Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,804
- 861,284
- Thread starter
- #2,761
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji120] ila umenichekesha hizo emoji... Umeanza kwa kutembea... Kisha ukaona haitoshi ukatimua mbio huku mwisho ukashukuruMbona mimi nakuelewa sana unavyo tuelimisha.
Na huwa nakuwa mjinga ili nijifunze na kama kuna swali nakuuliza kwa kutaka kuelewa hiyo mada.
Mfano, kuna siku nikakuuliza swali.
Mbona waganga wa kienyeji hawaagizi samaki ili wakufanyie dawa ?
Ukajibu.
Samaki hana damu ya kutosha kukidhi hitaji la dawa.
Nikaelewa.
Mshana mwaga nondo sisi wajinga tunataka kujifunza bwana.
Elimu haina mwisho mkuu tumeagizwa kuitafuta hadi CHINA.
Haijalishi elimu hiyo ni elimu dunia au ahera au ya kuzimu au ya kwa lulenge.
Elimu ni elimu tu mkuu, usikatishwe tamaa na wasiokuelewa na kukuita majina ya ajabu ajabu itafikia mda watakuelewa tu.
Mwaga nondo mkuu, hasa za wachawi na mambo yao, binafsi nazipenda sana maana hazipatikani kirahisi.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji120] [emoji120] [emoji120]