Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

kwakweli sijutii kukaa hapa..muda huu"" maana msamiati " Mbuzi unamaana nyingi pia...yaweza kuwa mbuzi mnyama" ama kibao cha kukalia ambacho kina Chuma mbele kinacho weza kumsaidia mpishi kukuna Nazi "" ........WATU MNAHOJA NZITO SANA
Mkuu ukiulizwa swali kama hili huwezi tu kukurupuka from no where ukajibu ndio au hapana pasipo kujua mhusika alilenga mbuzi gani
 
Kwa sababu swali halieleweki, sielewi anaposema"akili" anamaanisha nini.
Umesema akili ina maana nyingi.
Hujasema hata maana moja.

Umetoa mfano wa ukristo kwa kutaja maana zake tofauti tofauti.

Hujataja maana angalau mbili ya akili tujidhihirishe kweli ina maana nyingi tofauti na aliyokuwa nayo mshana.

Inaweza kuwa maana hizo unazozielewa wewe utofauti wake ni mpangilio wa maneno alafu ukadhani ni maana nyingi
 
Back
Top Bottom