Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga nilikuja na mfano rahisi tu unaohusu maelezo ya kumhusu Kiranga, mwisho nikakuuliza swali, haukujibu ukaja na maswali mengine na kiingereza kiiiingi?

Pili, kwenye moja ya post zako, nikakuuliza sifa za hilo unaloliita jiwekubwa sana ni zipi?

Lakini cha msingi zaidi, nikakuomba utoe chanzo ulipozitoa hizo sifa za huyo Mungu, umeishia kutoa maneno yasiyo staha.

Hapo awali ukadiriki kusema nna uelewa mdogo hauwezi kujibizana na mimi.

Sasa umeanza kuja na habari za kukisiakisia kuhusu mimi, nakuuliza, hayo ni maoni yako na ndivyo unavyoamini au unafaham hivyo kuhusu mimi?
Hujathibitisha Mungu yupo, na walahuwezi kumuelezea huyo Mungu wako kwa namna iliyo logically consistent na non contradictable.

Kwa sababu hayupo.

Full stop.
 
Kwani visivyopo haviwezi kujadiliwa?

Santa Claus ni kweli huwa anashuka chini kwenye chimney na kuacha zawadi za watoto chini ya mti wa Krismasi?
Ukishamtaja maana yake yupo na ndo maana umempa mpaka na jina
 
Kwanini unajadili kisichopo? Kisichojulikana?
Kwa sababu hata kisichopo, usipokijua, kinawezakukuua.

Kama dawa ya ugonjwa haipo,na kinga ndiyo muhimu, mtu akaaminishwa dawa ipo, akaupata huougonjwa, akauziwa kanyaboya kama dawa, kutokuwapo kwa dawa hiyo anayouziwa kama kanyaboya kunamuua.

Mungu hayupo, nikama dawa hiyo ya kanyaboya.

Watu watatue matatizo yao wenyewe, kumtegemea Mungu ni kutegemea dawa ya kanyaboya.

Mtakufa kwa magonjwa kwa kutozingatia kinga na kutafuta dawa halisi kwa kuwa mmebweteka kwenye dawa ya kanyaboya.

Hapo ndipo utajua kwamba ujinga unaua.

Imani kwamba kitu kipo, wakati hakipo, inaweza kukuua.
 
Najua, kwa sababu umeshindwa kumuelezea Mungu wako.

Muelezee kwa namna iliyo logically consistent na isiyoweza kuwa contradicted kama unaweza.

Kumbe hata tofauti ya kujua na kuamini nayo bado unaikisia tu.
 
Mshana stop it bana! Mbona unajitoa fahamu hivyo??

Btw, hizo zana zako huwa unazitengeneza mwenyewe au unazinunua?
But ndio uhalisia....
Anyway zana sinunui wala sitengenezi naletewa tu
 
Hujathibitisha Mungu yupo, na walahuwezi kumuelezea huyo Mungu wako kwa namna iliyo logically consistent na non contradictable.

Kwa sababu hayupo.

Full stop.

Ulichokiandika hakioani na nilichokiandika.
 
Kumbe hata tofauti ya kujua na kuamini nayo bado unaikisia tu.
Prove kwamba sijui basi, kwa kumuelezea huyo Mungu wako kwa jinsi ambayo iko logically consistent na haiwezi kuwa contradicted.
 
Nikimtaja mume wa Mshana Juma maana yake Mshana kaolewa? Ana mume? Mume wake yupo?
Kwa mtazamo wako kwakuwa umemtaja wewe... Na si wengine wote.... Jaribu kutofautisha mfano wa Ngabu na huo wako... Labda kama tu umeshindwa kuelewa
 
Kwani visivyopo haviwezi kujadiliwa?

Santa Claus ni kweli huwa anashuka chini kwenye chimney na kuacha zawadi za watoto chini ya mti wa Krismasi?
Huyojamaa anatapatapahata maswali ya kuuliza kaishiwa sasa.

Anauliza maswali famba.
 
Kwa mtazamo wako kwakuwa umemtaja wewe... Na si wengine wote.... Jaribu kutofautisha mfano wa Ngabu na huo wako... Labda kama tu umeshindwa kuelewa
Kwa hiyo si lazima kila kinachotajwa kiwepo?

Kwa sababu nimemtaja mume wa Mshana, nimewezakumtaja kwa jina, Juma.

Wakati kiukwelihayupo.

Hivyo hivyo, unaweza kumtaja Mungu, wakati hayupo.

Umeelewa kwamba si lazima kila anayetajwa awepo?
 
Huyojamaa anatapatapahata maswali ya kuuliza kaishiwa sasa.

Anauliza maswali famba.

Mshana anachekesha sana!

Imepita miaka sasa toka tukubaliane kuwa aniroge lakini wapi!

Bado nipo nadunda tu hahahaa.
 
Kwa hiyo si lazima kila kinachotajwa kiwepo?

Kwa sababu nimemtaja mume wa Mshana, nimewezakumtaja kwa jina, Juma.

Wakati kiukwelihayupo.

Hivyo hivyo, unaweza kumtaja Mungu, wakati hayupo.

Umeelewa kwamba si lazima kila anayetajwa awepo?
Hapana tofautisha fikra za mtu mmoja kama hapo kwenye mfano wako na uhalisia wa fikra katika wingi wake....
 
Back
Top Bottom