hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,347
- 80,220
hah hahaa aiseee...Kama ni kwenye mtihani naacha "gape" maana si lazima nilijibu vinginevyo nitakuwa nacheza kamri tu
hah hahaa aiseee...Kama ni kwenye mtihani naacha "gape" maana si lazima nilijibu vinginevyo nitakuwa nacheza kamri tu
Mtu anauliza swali, akubane, unamtaka afafanue ili umjibu akubane vizuri, anashindwa kufafanua.Neno akili lina maana pana. Ange elezea akili ni nini kwa mtizamo wake. Hapo ndipo anapo watoa knokout kiranga
Punguza maneno mingi... Una AKILI ama huna? Jibu in a very simple wayWapi nimesema umeuliza hivyo?
Nimekupa mfano juu ya swali lako linavyoendana na mfano huo.
Kama haujaelezea unachouliza linakuwa swali tata na unayetegemea akujibu anakuwa haelewi nini unamaanisha.
Hata haujauliza akili ni nini?
Umeuliza ana akili?
Unajipinga mbona
Akili ni nini?
Sasa nitakujibu vipi kama nina au sina akili wakati huja define akili ni nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23]nakojoaaaa... Nijibu kwanza kama una akili kisha nitakujibu akili ninini... Naapa mbele ya Mwenyezi Mungu mweza wa yoye nitakujibu
Kiranga ndio anapaswa kueleza kwanza alivyoielewa akili.Neno akili lina maana pana. Ange elezea akili ni nini kwa mtizamo wake. Hapo ndipo anapo watoa knokout kiranga
Akili ni nini?Punguza maneno mingi... Una AKILI ama huna? Jibu in a very simple way
Akili ni nini?Punguza maneno mingi... Una AKILI ama huna? Jibu in a very simple way
Akili ni nini?Kiranga ndio anapaswa kueleza kwanza alivyoielewa akili.
Kwani mpk sasa hajasema hajui maana ya akili.
Kasema ina tafsiri nyingi.
Hajatoa hata mbili tuone kweli zina maana nyingi.
Vinginenvyo tutaona ni kusingizia singizia tu ili kukwepa kujibu swali.
Kama ni neno Pana, atoe huo upana wake tuone na tumweleze tunayomaanisha sisi.
Lzm ujue mwanafunzi wako anapokosea ndipo msahihishe
Sio swali dogo, bali unapaswa kutujibu swali letu.Akili ni nini?
Kwa nini swali hili dogolinakuwa gumu sana kwenu?
Ukizionyesha as material things natoa Noah 2 kila kijiji kwaajiri ya usafiri wa wamama wajawazito mkuu.Nimewafatilia toka mwanzo, Mnazingua.
Ok, mimi nina AKILI
Una akili ipi?Nimewafatilia toka mwanzo, Mnazingua.
Ok, mimi nina AKILI
Unamaanisha nini unaposema akili?Hivi ilianza definition ama swali
ha ha Haa[emoji23] [emoji23] [emoji23]nakojoaaaa... Nijibu kwanza kama una akili kisha nitakujibu akili ninini... Naapa mbele ya Mwenyezi Mungu mweza wa yoye nitakujibu
Una akili?Akili ni nini?
Kwa niniswali hili mnaliogopa sana?
Akili ni nini?Sio swali dogo, bali unapaswa kutujibu swali letu.
Una akili?
Una akili?Akili ni nini?