Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Nimeeleza kwamba najua Mungu huyo hayupo. Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina contradiction.

Umeelewa hilo?
Mbona unajizungusha tu hapa?

Hayo ya kwamba hayupo yanakuja baada ya kumjua kwanza.

Yani unapingana na ukweli na ndiyo maana hadi ukakana kuwa et hata Baba ako humjui.
 
Do you understand that "binadamu" is a misnomer?

Unakubali pembetatu ambayo hapo hapi ni duara ipo katika Euclidean planes?
Sasa ili tuache kubishana tu ndiyo maana nimekuomba uthibitishe kuwa hakuna Mungu na si vinginevyo.
 
Tunamjadili Mungu. Si mbilikimo.

Mfano wako huo ni mbilikimo wa mbilikimo.

Umesema kutaja kitu kunafanya kiwepo.

Nikimtaja mume wako Juma hapo hapo unakuwa umeolewa?
Haya ndio makengeza yako yalipo.... Tunajadili uwepo wa Mungu sio juma
 
Manufaa ni nini? Kwa nani? Nani kasema mjinga hawezi kuwa na manufaa?

Umehitimishaje kwamba wanaoami uwepo wa Mungu ni wajinga?

Kuamini au kutoamini uwepo wa Mungu kuna mwathiri vipi mhusika? (hicho ndio nilicholenga nilipoandika manufaa).
 
Mbona unajizungusha tu hapa?

Hayo ya kwamba hayupo yanakuja baada ya kumjua kwanza.

Yani unapingana na ukweli na ndiyo maana hadi ukakana kuwa et hata Baba ako humjui.
Thibitisha Mungu yupo.
 
Haya ndio makengeza yako yalipo.... Tunajadili uwepo wa Mungu sio juma
Kama nina makengeza kweli huo ni ushahidi Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingeumba viumbe wenye makengeza.
 
Umehitimishaje kwamba wanaoami uwepo wa Mungu ni wajinga?

Kuamini au kutoamini uwepo wa Mungu kuna mwathiri vipi mhusika? (hicho ndio nilicholenga nilipoandika manufaa).
Kwani ujinga lazima uathirike?
 
Kama nina makengeza kweli huo ni ushahidi Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingeumba viumbe wenye makengeza.
Ni kwakuwa tu unapenda ubishi ila toka moyoni mwako unajua kwa hakika Mungu yupo la sivyo usingenukuu maandiko yake
 
Hujajibu ulichoulizwa na ulichojibu hujaulizwa.

Hilo ndio jibu nililoona linakufaa.
Hatuwezi kuwa tunajadili kuhusu Mungu tokea mwanzo na nilishakwambia namwamini Mungu yupi kisha unauliza swali na aina hii sasa.
 
Hilo ndio jibu nililoona linakufaa.
Hatuwezi kuwa tunajadili kuhusu Mungu tokea mwanzo na nilishakwambia namwamini Mungu yupi kisha unauliza swali na aina hii sasa.
Hujathibitisha Mungu wako yupo, kwa sababu hayupo.
 
Ni kwakuwa tu unapenda ubishi ila toka moyoni mwako unajua kwa hakika Mungu yupo la sivyo usingenukuu maandiko yake
Hujathibitisha Mungu yupo, unalazimisha.

Nanukuu maandiko ya watu, wengine wameandika kusema Mungu yupo, sijawahi kunukuu maandishi ya Mungu, kwa sababu Mungu hayupo.

Mungu kaandika maneno gani niliyomnukuu?

Unaweza kunionesha sehemu niliponukuu maneno aliyoandika Mungu?
 
Hujathibitisha Mungu yupo, unalazimisha.

Nanukuu maandiko ya watu, wengine wameandika kusema Mungu yupo, sijawahi kunukuu maandishi ya Mungu, kwa sababu Mungu hayupo.

Mungu kaandika maneno gani niliyomnukuu?

Unaweza kunionesha sehemu niliponukuu maneno aliyoandika Mungu?
Mara maandiko ya watu wengine.... Mara maandiko ya Mungu... Hao watu wengine ni kina nani? Mbona huwataji? Mbona huweki link zao kama za wale wapendwa wako?
 
Back
Top Bottom