Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Unaamini Mungu ambaye huwezi kumuelezea, na wala huna hata hekima ya kukubali kwamba humuelewi huyo Mungu.

Kwa sababu unaona kwamba kukubali humuelewi utakua unakubali kwamba inawezekana unaamini kitu ambacho hakipo.

Bado haujajibu swali langu nililokuuliza nilipokunukuu. Unaamini hivyo au unajua kwa facts?

Naongezea tena, haya uliyoandika hapa kuhusu mimi unaamini au unajua?
 
Wewe hujathibitisha Mungu yupo kwa njia yoyote.
Mungu hana ithibati za kimtazamo wako... Kiranga nimekuwa nakujibu hili swali kila kwenye mjadala unaohusika na Mungu.... Na ndio maana ulikwepa kabisa kujibu swali la kama una AKILI... Ulikuwa mwerevu kukwepa kujibu kwakuwa ulijua fika litafuata swali gani
 
Na wewe niulize swali kwa alphabet uliyoitunga wewe mwenyewe, usitumie alphabet wala internet ya wazungu.
Kiranga kuna wakati una majibu ambayo yanachekesha na kuacha maswali mengi juu ya ufahamu wako
 
Wewe hujathibitisha Mungu yupo kwa njia yoyote.
Nathibitisha Mungu yupo kama ambavyo wewe umekiri kuwa una AKILI... Lakini ambayo huwezi kunionesha.... Mungu angekuwa hayupo ingekuwa hakuna mjadala juu yake... Kisichopo hakipo na hakitambuliki hivyo hakijadiliki
 
Kiranga nilikuja na mfano rahisi tu unaohusu maelezo ya kumhusu Kiranga, mwisho nikakuuliza swali, haukujibu ukaja na maswali mengine na kiingereza kiiiingi?

Pili, kwenye moja ya post zako, nikakuuliza sifa za hilo unaloliita jiwekubwa sana ni zipi?

Lakini cha msingi zaidi, nikakuomba utoe chanzo ulipozitoa hizo sifa za huyo Mungu, umeishia kutoa maneno yasiyo staha.

Hapo awali ukadiriki kusema nna uelewa mdogo hauwezi kujibizana na mimi.

Sasa umeanza kuja na habari za kukisiakisia kuhusu mimi, nakuuliza, hayo ni maoni yako na ndivyo unavyoamini au unafaham hivyo kuhusu mimi?
 
[emoji15] [emoji3] Jumamosi nikitoka kilingeni Msata nitakukuta? Ama mimi nikualike uje huku ijumaa usiku?

Nije wapi usiku? Msata?

Hizo zana zako mchana hazifanyi kazi?

Anywho, I can meet you anywhere, anytime, and anyhow!
 
Nije wapi usiku? Msata?

Hizo zana zako mchana hazifanyi kazi?

Anywho, I can meet you anywhere, anytime, and anyhow!

Uliwona wi gutaga, tali ulidomela duhu. Ulishindikija wozumale?? Umanile makungwi buraza
 
Nije wapi usiku? Msata?

Hizo zana zako mchana hazifanyi kazi?

Anywho, I can meet you anywhere, anytime, and anyhow!
Ndio Msata kilingeni usiku kutakuwa na kongamano kubwa.. Usimuache Kiranga
 
Bado haujajibu swali langu nililokuuliza nilipokunukuu. Unaamini hivyo au unajua kwa facts?

Naongezea tena, haya uliyoandika hapa kuhusu mimi unaamini au unajua?
Najua, kwa sababu umeshindwa kumuelezea Mungu wako.

Muelezee kwa namna iliyo logically consistent na isiyoweza kuwa contradicted kama unaweza.
 
Mungu hana ithibati za kimtazamo wako... Kiranga nimekuwa nakujibu hili swali kila kwenye mjadala unaohusika na Mungu.... Na ndio maana ulikwepa kabisa kujibu swali la kama una AKILI... Ulikuwa mwerevu kukwepa kujibu kwakuwa ulijua fika litafuata swali gani

Damn right hana ithibati.

Hana ithibati kwa sababu hayupo.

Hayupo, atakuwaje na ithibati?
 
Nathibitisha Mungu yupo kama ambavyo wewe umekiri kuwa una AKILI... Lakini ambayo huwezi kunionesha.... Mungu angekuwa hayupo ingekuwa hakuna mjadala juu yake... Kisichopo hakipo na hakitambuliki hivyo hakijadiliki
Wewe hata hujui unasimamiawapi.

Mara Mungu hana ithibati, mara unathibitisha Mungu yupo.

Hujui unakuja ama unaenda, hujui uko kulia amakushoto, kaskazi ama kuzi.

Unatapatapa kama mfamaji.

Ukiona unywele wowote unaukimbilia.
 
Back
Top Bottom