Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Nataka maelezo yako wewe sio wao.

Tena kwa post ya hapa JF ndio kila kitu.hazina mawaa, kwa uchache tu...halafu jumla nitaipata we niachie mimi

Sitaki kusoma hizo faida kwenye mavitabu yawezekana aliyeandika hakuzimaliza, Na pia yawezekana Kafa.!

Nataka wewe ambaye Bado Wamotomoto unapumua.nisije nikamuonea Marehemu kumhoji au vitabu vyake...wakati wengine wapo Hai na Wanafikika kupitia JF
Na wewe nataka uniulize maswali kwa kuniadikia kwa alphabet uliyoitunga mwenyewe. Usiandike kwa alphabet iliyotungwa na wengine.

Kwa sababu ulizozitoa mwenyewe.
 
Hiki kitu unakipenda sana mpaka kimekuwa ni kama ibada takatifu kwako hiki unachopenda kukiita 'logical argument ' ambayo hata hivyo ukiambiwa iweke, unaishia kuweka link za mabandiko ya wazungu yenye mkanganyiko mkubwa ... Kwako hawa ndio viumbe sensible....
Wewe mwenyewe unatumia alphabet ya wazungu.

Unaelewa hilo?

Au unakandya tu bila hata kujua kwamba huwezi kunicheka mimi niliyevaa shati la mzungu, wakati wewe suruali mpaka chupi inayositiri dhakari na pumbu zako ni ya mzungu huyo huyo.

Unaelewa unachoandika hapa?
 
Waswahili walisema Lila na fila hazitengamani.

Wewe hata kuoana hujui ni nini

Ndoyo maana unaamini mauzauza ambayo hata kuyaelezea huwezi.

Utajuaje kipi kinaoana na kipi?

Sasa kama wewe huyuhuyu uliyesema hautaendelea kujibizana na mimi kwa kuwa uelewa wangu mdogo bado tupo kwenye mjadala, sioni shida unavyokataa ulichokiandika mwenyewe.
 
Sasa kama wewe huyuhuyu uliyesema hautaendelea kujibizana na mimi kwa kuwa uelewa wangu mdogo bado tupo kwenye mjadala, sioni shida unavyokataa ulichokiandika mwenyewe.
Weka nukuu verbatim nilipoandika hivyo uone kama hutaumbuka hapa kwa kupinda maneno.

Nuance please.

Half birdbrained nincompoop.
 
Hapo ndio unapozidi kudhihirisha kwamba maana ya kujua na kuamini vinakupa shida.
A moment for immanent critique.

Hata kama uko sawa. Hilo litakuwa ushahidi zaidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
 
Na wewe nataka uniulize maswali kwa kuniadikia kwa alphabet uliyoitunga mwenyewe. Usiandike kwa alphabet iliyotungwa na wengine.

Kwa sababu ulizozitoa mwenyewe.
Looh.! sio kwa kiunzi hiki

Hivi huna njia nyingine ya kukwepa maswali.

Hivi wewe bila malink huwezi kabisa kujibu maswali..?

Unapenda kweli kusaidiwa na Marehemu sijui ukoje
 
Nimegudua hata yeye mwenyewe kiranga hajui anachojaribu kutetea.. Anaweka link ya at last scientists can read thoughts through scanning na akaweka na picha lakini isiyoonyesha scanner ikisoma mawazo ya mtu
Sio tu hajui na huwa hawezi,huo ndiyo udhaifu wake. Yeye anachoweza ni kushambulia tu na sio wewe tu kuna watu wengine washamgundua.
 
Wewe mwenyewe unatumia alphabet ya wazungu.

Unaelewa hilo?

Au unakandya tu bila hata kujua kwamba huwezi kunicheka mimi niliyevaa shati la mzungu, wakati wewe suruali mpaka chupi inayositiri dhakari na pumbu zako ni ya mzungu huyo huyo.

Unaelewa unachoandika hapa?
Nisingekielewa nisingekiandika... Ndio maana naweza kuna kitu unakosa ufahamu au maarifa na hutaki kukubali kuwa unapenda ramli.. Umejuaje kuwa nimevaa nguo ya mzungu eti tu kwakuwa wewe umevaa shati yake?
 
...Half birdbrained nincompoop...

Unaweza kusema chochote juu yangu, uzuri ni kwamba hakina madhara au hakina tija. Zaidi inazihirisha ulivyo.

Uliniita kahaba, ilikufaidia nini? Au na hiyo utasema nilete nukuu uliyoandika?
 
Wewe mwenyewe unatumia alphabet ya wazungu.

Unaelewa hilo?

Au unakandya tu bila hata kujua kwamba huwezi kunicheka mimi niliyevaa shati la mzungu, wakati wewe suruali mpaka chupi inayositiri dhakari na pumbu zako ni ya mzungu huyo huyo.

Unaelewa unachoandika hapa?
Nisingekielewa nisingekiandika... Ndio maana naweza kuna kitu unakosa ufahamu au maarifa na hutaki kukubali kuwa unapenda ramli.. Umejuaje kuwa nimevaa nguo ya mzungu eti tu kwakuwa wewe umevaa shati yake?
 
A moment for immanent critique.

Hata kama uko sawa. Hilo litakuwa ushahidi zaidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Hizi sifa za Mungu umezitoa kwenye chanzo gani?

Au ni maoni yako binafsi?
 
Yeye kutoweza kuthibitisha haiwi uthibitisho kuwa hakuna Mungu kama unavyoamini wewe.
Sijasema kutoweza kuthibitisha ni uthibitisho.Hawezi kuthibitisha kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Uthibitisho ni sababu dhana ya kuwepo Mungu huyo inajipinga yenyewe.

Mtu akisemakuna pembetatu duara katika Euclidean geometry,hawezi kuthibitisha hilo.

Sababu dhana ya pembetatu hapo hapokuwa duara katika planes za Euclidean geometry inajipinga yenyewe.
 
Wewe mwenyewe unatumia alphabet ya wazungu.

Unaelewa hilo?

Au unakandya tu bila hata kujua kwamba huwezi kunicheka mimi niliyevaa shati la mzungu, wakati wewe suruali mpaka chupi inayositiri dhakari na pumbu zako ni ya mzungu huyo huyo.

Unaelewa unachoandika hapa?
Umekariri kila kitu mzungu tu ndiyo anatengeneza.
 
Hahaha..[emoji23] [emoji23] kuna wakati mtu unatamani hata kuacha kujadiliana nae.
Halafu ajabu hapo anakuja mtu anakwambia huna hoja za kubishana na Kiranga.
[emoji23] [emoji23]
 
Sijasema kutoweza kuthibitisha ni uthibitisho.Hawezi kuthibitisha kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Uthibitisho ni sababu dhana ya kuwepo Mungu huyo inajipinga yenyewe.

Mtu akisemakuna pembetatu duara katika Euclidean geometry,hawezi kuthibitisha hilo.

Sababu dhana ya pembetatu hapo hapokuwa duara katika planes za Euclidean geometry inajipinga yenyewe.
Wewe unadai hayupo halafu unasema hawezi kuthibitisha kwa sababu hayupo,maana yake kushindwa kwake kuthibitisha ndiyo uthibitisho kwako wewe wa kuwa hayupo.

Ndiyo maana nakwambia kushindwa kwake kuthibitisha sio uthibitisho kuwa hayupo kama unavyoamini wewe.
 
Unaweza kusema chochote juu yangu, uzuri ni kwamba hakina madhara au hakina tija. Zaidi inazihirisha ulivyo.

Uliniita kahaba, ilikufaidia nini? Au na hiyo utasema nilete nukuu uliyoandika?
Yale ya kucheza rafu uwanjani.. Yale ya Tyson kumuuma Evander sikio
 
Back
Top Bottom