Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,048
- 143,030
Hahaha vile unamuheshimu inabidi tu ukwepe kujadiliana nae kilichopo mezani
Huwa sina mazoea ya kubishana na watu juu ya imani zao [mambo wanayoyafikiri vichwani mwao].
Unajua maana ya imani wewe?
So sijakwepa chochote kisa namheshimu mtu. I’m more than capable to hold my own against anybody, anywhere, and anyhow.