulichokiandika kuhusu miungu wengine. Nimeleta bandiko lako lote, unakuja na mambo ya kuniuliza kama nna jua kuna mungu beyoce marekani. Ina maana huyo ni miongoni mwa hao miungu wengine wengi uliowataja kwenye post yako?
 
Unapata wapi mamlaka ya kuita wanaoamini Mungu yupo wajinga?

Umeshawahi kufanya utafiti kupata hitimisho kati ya wanaoamini na wasioamini ni kundi lipi bora kuliko lingine? Mfano uwezo wa kuelewa mambo, kusimamia mambo, elimu, uongozi, uvumbuzi, maeneo tofauti ya kitaaluma na utaalam, uhandisi n.k

Kwa hiyo hata Albert Einstein au Isaac Newton kama waliamini uwepo wa Mungu nao ni wajinga?

Maoni au mtazamo wako ubaki kuwa wako na sio lazima watu wengine waukubali.
Wanaoamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu, wanaamini Mungu wa contradiction.

Hawana tofauti na wanaoamini kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara.

Ni wajinga.

Afadhali kuamini kuna pembetatu ambayo ni duara, ukaachikia hiyo imani kwenye geometry.

Ukiamini huyu Mungu yupo, halafu maisha yako yote ukayaweka katika msingi huo, unaweka maisha yako yote kwenye msingi wa uongo na ujinga.

Na kabla hujasema Albert Einstein aliamini Mungu, soma kwanza ujue alichoamini.

Soma vitabu. Angalia documentaries. Jielimishe. Usijivue nguo hapa tu.

Kitabu gani cha maisha ya Einstein umesoma?

Newton kaishi katika enzi ya giza ya kutaka kutengeneza dhahabu kutika lead. Enzi ambayo hata quantum physics haikujulikana. Kwa nini unataka kumfanya kuhani?

Sayansi hain makuhani.

Kwa nininunataka kuleta makuhani kwenye sayansi?

Nakimbia makuhaninkwenye dini unaniletea makuhani kwenye sayansi?

Unaelewa hoja zangu?
 
"Kuna Mungu Beyonce. Yupo Marekani"

post yako 2610

Mungu ni nani?

Mungu Beyonce kwa muktadha wa kwamba mtu aliyeuza rekodi milioni 17 ni Mungu, yupo.

Ukienda Staten Island, unaweza kupokelewa na muendesha teksi akakusalimia "Word up God?, kwake yeye any black mannis a God.

Sijawahi kusema Mungu huyo hayupo.

Sijawahi kusema Mungu kwa muktadha huo hayupo.

Nimeanza kuongelea Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote aliyeumba ulimwengu huu.

Nimesema Mungu huyo hayupo.

Umeelewa hilo?
 
Wewe ndio umeleta habari za mdoli nilikuletea ulichokiandika kuhusu miungu wengine. Nimeleta bandiko lako lote, unakuja na mambo ya kuniuliza kama nna jua kuna mungu beyoce marekani. Ina maana huyo ni miongoni mwa hao miungu wengine wengi uliowataja kwenye post yako?
Mungu ni nini?
 
Unaelewa kwamba Mungu anatakiwa asiwe na contradiction yoyote?
Hayo pia ni maelezo ya kumuhusu huyo Mungu,naweza kusema pia Mungu sio kama binaadamu. Naweza kukwambia pia kama dunia ipo basi na Mungu yupo,maana yeye ndiyo muumbaji.

We thibitisha tu kuwa hayupo.
 
Wanaoamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu, wanaamini Mungu wa contradiction.

Hawana tofauti na wanaoamini kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara.

Ni wajinga.

Afadhali kuamini kuna pembetatu ambayo ni duara, ukaachikia hiyo imani kwenye geometry.

Ukiamini huyu Mungu yupo, halafu maisha yako yote ukayaweka katika msingi huo, unaweka maisha yako yote kwenye msingi wa uongo na ujinga.

Na kabla hujasema Albert Einstein aliamini Mungu, soma kwanza ujue alichoamini.

Soma vitabu. Angalia documentaries. Jielimishe. Usijivue nguo hapa tu.

Kitabu gani cha maisha ya Einstein umesoma?

Newton kaishi katika enzi ya giza ya kutaka kutengeneza dhahabu kutika lead. Enzi ambayo hata quantum physics haikujulikana. Kwa nini unataka kumfanya kuhani?

Sayansi hain makuhani.

Kwa nininunataka kuleta makuhani kwenye sayansi?

Nakimbia makuhaninkwenye dini unaniletea makuhani kwenye sayansi?

Unaelewa hoja zangu?

Hoja zako nazisoma kueleweka ni jambo lingine. Maelezo yako hayaondoi ulichokisema kwamba wanaoamini uwepo wa Mungu ni wajinga. Kitu ambacho hauwezi kukithibitisha.

Uliwahi kufanya utafiti kuonyesha kujua kati ya haya makundi mawili ni lipi lina manufaa zaidi?

Hao Newton na Einsten nimekutolea mfano kwamba kama waliamini uwepo wa Mungu nao ni wajinga?

Unaelewa maana ya mfano? Nimesoma vitabu vingi sana, siwezi kueleza hapa kila nilichokisoma kama hakihusiani na kinachojadiliwa.

Uzuri ni kwamba, anaeita watu wajinga ni Kiranga
 
Hayo pia ni maelezo ya kumuhusu huyo Mungu,naweza kusema pia Mungu sio kama binaadamu. Naweza kukwambia pia kama dunia ipo basi na Mungu yupo,maana yeye ndiyo muumbaji.

We thibitisha tu kuwa hayupo.
Do you understand that "binadamu" is a misnomer?

Unakubali pembetatu ambayo hapo hapo ni duara ipo katika Euclidean planes?
 
Hoja zako nazisoma kueleweka ni jambo lingine. Maelezo yako hayaondoi ulichokisema kwamba wanaoamini uwepo wa Mungu ni wajinga. Kitu ambacho hauwezi kukithibitisha.

Uliwahi kufanya utafiti kuonyesha kujua kati ya haya makundi mawili ni lipi lina manufaa zaidi?

Hao Newton na Einsten nimekutolea mfano kwamba kama waliamini uwepo wa Mungu nao ni wajinga?

Unaelewa maana ya mfano? Nimesoma vitabu vingi sana, siwezi kueleza hapa kila nilichokisoma kama hakihusiani na kinachojadiliwa.

Uzuri ni kwamba, anaeita watu wajinga ni Kiranga
Manufaa ni nini? Kwa nani? Nani kasema mjinga hawezi kuwa na manufaa?
 
Back
Top Bottom